Kiroho zaidi: Rais ajaye baada ya Mama Samia,atakuwa mwanamke pia

Kiroho zaidi: Rais ajaye baada ya Mama Samia,atakuwa mwanamke pia

By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.

Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.

Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?

Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.

MPANGO WA MUNGU ILIKUWA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKALIWE NA MWANAMKE KUANZIA HIYO MWAKA 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.

KWANINI NASEMA MPANGO WA MUNGU ILIKUWA RAIS AWE MWANAMKE ?

Wote tunakubaliana na hoja kwamba " SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU" right?

Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.


1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI

2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.

3. Namba tatu akawa Mwendazake.


HAPO MAANA YAKE NI KWAMBA, MUNGU ALITAKA MWANAMKE NDIO AWE RAIS WA NCHI HII.

Option ya kwanza ilikuwa ni MWANAMKE na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.

HOWEVER wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.

Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.

MIAKA SITA BAADAE chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.

Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.

So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.

Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.

BACK KWA RAIS MWANAMKE ATAKAE POKEA KIJITI CHA MAMA SAMIA: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.

1. Amezaliwa mwaka 1987.

2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.

3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.

4. Shule ya Msingi alisoma Olympio
5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)
6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.

Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.
Wewe Ni Mtela Mwampamba unajaribu kumboost demu wako mliyemgombania na Mzee Hamnazo,ukasanda
 
Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.


1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI

2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.

3. Namba tatu akawa Mwendazake.


HAPO MAANA YAKE NI KWAMBA, MUNGU ALITAKA MWANAMKE NDIO AWE RAIS WA NCHI HII.

Option ya kwanza ilikuwa ni MWANAMKE na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.

HOWEVER wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.
Na hizi habari umezipata wapi mkuu. Matokeo tuliyoyasikia ni kuwa mahindi alikua mwendazake hizi data wewe umezitoa wapi??
 
Bila shaka ni Jokate Mwegelo.....na iwe hivyo.
Amen.

Jokate Mwegelo​



Jokate Mwegelo is the District Commissioner for [Temeke]. She is a politician. Before being appointed, she was an entrepreneur and a media personality. In July 2018, the President of the United Republic of Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli appointed Hon. Jokate Mwegelo as the new District Commissioner for Kisarawe district in Pwani region.She is a member of Chama Cha Mapinduzi, previously served as Secretary in charge of Public Relations and Mobilization UVCCM - youth wing of Chama Cha Mapinduzi.
Personal details
District Commissioner Temeke
Jokate Mwegel
Jokate mwegelo.jpg
Incumbent
Assumed office
3 August 2018
BornJokate Urban Mwegelo
20 March 1987 (age 34)
Washington, D.C. U.S.
NationalityTanzanian
Alma materUniversity of Dar Es Salaam (B.P.S.)
Occupation
  • Politics
  • Entrepreneur
Websitejokatemwegelo.com
She is one among Tanzania's youngest influential leaders and entrepreneurs. In 2017, Hon. Mwegelo was included in Forbes 30 Under 30 in Africa.[1] In August 2017 she was named by Africa Youth Awards among the 100 Most Influential Young Africans.[2] The 2018 Most Influential Young Tanzanians by Avance Media place her as the third most influential young Tanzanian and the most influential young Tanzanian under the category of Law and Governance .[3]

Contents​



Early life and educationEdit

Mwegelo was born on 20 March 1987, in Washington, D.C., where her parents worked. She was raised in Dar es Salaam, Tanzania. She started primary school at Olympio Primary School, where she served as a prefect .
She attended St. Anthony Secondary School from January 2000, where she received her ordinary secondary education, graduating in 2003 with a Certificate of Secondary Education. She served as Assistant Head Girl from 2002 to 2003. In 2002, during the Model United Nations General Assembly in Tanzania she was appointed to serve as the Secretary General.
In march 2004, she joined Loyola High School in Dar Es Salaam, Tanzania to pursue her Advanced Secondary Education, graduating in February 2006 with an Advanced Certificate of Secondary Education. Mwegelo served as a prefect responsible for coordinating all club activities at the school from 2004 to 2005. She was selected as the head prefect for the school from 2005 to 2006. In April 2005, at the inter commonwealth essay competition organized by the Commonwealth of Nations she was awarded 2nd position for best essay. Nationally, she ranked 2nd among female candidates in the English language examination.
Mwegelo attended at the University of Dar Es Salaam from 2007 to 2010 where she graduated Bachelor of Arts with Honors in Political Science B.P.S. and Philosophy with a G.P.A of 4.0.[4] Mwegelo was the founder and coordinator of the University of Dar Es Salaam United Nations Association Chapter in 2008. With other students and partners, Mwegelo organized various initiatives including the Stand Up Campaign towards the MDGs in 2009, commemoration of the International Day of Peace with United Nations Information Centres in 2009 and the Mwalimu Nyerere Intellectual Festival (Kigoda cha Mwalimu) at the University of Dar Es Salaam in 2010. Mwegelo also served as the President of the Tanzania International Student Week in 2009.


Leadership and Political CareerEdit

Mwegelo is a member of Chama Cha Mapinduzi the dominant and ruling party in Tanzania. She was appointed as the Acting Secretary of Public Relations and Mobilization in the youth wing of the ruling party UVCCM. She was among the 450 members of the party that contested to be elected to represent Tanzania as a member in the East African Legislative Assembly.[5]
From a young age Mwegelo has shown leadership trait, starting as a prefect in primary school. She went on to serve as Assistant Head Girl at St. Anthony Secondary School from 2002 to 2003, during the time she was also appointed as the Secretary General for Model United Nations General Assembly in Tanzania in 2002. In high school at Loyola High School from 2004 to 2006 she served as a prefect in charge of coordinating club activities at the school from 2004 to 2005. In 2005 she was elected as Head Prefect until 2006 when she graduated high school. Mwegelo leadership career excelled during her time in university where she was engaged in various activities including being vice-president of marketing and public relations for the International Students Week in Tanzania from 2007 to 2008 and in 2009 she became the President of the International Students Week in Tanzania. She was the founder and coordinator of University of Dar Es Salaam United Nations Association Chapter in 2008. Mwegelo was the project creative coordinator of United Nations Association initiative together with UNIFEM on 16 days against violence on women and girls in 2009. She was appointed as the local ambassador for the Live Global Run water initiative in 2010. In 2011, she was appointed as Ambassador for the Walk for Water initiative that benefitted 100,000 villagers in Bagamoyo, 2011.
On 28 July 2018, President John Magufuli appointed her to serve as the District Commissioner of Kisarawe District and was sworn in on 3 August 2018.


EntrepreneurshipEdit

Kidoti CompanyEdit

In October 2012, she officially launched her company goes by name Kidoti Loving Company Limited, the launch went together with introduction of her new hairline.[6][7][8][9] The company did well and in December 2014, she founded Kidoti. She partnered with RainBow Shell Craft, from China.[10][11][12] Her company produces slippers, wigs, school bags and other fashion accessories, under the Kidoti brand.[13] Her company introduced the Be Kidotified campaign to empower students. Her firm has worked with Mohammed Dewji.[14] In March 2017, Clouds Media Group honored her with the Malkia wa Nguvu Award in business innovation in Tanzania.In 2017 she was nominated at Africa Youth Awards for Entrepreneur Of The Year and her company Kidoti was nominated for Startup Of The Year.[15]
Through Kidoti company, Mwegelo has organized various social and community activities. In 2015 the Kidoti inter-school Bonanza was organized and hosted by Mwegelo which was a talent and networking bonanza featuring 20 schools from Dar Es Salaam region and involved over 4000 students. In the same year, Mwegelo also organized Manjano Dream Makers mentorship program. In 2016, the 'Be Kidotified' campaign was launched with the aim of improving the learning environment in public schools, basketball and netball sport facilities were launched at Jangwani Girls Secondary School.


Awards, Honors and nominationsEdit

Awards and nominationsEdit

YearEventPrizeRecipientResult
2006Vodacom Miss TanzaniaMiss TanzaniaHerself2nd Runner-up [16]
2013Swahili Fashion Week AwardsFemale Stylish Personality AwardHerselfWon[17]
Under30 Youth AwardsFashion CategoryHerselfWon[18]
2015Swahili Fashion Week AwardsBaileys Female Stylish PersonalityHerselfWon[19]
2017Clouds Fm Malkia Wa Nguvu AwardsBusiness InnovationHerselfWon
Africa Youth AwardsEntrepreneur Of The YearHerselfNominated[15]
Startup Of The YearKidoti CompanyNominated[15]
2018AvanceMedia Most Influential Young TanzaniansLaw & GovernanceHerselfWon[20]

HonoursEdit

  • 2011: 25 Young African Women Leaders, Milead Fellowship Program [21]
  • 2017: Forbes 30 Under 30 in Africa, Forbes Africa [22]
  • 2017: 100 Most Influential Young Africans, Africa Youth Awards [23]
  • 2018: Most Influential Young Tanzanians, Avance Media [24]


Work, Volunteering and PersonalEdit

WorkEdit

Mwegelo was a TV presenter for the show Bongo Star Search for the 2006/2007 season which was a singing competition seeking to discover music talent from across Tanzania, she also hosted TV Shows and live events from 2006 to 2007. In 2010, Mwegelo became a regular contributor for The Citizen magazine in Tanzania for Saturday's edition covering women and girls related issues. In 2012, she started managing Kidoti Brand and Company to which still manages up-to-date.

VolunteeringEdit

Mwegelo volunteers through Tanzania Youth Cultural Organization and Tanzania Mitindo House that deals with taking care of children affected by HIV/AIDS.

PersonalEdit

Mwegelo uses her spare time to catch up with world politics and is a reading enthusiast. Through her personal experiences she writes journals, articles and short stories. She loves engaging with the youth through participating in youth initiatives, motivational talks and outdoor games like basketball.
 
By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.

Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.

Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?

Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.

MPANGO WA MUNGU ILIKUWA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKALIWE NA MWANAMKE KUANZIA HIYO MWAKA 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.

KWANINI NASEMA MPANGO WA MUNGU ILIKUWA RAIS AWE MWANAMKE ?

Wote tunakubaliana na hoja kwamba " SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU" right?

Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.


1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI

2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.

3. Namba tatu akawa Mwendazake.


HAPO MAANA YAKE NI KWAMBA, MUNGU ALITAKA MWANAMKE NDIO AWE RAIS WA NCHI HII.

Option ya kwanza ilikuwa ni MWANAMKE na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.

HOWEVER wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.

Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.

MIAKA SITA BAADAE chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.

Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.

So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.

Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.

BACK KWA RAIS MWANAMKE ATAKAE POKEA KIJITI CHA MAMA SAMIA: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.

1. Amezaliwa mwaka 1987.

2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.

3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.

4. Shule ya Msingi alisoma Olympio
5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)
6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.

Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.
Unayemtaja ni Jokate Mwogelo
 
Code nyepesi sana..


Kamala Harris je?
Mana Sleepy Joe sijui km atamaliza muda
 
Back
Top Bottom