Kiroho zaidi: Rais ajaye baada ya Mama Samia,atakuwa mwanamke pia

Natabiri baada ya sekunde 60 zijazo dakika itakua imeshapita
 
February anaamdaliwa kwa usiri mkubwa mno hata huyo dr mapango anakatiliwa mbali subirini muone kwenye kikao cha halimashauri kuu siku hiyo ifike.
Hii coment iwekeni
 
Hata baada ya huyo mrithi wa mama Samia kumaliza nuda wake mwaka 2040, atakayefuata atakuwa mwanamke pia.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hoja. Wanaume tukipewa nafasi tunakimbilia kupiga risasi kina Lissu na kutaka kuongeza muda wa kukaa madarakani.

Yer 31:22​

Kwa maana BWANA ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…