mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hivi kwamba twasahau tabia yakeBila shaka ni Jokate Mwegelo.....na iwe hivyo.
Amen.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwamba twasahau tabia yakeBila shaka ni Jokate Mwegelo.....na iwe hivyo.
Amen.
Kitendo cha kuzaliwa Washington kinamuondolea haki ya kugombea uraisYes alizaliwa WASHINGTON DC
Ajabu!Mpango wa Mungu unafelishwa na wanadamu? Kwamba walimashinda Mungu by that time au??
Hatuwezi kuwa na rais aliyetomb**** na diamond platnumzKwani ana nini hadi asiwe Rais ?
Ana tabia gani?? Hebu tujuzeHivi kwamba twasahau tabia yake
Anatakiwa atombw* na nani ndio awe Rais?Hatuwezi kuwa na rais aliyetomb**** na diamond platnumz
Yaah ni ajabu mkuu, ila si ajabu kwa hapa jf. Kuna watu wanawaza tofauti na u/tuwazavyo.
Nampenda yule dada ila sidhani kama inawezekanaAjabu gani?
Sijasoma mpaka mwisho ila kwa ufupi mm naishi mpakani tukipata Rais mwingine wa kike nahamia Uganda na nitafia huko!!By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.
Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.
Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?
Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.
MPANGO WA MUNGU ILIKUWA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKALIWE NA MWANAMKE KUANZIA HIYO MWAKA 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
KWANINI NASEMA MPANGO WA MUNGU ILIKUWA RAIS AWE MWANAMKE ?
Wote tunakubaliana na hoja kwamba " SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU" right?
Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.
1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI
2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.
3. Namba tatu akawa Mwendazake.
HAPO MAANA YAKE NI KWAMBA, MUNGU ALITAKA MWANAMKE NDIO AWE RAIS WA NCHI HII.
Option ya kwanza ilikuwa ni MWANAMKE na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.
HOWEVER wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.
Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.
MIAKA SITA BAADAE chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.
Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.
So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.
Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.
BACK KWA RAIS MWANAMKE ATAKAE POKEA KIJITI CHA MAMA SAMIA: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.
1. Amezaliwa mwaka 1987.
2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.
3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.
4. Shule ya Msingi alisoma Olympio
5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)
6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.
Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.
" Yer 31:22 Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"
Alikuwa balozi wa African Union Marekani, halafu mara ya mwisho nilimsikia akarudi kuwa waziri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Kwani nani angeamini kuwa Samia angekua rais?Yaani Jokate ndo aje awe Rais?Duh..
Ama kweli kuna watu mna maruweruwe
Kwani nani angeamini kuwa Samia angekua rais?
Kila mtu ana haki ya kugombea urais ili mradi atimize vigezo.
Jokate ni kiongozi bora kabisa tukiacha ujana na mapito yake, lakini akiendelea hivi atakuwa mwanasiasa mkubwa tu wa kuheshimiwa
Mchuma mkunaji yupo, but kuolewa kwa baadhi ya wanawake aina yake huwa ngumu.I wonder kama na mchumba au ana hata wazo la kuoleka
Umekuwa kama shehe yahya hussein, alimtabiria mama Samia mwaka 2006 bila yeye mama kujijua.By the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.
Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.
Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?
Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.
MPANGO WA MUNGU ILIKUWA KITI CHA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKALIWE NA MWANAMKE KUANZIA HIYO MWAKA 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
KWANINI NASEMA MPANGO WA MUNGU ILIKUWA RAIS AWE MWANAMKE ?
Wote tunakubaliana na hoja kwamba " SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU" right?
Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.
1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI
2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.
3. Namba tatu akawa Mwendazake.
HAPO MAANA YAKE NI KWAMBA, MUNGU ALITAKA MWANAMKE NDIO AWE RAIS WA NCHI HII.
Option ya kwanza ilikuwa ni MWANAMKE na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.
HOWEVER wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.
Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.
MIAKA SITA BAADAE chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.
Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.
So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.
Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.
BACK KWA RAIS MWANAMKE ATAKAE POKEA KIJITI CHA MAMA SAMIA: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.
1. Amezaliwa mwaka 1987.
2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.
3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.
4. Shule ya Msingi alisoma Olympio
5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)
6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.
Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.
" Yer 31:22 Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"
Acha bangi wewe,unataka ikulu igeuke danguro.yule yupo pale kwa hisani ya hawara yake RIPKwani ana nini hadi asiwe Rais ?
umetumwaBy the time mama Samia ana karibia kumaliza muda wake wa uongozi hiyo mwaka 2030, mamilioni ya Watanzania wata tamani katiba ibadilishwe ili Mama Samia aongezewe muda , lakini halitawezekana tena kwani kwa wakati huo, kwa sababu tayari atakuwa ameshapitisha katiba mpya ya wananchi.
Kwa ufupi uongozi wa Mama Samia utakuwa uongozi utakao acha neema kubwa sana kwa wananchi wa Tanzania na Taifa kwa ujumla.
Rais atakae pokea kijiti cha Mama Samia hiyo mwaka 2030 atakuwa mwanamke pia, ambae ataendeleza pale pale alipoishia Mama SAMIA. Je unajua Rais huyo ni nani ?
Kabla hujamjua Rais huyo ni nani wacha nikurudishe mwaka 2015 wakati wa vuguvugu la kumchagua mgombea wa Urais wa JMT kupitia CCM.
Mpango Wa Mungu ulikuwa kiti Cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kikaliwe na mwanamke kuanzia hiyo mwaka 2015. Mwendazake hakuwa kabisa kwenye mipango ya Mungu kwa habari ya kiti cha Urais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania
Kwanini nasema mpango wa mungu ilikuwa Rais awe mwanamke?
Wote tunakubaliana na hoja kwamba " sauti ya wengi ni sauti ya mungu " right?
Sasa basi twende kwenye matokeo ya kura za kumchagua mgombea wa urais wa CCM.
1. Namba moja alikuwa AMINA SALUM ALI
2. Namba mbili alikuwa ASHAROSE MIGIRO.
3. Namba tatu akawa Mwendazake.
Hapo maana yake ni kwamba, Mungu alitaka mwanamke ndio awe Rais wa nchi hii.
Option ya kwanza ilikuwa ni Mwanamke na option ya pili ilikuwa Mwanamke pia.
However wazito wa CCM hawakutaka kutii sauti hii ya Mungu, wakaamua kufanya wanavyo taka kwa kumpitisha mgombea chaguo lao kimabavu.
Hata hivyo kwa kuwa mpango wa Mungu bado uko pale pale kwamba kiti cha urais wa Tz kikaliwe na mwanamke, aliweka wazo ndani yao kwamba wamchague makamo mwanamke.
Miaka 6 baadae chaguo la Mungu linadhihirika , Mungu anamuweka mwanamke kwenye kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo kusudia toka awali.
Mungu anaiongoza Tanzania kupitia mwanamke. Kwa wasio fahamu, mwanamke ndio lango la asili linalo tumika kuunganisha MBINGU na ARDHI. " Roho zetu ( ambazo zinatoka kwa Mungu na ambazo ni Mungu mwenyewe kabisa ) ili zije duniani ni lazima zipitie kwenye tumbo la mwanamke kwanza.
So Mungu mwenyewe ameamua kuja kui guide Tanzania na amefanya hivyo kupitia mwanamke.
Unae pambana na Mama Samia jua kuwa unapambana na Mungu mwenyewe, maana yake ni kwamba umeshashindwa hata kabla hauja anza.
Back kwa Rais Mwanamke atakae pokea kijiti cha Mama Samia: Sitomtaja jina bali nita taja sifa zake.
1. Amezaliwa mwaka 1987.
2. Alizaliwa Washington DC wakati wazazi wanaishi na kufanya kazi nchini humo.
3. Alirejea Tanzania na wazazi wake, mwaka 1993.
4. Shule ya Msingi alisoma Olympio
5. Ni Alumni wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam ( 2007-2010)
6. Wakati ana kalia kiti cha Urais atakuwa na umri wa miaka 43.
Atakuwa kiongozi bora sana, chini ya uongozi wake nchi ya Tanzania itaendelea kuneemeka kama itakavyo kuwa kwa uongozi wa Mama Samia.
Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki Afrika.
" Yer 31:22 Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume"
Tofautisha danguro na gheto.danguro linamilikiwa na mademu,gheto ni la masela,ikulu miaka yote imekuwa ghetoIkulu miaka nenda huwa ni danguro au wewe ni wa 90''s