Kisauji (babu wa TikTok) afungiwa miezi sita

Diamond kashafungiwa mara nyingi, na wasafinndio wanaongoza kwa kufungiwa na kuitwa Basata, pale wasafi msanii ambaye hajawahi kuwa na kesi Basata ni lavalava peke yake,
Hujaelewa swali, huyo bibi kizee amesema huyo mzee wa tik tok amefungiwa kwa sababu kuna mambo ya Kiislamu amekiuka, ndio nkauliza mbona mond anakiuka mengi ya Kiislamu na hajawahi kufungiwa kutokana na yeye kukiuka mambo ya Kiislamu
 
Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Sasa hilo nalo ni kosa? Kina Diamond na Mboso si wanafanya hivyo kila siku.
 
Kuna video ilitumwa Juzi ikiuonyesha amekaa kwenye kiti halafu kuna dada amekaa juu ya "boloyoung" akikatika huku akinyonywa kifuani na binti then demu akainama kisha Babuu kisauji akawa anamchapa makofi kwenye "MATTERCORE".
Bila video huu ni uongo na uzushi hivyo afunguliwe.

Weka video acha maneno
 
Maadiliii, maadili!
Sasa kafanya kosa gani hilo la kimaadili?
 
Wewe humjui Babu Kisauji wewe, huwa anafanya mengi ya kishenzi. Naona wamemchoka vituko vyake ndio wamempa adhabu, ila hayo ni kawaida kwake.

Huwa najiuliza, hao wanawake wanaoshikwa shikwa naye hawana wenzi/wazazi? Ni ajabu sana.
jina Kisauji mbona linasaundi kibashabasha hilo?
 
Nchi ishaozaaa hii kimaadili
Na mpaka kufika 2030 itakuwa
Nyanganyanga ushoga,usagaji utakuwa kawaida tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…