Kiranga na jamaa zake wanaweza wasionekane kwenye thread mbalimbali lakini uzi wowote unaomsifia Mungu huwakosi

God exist

Atheists ni watu ambao bado wapo katika hatua za Kati za ukuaji wa ufahamu.

Kitu Ambacho hakipo ni dini but not God
The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

Miaka nenda rudi mnapambana kumwelezea na kumtetea huyo Mungu na wala hajawahi kuonekana yeye mwenyewe.

Mnahangaika kutetea imani zenu uchwara za kufikirika mlizopumbazwa na mnazo pumbazana vizazi kwa vizazi.

Ninyi Theists ndio mpo katika hatua changa kabisa ya ukuaji.

First of all, You all need to restore your brains 🧠 to factory settings.
 
Mosi, kutokupata ufafanuzi unaohitaji au majibu ya maswali unayotaka hakuhalalishi kutokuwepo kwa Mungu. Pili, hakuna mahali umeniuliza swali, labda kama ndo unauliza sasa.
 
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
 
Mosi, kutokupata ufafanuzi unaohitaji au majibu ya maswali unayotaka hakuhalalishi kutokuwepo kwa Mungu. Pili, hakuna mahali umeniuliza swali, labda kama ndo unauliza sasa.
Kutokupata ufafanuzi gani ninaohitaji?

Unaelewa hata ufafanuzi ninaohitaji ni upi?

Nimekuuliza unaelewa Epicurean Paradox ni nini, hujibu, kwa nini?
 
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
Wote hao kundi lao ni la 2
 
Acha kuhusisha Atheists na Agnostics.

Atheists hatuna imani ya aina yeyote ile ya Mungu au miungu.

Hatuamini habari za Mungu, miungu, Shetani, majini, mapepo, mizimu, uchawi, ushirikina, uganga.
Kwahiyo huamini kama Waganga wapo au huamini nguvu za kiganga?
 
Allah au Mungu Yesu?
 
Kwahiyo huamini kama Waganga wapo au huamini nguvu za kiganga?
Mimi siamini kwenye kuamini.

Sina imani ya aina yeyote ile.

Sihitaji kuamini.

Nahitaji kujua kwa uhakika, ushahidi na uthibitisho.

Waganga wapo hata kwenye jamii zetu wapo wengi sana.

Mimi siamini kwamba hao waganga wana nguvu fulani za kimiujiza.

Hao waganga ni matapeli tu.

Hawana uganga wowote wala nguvu yeyote ile.
 
Ulithibitisha vipi kuwa habari za M#Ngu ni za uongo ?
 
Ulithibitisha vipi kuwa habari za M#Ngu ni za uongo ?
Kwa Epicurean Paradox, the problem of evil, proof by contradiction, logical consistency na mutual exclusivity unaweza kuthibitisha kuwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni wa hadithi za watu tu.

Umeshafuatilia Epicurean Paradox / The Problem of Evil?
 
Usianze kuniuliza kwamba najua

Nenda kajielimishe kwanza.

Wewe umeshindwa hata kutofautisha Atheist na Agnostic.

Unasema wote hawa ni kundi moja.

Inaonekana hata hujui unacho kisema.
Nikundi moja kwa logic yangu niliyo changanua hapo ...wewe ujaelewa nilicho changanua
 
Nikundi moja kwa logic yangu niliyo changanua hapo ...wewe ujaelewa nilicho changanua
Agnostic haamini kwamba Mungu yupo au hayupo. Anaamini inawezekana Mungu akawepo au asiwepo.

Atheist hatuamini kwenye imani yeyote ile ya Mungu au miungu. Tunapinga uwepo wa Mungu na miungu.

Atheists hatuamini kwenye kuamini.

Hatuhitaji kuamini, Tunahitaji kujua.

Do you get the point?
 
Nadhani hawajiamini na msimamo wao hivyo pengine hutumia haya mabishano kupinga uwepo wa Mungu ili kujifariji, maana kwenye atheism hakuna majibu ya maswali waliyokuwa wakijiuliza kutokea kwenye dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…