Trillion
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 3,330
- 7,494
Wanajua sana shida tunazopitia watanganyika kwenye ajira. Hawajali hawa MaCCM ni WAJAALAANA..Wangejua mtu alivyosota hadi kuipata meza hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua sana shida tunazopitia watanganyika kwenye ajira. Hawajali hawa MaCCM ni WAJAALAANA..Wangejua mtu alivyosota hadi kuipata meza hio
Tena siasa tu za kukosaoana.KILA mmoja anayo haki ya kuishi haikuwa sahihi kutoa uhai wa mwenzio kisa utofauti wa mtazamo
Huyo jamaa achana naye .Anajijua yeye mwenyeweWewe ni mpum.vu mkubwa.
Kuhabarisha ni ujuaji!!??
Kwa hiyo JF nayo ni "wajuaji" kwa kukupa nafasi ya kutiririka uzuzu wako hapa!!????
Imetikisa kweli kweli wewe unaonaje?Kigoma " imetikisika". Duh.
Wanajua si tunaambiwa wako kila mahali?Hiyo picha hapo chini mama akilia imenihuzunisha sana.
Hivi haya yanatokea nchi ambayo jeshi lipo,usalama wa taifa wapo na wanakaa kimyaa!!
Tujitafakari sana kwa kweli.
AminaMungu akubariki sana ndugu Erythrocyte .
Mpuuzi ni wewe! Ujuaji usio na akili ni upumbavu tu! Huoni akina Zitto wajuaji sana vitendo sifuri! Njoo kigoma ukae ndo utawajua uchawa tu na kwenye mambo nyeti ya serkali!Wewe ni mpum.vu mkubwa.
Kuhabarisha ni ujuaji!!??
Kwa hiyo JF nayo ni "wajuaji" kwa kukupa nafasi ya kutiririka uzuzu wako hapa!!????
Wewe pimbi kweli namaanisha Azori Gwanda sio wewe zezeta! Unarukia mambo tu bila sababu!Wewe ni mpum.vu mkubwa.
Kuhabarisha ni ujuaji!!??
Kwa hiyo JF nayo ni "wajuaji" kwa kukupa nafasi ya kutiririka uzuzu wako hapa!!????
Polepole jamaniWewe pimbi kweli namaanisha Azori Gwanda sio wewe zezeta! Unarukia mambo tu bila sababu!
Sijui unaongelea wakinani lakini upuuzi unaendelea kwenye siasa za nchi hii siyo jambo la kuchekesha.We nawe kama wale wale tu🤣🤣
Hakuna Cha msaada Wala Nini hao wanatafuta pakujioneashea tu.Kama mlikuwa na misaada isinge ngojea siku hiyo mmewadhalilisha tu hao watu kwa mazingira ya picha!
Bavicha wametulia wewe unalia !Hakuna Cha msaada Wala Nini hao wanatafuta pakujioneashea tu.
Kama Kweli wameumizwa nakupotea kwa mtajwa hapo juu, nakuwaonea huruma hao wazee ,walitakiwa kujiweka kwenye nafasi ya mtoto anae mtemberea mzazi.
Sioni zawadi hapo.
Kumbuka huyo alie potea alikua akiwalea wazee wake kwa namna moja au nyingine.
Hii safari ilitakiea kuwa ya faraja kwa hao wazee kinyume chake imekua ya kuamsha machungu mazito.
Hii sio sawa. Usiniambie zawadi zimetolewa nyuma ya camera.
Haitotokea na haiji kutokea.
Povu rukhusa .
Yawezekana na piga na Mayowe kabisa.Bavicha wametulia wewe unalia !