Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni muha! Ujuaji mwingi mbele giza! Poleni sana wazazi!Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Jikite kwenye madaSamahani mkuu hivi wewe chadema una cheo chochote maana unajitolea sana kutupa habari za chadema au mapenzi tu.
Kuna jamaa yangu mmoja aliniambia Wagogo sio watuWakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Ni aibu sana kuandika uongo JFMpenzi wake ni Kiongozi wa chadema, anapalilia unga
Ameen mkuuHawa wazee nikiwaangalia hua nahuzunika sana dah Mungu awape nguvu kwakweli na Mungu awabariki wanaojitolea kuwatembelea
Nastaajabu bado mama ameamuwa kwenda na huyu jamaa ambaye anahusika kabisa na unyama uliofanyika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani yeye ndiye aliyeamuwa kwamba waliokuwa wakiokotwa wazikwe hapo hapo bila ya uchunguzi lakini mama kama bado unam'gangania ujuwe unajiharibia.Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
Hivi kwenye hilo kundi lao mnadhani kuna mwenye roho nzuri ?Nastaajabu bado mama ameamuwa kwenda na huyu jamaa ambaye anahusika kabisa na unyama uliofanyika wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani yeye ndiye aliyeamuwa kwamba waliokuwa wakiokotwa wazikwe hapo hapo bila ya uchunguzi lakini mama kama bado unam'gangania ujuwe unajiharibia.
Wazazi poleni,tunashukuru Mungu muuaji naye keshazikwa kwenye ngozi ya kondoo ChatoIle Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Safi sana big upCheo ni dhamana ya muda mfupi sana
muangalie huyu , leo yuko wapi ?
View attachment 2106511
Mimi sina cheo ila ni mzalendo tu kama Mwamakula
Tena mzalendo wa kweli na sio mzalendo maslahi🤔.Safi sana big up
yeye yupo wapi sasa hiviMagufuli. Daaah
umesikika .Fikeni hadi geita mkamsalimie mama mzazi wa mawazo .
Kwenye pumnziko la milele.yeye yupo wapi sasa hivi
majembe yako kazini. Kazi na dawa. Mungu awabariki sana BavichaIle Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602