Grealish10
Senior Member
- Mar 25, 2020
- 104
- 294
Binamuuuuuuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]naona unamzimia Sana kidoti,anyway poa tu lakini,kwa kuwa sketi mwenzioIngia Google andika Jokate kila kitu chake utaona, mwaka wa kuzaliwa, mahali alipozaliwa, umri wake nk....
Umri badoBila shaka ni Jokate Mwegelo.....na iwe hivyo.
Amen.
[emoji23][emoji23][emoji23] waaah ajabu.Bila shaka ni Jokate Mwegelo.....na iwe hivyo.
Amen.
Naunga mkono hoja. Wanaume tukipewa nafasi tunakimbilia kupiga risasi kina Lissu na kutaka kuongeza muda wa kukaa madarakani.Hata baada ya huyo mrithi wa mama Samia kumaliza nuda wake mwaka 2040, atakayefuata atakuwa mwanamke pia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ajabu gani?[emoji23][emoji23][emoji23] waaah ajabu.
teh teh teh kwamba Likud ni mwanamkeMungu na aepushie mbali aiseee....