Kishindo cha BAVICHA chatikisa Kigoma, wawatembelea Wazazi wa Azory Gwanda

Kishindo cha BAVICHA chatikisa Kigoma, wawatembelea Wazazi wa Azory Gwanda

Malipo ni hapa hapa Duniani
mjcry1.png
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
Kumbe ni muha! Ujuaji mwingi mbele giza! Poleni sana wazazi!
 
Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
Kuna jamaa yangu mmoja aliniambia Wagogo sio watu
Sasa natafakari ile kauli hadi leo
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602

Hawa wazee nikiwaangalia hua nahuzunika sana dah Mungu awape nguvu kwakweli na Mungu awabariki wanaojitolea kuwatembelea
 
Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
Nastaajabu bado mama ameamuwa kwenda na huyu jamaa ambaye anahusika kabisa na unyama uliofanyika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani yeye ndiye aliyeamuwa kwamba waliokuwa wakiokotwa wazikwe hapo hapo bila ya uchunguzi lakini mama kama bado unam'gangania ujuwe unajiharibia.
 
Nastaajabu bado mama ameamuwa kwenda na huyu jamaa ambaye anahusika kabisa na unyama uliofanyika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani yeye ndiye aliyeamuwa kwamba waliokuwa wakiokotwa wazikwe hapo hapo bila ya uchunguzi lakini mama kama bado unam'gangania ujuwe unajiharibia.
Hivi kwenye hilo kundi lao mnadhani kuna mwenye roho nzuri ?
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
Wazazi poleni,tunashukuru Mungu muuaji naye keshazikwa kwenye ngozi ya kondoo Chato
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
majembe yako kazini. Kazi na dawa. Mungu awabariki sana Bavicha
 
Back
Top Bottom