Hilo jepesi sana,ila litafata baada ya wewe kukiri ya kuwa huwezi kukosoa nilichokiweka na Qur'aan ni maneno ya Allah.Sasa nikidai uthibitisho wa kuhakiki hilo jambo kua ni kweli unaweza kunipa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jepesi sana,ila litafata baada ya wewe kukiri ya kuwa huwezi kukosoa nilichokiweka na Qur'aan ni maneno ya Allah.Sasa nikidai uthibitisho wa kuhakiki hilo jambo kua ni kweli unaweza kunipa?
kutokuweka kwako uthibitisho kunaonesha ni jinsi gani jambo hilo ni uwongoLakini hii si circular reasoning sababu matini inaelezea wazi nini katika ithibati. Kwamba ni majibu kwa wale walio kuwa wanaikana. Sasa "content" iko wazi na sababu iko wazi,sasa ili uwe na hoja unatakiwa ufikiri kwanza kisha ubatilishe yaani uonyeshe uongo wa maneno hayo. Kinyume na hapo unakuwa huna hoja zaidi ya kupoteza muda.
Ujadili ili kujua nini wakati ushakubali kua ni kweli?Safi kabisa,nakubaliana nae kwamba ametumia andiko lake,sasa kinachofata tunakuja kujadili ukweli wa hicho alichokoandika je ni kwali ushahidi.
hayo mengine ni irrelevant jibu lolote hapo liwe negative au positive in your view halitathibitisha chochote kuhusu ukweli wa kuranNakuacha na swali,unaamini uwepo wa kina Aristosto au Plato au Socrates au George Washington au Isaac Newton ? Kipi kimekufanya uamini uwepo wao kama unakubali waliwahi kuwepo ?
Yaani nje ya ukosoaji huwezi kuwa na hoja katika hili,matini ziko wazi,jadili andiko hilo,usikimbie.
Nasubiri ukosoaji .... hili najua huwezi utaishia kukimbia na sisi hatulei ujinga.
Qur'aan ni maneno ya Allah kwa shahidi mbili nilizo zitoa na ziko nyingi,hizi zinakutosha sababu naona unazikimbia na ikionekana haja ya kuongeza shahidi nyingine naziongeza.
Nipo....
Hakuna ulipoweka uthibitisho ila kuna sehemu umeweka aya ya kuran ikidai ni maneno ya allah....hizo ni claims zinahitaji kuthibitishwa na hujaweza kuthibitisha hiloJibu maswali niliyo kuuliza.
Pili,ithibati nimekupa,unachotakiwa wewe kukosoa nilicho kiweka sababu kila kitu kipo wazi.
kama jepesi lipatie majibuHilo jepesi sana,ila litafata baada ya wewe kukiri ya kuwa huwezi kukosoa nilichokiweka na Qur'aan ni maneno ya Allah.
bado haujawa specific imani ya Atheism mimi siijui ni kitu ganiMkuu umeona jinsi ambavyo unajaribu kupoteza lengo la swali husika? ok labda niliweke kivingine
1. Wewe ni binadamu mwenye imani ya (Atheism) au wewe ni Atheist?. Atheism in kuamini hakuna uwepo wa Mungu.
Namimi nikakujibu vile kwasababu hapo awali ulidai ulitupa uthibitisho ila sisi hatukua tayari kuupokea huo uthibitisho.2. Unataka nilete uthibitisho wa kitu gani? (nimeuliza hivi kwasababu wewe ndie uliniambia nilete uthibitisho kwenye post #463)
Sijibu tu ilimradi nataka nijibu swali ambalo nimelielewa na wote tukubaliane kila point tunayoipita3. Unaamini katika sayansi? (Bado hujanijibu)
Kwahiyo, vipengele hivyo bado haujanijibu badala yake umeniuliza tena mimi maswali.
Labda uniambie niweke mara ngapi ?kutokuweka kwako uthibitisho kunaonesha ni jinsi gani jambo hilo ni uwongo
weka uthibitisho hapa kuonesha yale ni maneno ya allah na sio watu tu wameandika
Aya zinasemaje ? Sasa kile kilichoandikwa ndiyo ushahidi wenyewe tunasema matini ya aya. Sasa kosoa,sababu hizo aya zinathibitisha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah.Hakuna ulipoweka uthibitisho ila kuna sehemu umeweka aya ya kuran ikidai ni maneno ya allah....hizo ni claims zinahitaji kuthibitishwa na hujaweza kuthibitisha hilo
Itifaki lazima izingatiwe.kama jepesi lipatie majibu
hujaweka uthibitisho umeweka madai. nataka uweke uthibitishoLabda uniambie niweke mara ngapi ?
irrelevantNilikuuliza swali hivi tukitaka kujua ukweli hasa kuhusu wewe ni vyema kuuliza wengine au tuanze na wewe ? Hili umelikimbia.
inawezekana wao waliona huo ila hiyo kwangu siipi nafasi kua ni kigezo cha mimi kukubaliana na hizo porojo eti kwasababu wazee wa zamani walikukubali.Mpaka sasa nimeweka ithibati mbili,kwanza kuonyesha ya kuwa jambo hili halijaanza kwenu bali tangu mtume yuko hai wale waliokuwa dhidi yake walimuuliza maswali hayo,na huo ndiyo ukawa ushahidi.
Shahidi hizo umezipimaje kujua zimeongea ukweli?Kadhalika nilikwambia ya kuwa kwa ufinyu wako wewe na kukimbia kwako maswali,nilisema ya kuwa hizi shahidi mbili zinakutosha sababu hujakosoa hata moja (hili najua huwezi)
hujathibitisha ukweli wa kurannikasema tena ya kuwa nikiona haja ya kuongeza shahidi nyingine nitafanya hivyo na hizo zitaanzia namba tatu kuendelea.
Nikajua muda huu ungekuwa unajadili matini ya aya,baada ya mimi kukuwekea aya hizo.
Niweke mara ngapi hili ndiyo swali langu kwa sasa.hujaweka uthibitisho umeweka madai. nataka uweke uthibitisho
irrelevant
inawezekana wao waliona huo ila hiyo kwangu siipi nafasi kua ni kigezo cha mimi kukubaliana na hizo porojo eti kwasababu wazee wa zamani walikukubali.
Pengine huo ni muendelezo wa habari za kutungwa kuwafanya watu wasio wadadisi kukubali kiwepesi kwasababu kitabu kimesema wapo waliokua wakipinga kabla yao na hatimaye wakakubali
Unajuaje kuran imesema ukweli?
Shahidi hizo umezipimaje kujua zimeongea ukweli?
hujathibitisha ukweli wa kuran
unajuaje zimesema kweli?Aya zinasemaje ?
umeuhakiki vipi kujua ushahidi huo umesema kweli?Sasa kile kilichoandikwa ndiyo ushahidi wenyewe tunasema matini ya aya. Sasa kosoa,sababu hizo aya zinathibitisha ya kuwa Qur'aan ni maneno ya Allah.
aya mbona nazo hazina ushahidi kujua kama zimesema ukweli?Kuna madai na kuna hoja na ubainifu,madai ni kama yenu ya kwamba Mola hayupo na ushahidi hamna,ila aya ni hoja na ubainifu unao jibu zile tuhuma.
irrelevant, hakuna correlation yeyote kati ya mimi kuwajua/kutowajua ambako kutasaidia kuthibitisha hayo madai ya kuran.Ndiyo maana nilikuuliza wewe unaamini vipi kama Newton aliwahi kuishi au Galileo Galilei au George Washington ? Hili ukalimbia.
Sipingi kwamba aya haijasema hivyo, ila nachotaka mimi ni kuhakiki hizo aya nijue ukweli kwa kuletewa uthibitishoAya inasema wazi kabisa kama Qur'aan si maneno ya Allah basi mtengeneze mfano wake au walau kipande na muitane na mashahidi wawepo ? Hili hawakuweza wakubwa zenu kwenu hili muhali. Yaani ni sawa unaiona nyumba kisha unaomba ushahidi wa kuonyesha hiyo nyumba imejengwa.
Kila kitu kimejielezea humo.unajuaje zimesema kweli?
umeuhakiki vipi kujua ushahidi huo umesema kweli?
aya mbona nazo hazina ushahidi kujua kama zimesema ukweli?
thibitisha hilo kwanza
irrelevant, hakuna correlation yeyote kati ya mimi kuwajua/kutowajua ambako kutasaidia kuthibitisha hayo madai ya kuran.
Sipingi kwamba aya haijasema hivyo, ila nachotaka mimi ni kuhakiki hizo aya nijue ukweli kwa kuletewa uthibitisho
Kwahiyo na wewe ushakuwa mpagani sio?View attachment 1765334
Hiki hapa mkuu, mm kiranga alinitumia vitabu tu kadhaa nikasoma ila mpka leo nilishaiva sana
watakwambia alikuepo tuuMaisha ni fumbo ambalo hakuna ata atakayelifumbua milele, kuhusu uwepo wa MUNGU, nguvu za MUNGU, na nani aliyemuumba MUNGU na kumpa uwezo wote, je' kabla ya vyote ivyo yaani MUNGU kulikuwepo na nin.
Sawa mkinga Kuna ishu za quantum physics nlkua nasoma znanichanganya mtakushirikisha mkingaUmepotea wewe Mkinga.
Mimi nimejaa hapa na bluetooth mpaka kwenye mswaki.
Ukiona nakosea spelling hapa ujue nilikuwa na type kwa command za kupigia mswaki.
Sawa mkinga Kuna ishu za quantum physics nlkua nasoma znanichanganya mtakushirikisha mkinga