Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Wewe umesema Mungu ni dhana, sasa nimtaje Mungu gani tena mwengine wakati ushamaliza kuwa Mungu ni dhana?

Nilikwambia ueleze Mungu ni nini ila ukashikilia tu kusema kwamba ni dhana tu kwamba ni jambo la kufikirika tu hukutaka tujue Mungu ni kitu gani, sasa unaanzaje kuniambia nikutajie Mungu wangu wakati hujaeleza huyo Mungu ni kitu gani, nitakutajia nini sasa maana dhana ziko nyingi na wewe umeishia kutuambia Mungu ni dhana sasa sijui nikutajie dhana ipi.
Kwa hivyo umekubali wewe huna Mungu?

Huamini Mungu yupo?
 
Hakuna aina moja ya chombo cha usafiri majini,kuna boat ambayo ni tofauti na Meli na kuna mtumbwi ambao ni tofauti na nyambizi.

Hivyo vyote vina sifa tofauti na mwenzie ingawa ni vyombo vya usafiri wa majini.
Kama ukimuambia usafiri wa majini bado utakua umemuweka highway kutokana na huyo mtu kujua usafiri wa boat, mtumbwi nk.

Kwa maana hiyo nikisema mungu, unapata maana ngapi tofauti tofauti zinazokufanya uchanganyikiwe kuelewa imekusudiwa maana ipi kati ya hizo?
 
Alaah, sorry sikufikiria hilo. Asante kunikumbusha
Sisi watu wa bara kiswahili changamoto 😀
Huyo ame flip hoja kwasababu Verse haijasema mungu amekaa, verse imesema mungu ameketi kwenye kiti cha enzi

Sasa unaonganisha vipi dots zikupe maana nyingine inayoonesha sio kitendo cha makalio kukaa kwenye hicho kiti?
 
Kama ukimuambia usafiri wa majini bado utakua umemuweka highway kutokana na huyo mtu kujua usafiri wa boat, mtumbwi nk.

Kwa maana hiyo nikisema mungu, unapata maana ngapi tofauti tofauti zinazokufanya uchanganyikiwe kuelewa imekusudiwa maana ipi kati ya hizo?

Ukisema tu Mungu nakuwa sielewi kabisa unazungumzia nini maana umeishia tu kusema ni dhana na dhana ziko nyingi tu.
Kuna vyombo vya usafiri ambapo miongoni mwa hivyo vyombo vya usafiri kuna vyombo vya usafiri wa majini ndipo tunapopata meli boat n.k

Sasa kusema tu Mungu ni jambo la dhana bado unaniacha njia panda.
 
Huyo ame flip hoja kwasababu Verse haijasema mungu amekaa, verse imesema mungu ameketi kwenye kiti cha enzi

Sasa unaonganisha vipi dots zikupe maana nyingine inayoonesha sio kitendo cha makalio kukaa kwenye hicho kiti?
Nimeelezea maana za hilo neno kukaa na sijazungumzia kuketi.
 
Ukisema tu Mungu nakuwa sielewi kabisa unazungumzia nini maana umeishia tu kusema ni dhana na dhana ziko nyingi tu.
Kuna vyombo vya usafiri ambapo miongoni mwa hivyo vyombo vya usafiri kuna vyombo vya usafiri wa majini ndipo tunapopata meli boat n.k

Sasa kusema tu Mungu ni jambo la dhana bado unaniacha njia panda.
Kwa hiyo wewe ni theist ambaye huelewi mungu ni nini?
 
Mimi nimeuliza Mungu ni nini?
kwani nani kasema we umeuliza hivyo?

Nakuuliza kulingana na jinsi ulivyo dai kua mtu akisema mungu unakua huelewi mungu ni nini, sasa we ni theist wa namna gani?
 
kwani nani kasema we umeuliza hivyo?

Nakuuliza kulingana na jinsi ulivyo dai kua mtu akisema mungu unakua huelewi mungu ni nini, sasa we ni theist wa namna gani?
Ni hivi nimeuliza swali kuwa Mungu ni nini? ukanipa jibu la kwamba Mungu ni dhana, sasa hapo unadhani mimi nitasema nimeelewa Mungu ni nini kutoka kwenye hilo jibu?
 
Kama Mungu anawapa free will watu wewe alikupa nafasi ya kuchagua uzaliwe lini,wapi,jinsia gani na wazazi wa aina ipi ya maisha?
Na kama ana huo uchaguzi kwa nini awaandalie Moto wale wote wanaotumia hiari hiyo kuchagua kutofuata usanii wake?
Nikikwambia hizi ulizoziandika ni hekaya za kufikirika tu na wala hazina uhalisia utakataa?

Bado hujajibu swali la kwa nini Mungu aweke chaguo baya pia wakati uwezo wa kuweka machaguo yote mema alikuwa nao,

Sababu unaweza muwekea mwanao machaguo yote mema kama vile mkate na vitumbua akachagua na ukajua free will yake kuliko kumuwekea mkate na sumu kali ya kumuua!.
Hii nimeipenda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama Mungu anawapa free will watu wewe alikupa nafasi ya kuchagua uzaliwe lini,wapi,jinsia gani na wazazi wa aina ipi ya maisha?
Na kama ana huo uchaguzi kwa nini awaandalie Moto wale wote wanaotumia hiari hiyo kuchagua kutofuata usanii wake?
Nikikwambia hizi ulizoziandika ni hekaya za kufikirika tu na wala hazina uhalisia utakataa?

Bado hujajibu swali la kwa nini Mungu aweke chaguo baya pia wakati uwezo wa kuweka machaguo yote mema alikuwa nao,

Sababu unaweza muwekea mwanao machaguo yote mema kama vile mkate na vitumbua akachagua na ukajua free will yake kuliko kumuwekea mkate na sumu kali ya kumuua!.
kuna mmepinda,yaani unamuita Mungu msanii?
 
Ni hivi nimeuliza swali kuwa Mungu ni nini? ukanipa jibu la kwamba Mungu ni dhana, sasa hapo unadhani mimi nitasema nimeelewa Mungu ni nini kutoka kwenye hilo jibu?
Na ndio maana na mimi nimestaajabu ni theist wa namna gani asiyejua maana ya mungu?
 
Back
Top Bottom