Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Chugalism salute Mkuu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chugalism salute Mkuu....
Weraaaa Tunavuruga mpaka Kasulu ndani ndani huko....majembe yako kazini. Kazi na dawa. Mungu awabariki sana Bavicha
Hii kali sana mpaka huko kakonko BuyunguWeraaaa Tunavuruga mpaka Kasulu ndani ndani huko....
Nduli lazima afufurushwe ....Hii kali sana mpaka huko kakonko Buyungu
Unapozungumza hivi kwa hili, vipi kuhusu masoko yanayoungua, hayo menyewe unayazungumziaje?Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
hahahaa cheo cha mbowe kipo kwenye ushindaniSamahani mkuu hivi wewe chadema una cheo chochote maana unajitolea sana kutupa habari za chadema au mapenzi tu.
Mungu ibariki CHADEMAIle Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Mungu haibariki CHADEMA,ACT wala CCM wote ni wahuni tu.Mungu ibariki CHADEMA
AmiiniMungu ibariki CHADEMA
We nawe kama wale wale tu🤣🤣Mungu haibariki CHADEMA,ACT wala CCM wote ni wahuni tu.
Mungu wabariki wanyonge watanzania tu.
Samia na Mwigulu wanachoma masoko.Unapozungumza hivi kwa hili, vipi kuhusu masoko yanayoungua, hayo menyewe unayazungumziaje?
Mkuu, toa hoja acha tabia za kupandikiza ukabila! Kuna kabila lisilo ruhusiwa kushiriki maswala ya kitaifa au kukosa haki kwa kuwa ni kabila fulani?Usimsingizie Magufuli kwanza hata ushahidi huna! Mda mwingine muwe na subra! Biblia inasema wanaangamia kwa upumbavu wao! Pia neno linasema heshimu mamlaka! Huyo muha ujuaji mwingi mbele giza! Halafu ametokea familia masikini na kuwaacha wazazi wako wakiteseka kwa ujinga na upumbavu!
Wangejua mtu alivyosota hadi kuipata meza hio
Hiyo picha hapo chini mama akilia imenihuzunisha sana.Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Mungu akubariki sana ndugu Erythrocyte .Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana
muangalie huyu , leo yuko wapi ?
View attachment 2106511
Mimi sina cheo ila ni mzalendo tu kama Mwamakula
Kigoma " imetikisika". Duh.Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .
Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .
Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .
Mungu ibariki Bavicha .
View attachment 2106453
View attachment 2106602
Wewe ni mpum.vu mkubwa.Kumbe ni muha! Ujuaji mwingi mbele giza! Poleni sana wazazi!