Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Hapa naondoka na aya hii ya mwisho,sababu hizo za mwanzo ni muendelezo wako wa kushindwa katika kulinganisha mambo,yaani mfano wako haukidhi haja na uko mbali na jambo hili.

Hoja yangu ni kwamba ukitafakari hizo aya lazima utakiri ya kuwa haya ni maneno ya Allah na hakuna mwanadamu aliyeweza kuleta mfano wa hayo bali mpaka Kiyama kina simama. Kadhalika sijashindwa kuleta uthibitisho na wala sijawahi kushindwa,mpaka hapa katika hili nimeshatoa ithibati mbili,na hakuna hata moja mliyo ikosoa na hamuwezi hili,zaidi ya kuleta dhana mara "unadhani mara ingekuwa kadha". Hizi si hoja.
Hapo unakoelekea utalazimisha fallacy ya "snob approach" itumike kutetea hoja yako

Ionekane kua yeyote yule ambaye ataonekana kuja tofauti na wazo la kusema na allah aonekane hajatafakari vizuri.

Kwa hiyo hapa hoja ni kuweka uthibitishwe na sio kuleta stori za wazew wa zamani waliokubali hayo madai
 
Hapo unakoelekea utalazimisha fallacy ya "snob approach" itumike kutetea hoja yako

Ionekane kua yeyote yule ambaye ataonekana kuja tofauti na wazo la kusema na allah aonekane hajatafakari vizuri.

Kwa hiyo hapa hoja ni kuweka uthibitishwe na sio kuleta stori za wazew wa zamani waliokubali hayo madai
Natumia koswahili chepesi sana,na ushahidi nimeuweka kwa kiswahili,sasa jadili ushahidi wangu na uukosoe,sasa hizi habari za "snob ....." hazikosoi nilicho kiandika,yaani unatumia udhaifu kujenga hoja,mantiki haiwezi kukupeleka ukajua ukweli.

Sasa usipoteze muda,kazi niliyo ombwa ya kuthibitisha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah nimeifanya,sasa wewe kanusja kwa hoja siyo stori za vijiweni na kuikimbia,huki ni kupotezeana muda,unachotakiwa kufanya wewe ni kusema "Qur'aan si maneno ya Allah kwa sababu kadha wa kadha na ushahidi ni huu" hivi ndiyo wenye kujua wanajadili mambo wewe unapoteza muda sababu hujui chochote katika hili,na hapa ndiyo naonyesha hilo kwamba hujui.

Kazi yangu nimemaliza,natarajia ukija unakuja na ukosoaji.
 
Tatizo mkipewa uthibitisho hampo tayari kuupokea akilini kwasababu imani yenu imeshapotoshwa imeamini imani potofu ya (Etheism Faith)
Mbona unajiwekea defense kua hatupo tayari kuupokea hata kabla hujatoa?

Unatengeneza ngao kunipa hata takataka niikubali kilazima kua ni uthibitisho kwasababu nikiikosoa useme sipo tayari kupokea uthibitisho

Leta hapa huo uthibitisho kisha utaulizwa maswali ili tu verify kama ni wa ukweli au lah
 
Natumia koswahili chepesi sana,na ushahidi nimeuweka kwa kiswahili,sasa jadili ushahidi wangu na uukosoe,sasa hizi habari za "snob ....." hazikosoi nilicho kiandika,yaani unatumia udhaifu kujenga hoja,mantiki haiwezi kukupeleka ukajua ukweli.

Sasa usipoteze muda,kazi niliyo ombwa ya kuthibitisha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah nimeifanya,sasa wewe kanusja kwa hoja siyo stori za vijiweni na kuikimbia,huki ni kupotezeana muda,unachotakiwa kufanya wewe ni kusema "Qur'aan si maneno ya Allah kwa sababu kadha wa kadha na ushahidi ni huu" hivi ndiyo wenye kujua wanajadili mambo wewe unapoteza muda sababu hujui chochote katika hili,na hapa ndiyo naonyesha hilo kwamba hujui.

Kazi yangu nimemaliza,natarajia ukija unakuja na ukosoaji.
Tafadhali naomba rejea ya hapo ulipodai kuthibitisha quran ni maneno ya allah
 
Tafadhali naomba rejea ya hapo ulipodai kuthibitisha quran ni maneno ya allah
Kwahiyo ulikuwa unajadili jambo ambalo hujalisoma.

Soma post za nyuma kuanzia kwa yule aliye uliza swali hilo.
 
Kwahiyo ulikuwa unajadili jambo ambalo hujalisoma.

Soma post za nyuma kuanzia kwa yule aliye uliza swali hilo.
Umeweka aya za kuran zikidai kua zina nukuu maneno ya allah baada ya hapo hujaweka uthibitisho kuthibitisha yale madai kua ni kweli

Nakumbuka mara ya mwisho tuliishia pale kwenye uhalisia ambapo tulishindwa kuendelea na mjadala baada ya wewe kukiri kua hujui nini maana ya uhalisia, hivyo sikuona sababu ya kuendelea kuhoji wakati wewe mwenyewe hujui unachokitetea
 
Umeweka aya za kuran zikidai kua zina nukuu maneno ya allah baada ya hapo hujaweka uthibitisho kuthibitisha yale madai kua ni kweli

Nakumbuka mara ya mwisho tuliishia pale kwenye uhalisia ambapo tulishindwa kuendelea na mjadala baada ya wewe kukiri kua hujui nini maana ya uhalisia, hivyo sikuona sababu ya kuendelea kuhoji wakati wewe mwenyewe hujui unachokitetea
Aya zina sema ukweli au uongo ? Ule ni uthibitisho unao onyesha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah na uko wazi na sababu nimeziweka,ndiyo maana naona hauko serious unanipotezea muda.

Jadili aya zile usiseme zinadai bila kuzikosoa.

Pili,suala la uhalisia hatukujadilia kwenye habari za aya,rejeq vizuri. Kisha uwe una tunza kumbukumbu.

Tatu,kuhusu uhalisia nilikujibu vile siyo kwamba sijui,ila ulikuwa unaleta utoto kwenye swali ambalo nimeshakujibu mara kibao. Nimefanya vile kuchunga adabu za kuulizana maswali na kujibu kwake. Tafuta vitabu vinavyoelezea adabu za kuuliza na kujibu maswali (sidhani kama hili pia unajua kama lipo).
 
Aya zina sema ukweli au uongo ? Ule ni uthibitisho unao onyesha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah na uko wazi na sababu nimeziweka,ndiyo maana naona hauko serious unanipotezea muda.

Jadili aya zile usiseme zinadai bila kuzikosoa.

Pili,suala la uhalisia hatukujadilia kwenye habari za aya,rejeq vizuri. Kisha uwe una tunza kumbukumbu.

Tatu,kuhusu uhalisia nilikujibu vile siyo kwamba sijui,ila ulikuwa unaleta utoto kwenye swali ambalo nimeshakujibu mara kibao. Nimefanya vile kuchunga adabu za kuulizana maswali na kujibu kwake. Tafuta vitabu vinavyoelezea adabu za kuuliza na kujibu maswali (sidhani kama hili pia unajua kama lipo).
Siwezi kujadili aya wakati sijajua uhakika wa hizo aya kuwa na vinasaba vya ukweli uko vipi


Unanihakikishiaje kua aya hizo ni za kweli, au ni nini haswa kilichokufanya ukaridhika kua aya hizo ni maneno ya allah na sio yameandikwa na mtu?

Kusema tu maneno ya kuran ni maneno ya allah na uthibitisho wake ni kuran yenyewe hiyo ni CIRCULAR REASONING

Hata mkristo naye anaweza akaitetea biblia yake au mtu mwingine yeyote kupitia dini yake, je wewe utakubaliana naye kua ameshakuthibitishia kua ni maneno ya mungu kupitia kitabu hicho??
 
Siwezi kujadili aya wakati sijajua uhakika wa hizo aya kuwa na vinasaba vya ukweli uko vipi


Unanihakikishiaje kua aya hizo ni za kweli, au ni nini haswa kilichokufanya ukaridhika kua aya hizo ni maneno ya allah na sio yameandikwa na mtu?
Ukweli wa hizo aya unajudhihirisha wenyewe kwa ile matini yake.

Sababu nimeshakupa ya kwanza ni kuwa jambo hilo mwanadamu hawezi kufanya lakini haitoshi hakuna kosa lolote katika kitabu hicho,sababu jambo la mwanadamu au linalo toka kwa mwanadamu lina makosa kibao.
 
Kusema tu maneno ya kuran ni maneno ya allah na uthibitisho wake ni kuran yenyewe hiyo ni CIRCULAR REASONING
Kuna ushahidi gani mkubwa kuzidi ushahidi wa nafsi ya kwanza ? Mathalani tukitaka ukweli kuhusu wewe tukufate wewe kwanza au tuwafate wasio kuwa wewe ?

Lakini ukweli hudhirishwa kwa kitu chenyewe kulingana na tabia yake au hali yake.

Lakini hii si circular reasoning sababu matini inaelezea wazi nini katika ithibati. Kwamba ni majibu kwa wale walio kuwa wanaikana. Sasa "content" iko wazi na sababu iko wazi,sasa ili uwe na hoja unatakiwa ufikiri kwanza kisha ubatilishe yaani uonyeshe uongo wa maneno hayo. Kinyume na hapo unakuwa huna hoja zaidi ya kupoteza muda.
Hata mkristo naye anaweza akaitetea biblia yake au mtu mwingine yeyote kupitia dini yake, je wewe utakubaliana naye kua ameshakuthibitishia kua ni maneno ya mungu kupitia kitabu hicho??
Safi kabisa,nakubaliana nae kwamba ametumia andiko lake,sasa kinachofata tunakuja kujadili ukweli wa hicho alichokoandika je ni kwali ushahidi. Mathalani huwa wanatoa andiko kuhusu utatu lakini tukianza kujadili matini ya andiko hilo na kuhlihoji,uongo wao unadhihirika. Sasa usiwe muoga kwa kukimbia ushahidi ambao uko wazi.

Nakuacha na swali,unaamini uwepo wa kina Aristosto au Plato au Socrates au George Washington au Isaac Newton ? Kipi kimekufanya uamini uwepo wao kama unakubali waliwahi kuwepo ?

Yaani nje ya ukosoaji huwezi kuwa na hoja katika hili,matini ziko wazi,jadili andiko hilo,usikimbie.

Nasubiri ukosoaji .... hili najua huwezi utaishia kukimbia na sisi hatulei ujinga.

Qur'aan ni maneno ya Allah kwa shahidi mbili nilizo zitoa na ziko nyingi,hizi zinakutosha sababu naona unazikimbia na ikionekana haja ya kuongeza shahidi nyingine naziongeza.

Nipo....
 
Mbona unajiwekea defense kua hatupo tayari kuupokea hata kabla hujatoa?

Unatengeneza ngao kunipa hata takataka niikubali kilazima kua ni uthibitisho kwasababu nikiikosoa useme sipo tayari kupokea uthibitisho

Leta hapa huo uthibitisho kisha utaulizwa maswali ili tu verify kama ni wa ukweli au lah
Kabla sijaleta uthibitisho ningependa kufahamu mambo haya:-

1. Wewe ni binadamu mwenye imani ya (Etheism Faith)?

2. Unataka nilete uthibitisho wa kitu gani?

3. Unaamini katika sayansi?
 
inavyoonekana watu wanataka kupata maarifa kutoka kwa mzaramo wa rufiji bwana Kiranga
ila kama mnamchokoza ili mpate maarifa mpo sawa
mnapoteza muda wenu kubishana nae maana anapenda ubishi kuliko kula
 
Kabla sijaleta uthibitisho ningependa kufahamu mambo haya:-

1. Wewe ni binadamu mwenye imani ya (Etheism Faith)?

2. Unataka nilete uthibitisho wa kitu gani?

3. Unaamini katika sayansi?
1. Etheism ndio kitu gani?

2. Uthibitisho ambao umedai ulitupa ila hatuko tayari kuupokea, ulikua unakusudia uthibitisho wa kitu gani?

3. Kuamini ni nini?
 
Kuna ushahidi gani mkubwa kuzidi ushahidi wa nafsi ya kwanza ? Mathalani tukitaka ukweli kuhusu wewe tukufate wewe kwanza au tuwafate wasio kuwa wewe ?
Mimi nimedai uthibitisho, uthibitisho ambao ni testable and verifiable. Kama unahisi vigezo hivi vipo kwenye huo uthibitisho basi nipatie
 
Lakini ukweli hudhirishwa kwa kitu chenyewe kulingana na tabia yake au hali yake.
Sasa nikidai uthibitisho wa kuhakiki hilo jambo kua ni kweli unaweza kunipa?
 
1. Etheism ndio kitu gani?

2. Uthibitisho ambao umedai ulitupa ila hatuko tayari kuupokea, ulikua unakusudia uthibitisho wa kitu gani?

3. Kuamini ni nini?
Mkuu umeona jinsi ambavyo unajaribu kupoteza lengo la swali husika? ok labda niliweke kivingine

1. Wewe ni binadamu mwenye imani ya (Atheism) au wewe ni Atheist?. Atheism in kuamini hakuna uwepo wa Mungu.

2. Unataka nilete uthibitisho wa kitu gani? (nimeuliza hivi kwasababu wewe ndie uliniambia nilete uthibitisho kwenye post #463)

3. Unaamini katika sayansi? (Bado hujanijibu)

Kwahiyo, vipengele hivyo bado haujanijibu badala yake umeniuliza tena mimi maswali.
 
Mimi nimedai uthibitisho, uthibitisho ambao ni testable and verifiable. Kama unahisi vigezo hivi vipo kwenye huo uthibitisho basi nipatie
Jibu maswali niliyo kuuliza.

Pili,ithibati nimekupa,unachotakiwa wewe kukosoa nilicho kiweka sababu kila kitu kipo wazi.
 
Back
Top Bottom