Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

God exist

Atheists ni watu ambao bado wapo katika hatua za Kati za ukuaji wa ufahamu.

Kitu Ambacho hakipo ni dini but not God
The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

Miaka nenda rudi mnapambana kumwelezea na kumtetea huyo Mungu na wala hajawahi kuonekana yeye mwenyewe.

Mnahangaika kutetea imani zenu uchwara za kufikirika mlizopumbazwa na mnazo pumbazana vizazi kwa vizazi.

Ninyi Theists ndio mpo katika hatua changa kabisa ya ukuaji.

First of all, You all need to restore your brains 🧠 to factory settings.
 
Hapana,

Unachanganya mambo.

Inawezekana kujua origin ya watu kunanitoa jasho kwa sababu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwapo, angempa kila mtu jibu la kila swali analolipata.

Angekuwapo, kwa sifa zake hizo, kusingekuwa na swali lolote ambalo watu wanajiuliza na kukosa jibu lake.

Nimekuuliza, unajua Epicurean Paradox ni nini?

Hujajibu.

Kwa nini hujajibu?
Mosi, kutokupata ufafanuzi unaohitaji au majibu ya maswali unayotaka hakuhalalishi kutokuwepo kwa Mungu. Pili, hakuna mahali umeniuliza swali, labda kama ndo unauliza sasa.
 
Upo Sahihi kwenye Atheists kuwa wapo daraja ya kati maana kuna madaraja 3 ...mawili yanayo sema mungu yupo na moja linalo kanusha .....kati ya hayo madaraja lililo la wapumbavu kabisa ni mojawapo ya hayo mawili yanayo sema mungu yupo...na daraja la Atheists ni lenye watu wenye akili akili siyo wapumbavu kivileee ila lipo daraja la watu wenye akili kamili na timamu katika kupambanua mambo nalo linasama MUNGU YUPO NA AIWEZEKANI KUWE HAKUNA MUNGU
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
 
Mosi, kutokupata ufafanuzi unaohitaji au majibu ya maswali unayotaka hakuhalalishi kutokuwepo kwa Mungu. Pili, hakuna mahali umeniuliza swali, labda kama ndo unauliza sasa.
Kutokupata ufafanuzi gani ninaohitaji?

Unaelewa hata ufafanuzi ninaohitaji ni upi?

Nimekuuliza unaelewa Epicurean Paradox ni nini, hujibu, kwa nini?
 
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
Wote hao kundi lao ni la 2
 
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
Kwahiyo huamini kama Waganga wapo au huamini nguvu za kiganga?
 
Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.

Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.

Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?

Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.


RAMADHAN KAREEM
Allah au Mungu Yesu?
 
Kwahiyo huamini kama Waganga wapo au huamini nguvu za kiganga?
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini.

Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Waganga wapo hata kwenye jamii zetu wapo wengi sana.

Mimi siamini kwamba hao waganga wana nguvu fulani za kimiujiza.

Hao waganga ni matapeli tu.

Hawana uganga wowote wala nguvu yeyote ile.
 
Kazi ya kupinga uwepo wa Mungu ni kazi endelevu.

Kila siku wanazaliwa watoto wapya wanapewa mafundisho ya uongo kwamba Mungu yupo.

Sasa tutaridhika vipi tukae kimya ikiwa uongo huu unafundishwa kila siku?

Ulishaona makanisa yanaridhika yanasema tusifundishe tena watu habari za uongo huu wa kuwapo Mungu?

Ulishaona misikiti inaridhika na kusema sasa tumeridhika kusema habari za uongo kwamba Mungu yupo?

Sasa kama hawa wasema uongo wa makanisani na misikitini na wengine wengi kama wao hawaridhiki kusema uongo, unapata wapi uhalali wa kutuambia sisi tunaonyoosha mambo na kuhoji uongo huo turidhike?

Jibu hoja, acha kushambulia watoa hoja.

Kushambulia mtoa hoja badala ya kujibu hoja ni logical fallacy.

Ni tabia ya watu wasio na hoja.

Ni ad hominem logical fallacy.

Unajua logical fallacy ni nini?
Ulithibitisha vipi kuwa habari za M#Ngu ni za uongo ?
 
Ulithibitisha vipi kuwa habari za M#Ngu ni za uongo ?
Kwa Epicurean Paradox, the problem of evil, proof by contradiction, logical consistency na mutual exclusivity unaweza kuthibitisha kuwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni wa hadithi za watu tu.

Umeshafuatilia Epicurean Paradox / The Problem of Evil?
 
Usianze kuniuliza kwamba najua

Nenda kajielimishe kwanza.

Wewe umeshindwa hata kutofautisha Atheist na Agnostic.

Unasema wote hawa ni kundi moja.

Inaonekana hata hujui unacho kisema.
Nikundi moja kwa logic yangu niliyo changanua hapo ...wewe ujaelewa nilicho changanua
 
Nikundi moja kwa logic yangu niliyo changanua hapo ...wewe ujaelewa nilicho changanua
Agnostic haamini kwamba Mungu yupo au hayupo. Anaamini inawezekana Mungu akawepo au asiwepo.

Atheist hatuamini kwenye imani yeyote ile ya Mungu au miungu. Tunapinga uwepo wa Mungu na miungu.

Atheists hatuamini kwenye kuamini.

Hatuhitaji kuamini, Tunahitaji kujua.

Do you get the point?
 
Huwa najiuliza sana kwanini huyu Kiranga na wengine wengi huwa wanajitokeza kwenye uzi wowote ule unao muhusu Mungu na lengo ni kupinga uwepo wake.

Haijarishi hujamu mention dk1 ni nyingi hawa hapa.

Ni kwamba wakuu msipopita kimyamya tu mkatuacha sisi tunaokubali na kuamini uwepo wa Mungu tuendelee na mjadala huwa mnapungukiwa kitu?

Huyu Bush Dokta Kaja kwa kasi sana kwenye kupinga uwepo wa Mungu.Ninaomba mwe mnatuchie mjadala sisi tunao amini uwepo wa Mungu asee huwa mnatuvuruga sana maana mnajua wazi majibu hatuna hivi ni vitu vya Imani sasa imani utaithibitisha vipi? Ni sawa na kuambiwa nenda kaniletee upepo.


RAMADHAN KAREEM
Nadhani hawajiamini na msimamo wao hivyo pengine hutumia haya mabishano kupinga uwepo wa Mungu ili kujifariji, maana kwenye atheism hakuna majibu ya maswali waliyokuwa wakijiuliza kutokea kwenye dini.
 
Back
Top Bottom