Kishindo cha BAVICHA chatikisa Kigoma, wawatembelea Wazazi wa Azory Gwanda

Kishindo cha BAVICHA chatikisa Kigoma, wawatembelea Wazazi wa Azory Gwanda

Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..
Unapozungumza hivi kwa hili, vipi kuhusu masoko yanayoungua, hayo menyewe unayazungumziaje?
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
Mungu ibariki CHADEMA
 
Unapozungumza hivi kwa hili, vipi kuhusu masoko yanayoungua, hayo menyewe unayazungumziaje?
Samia na Mwigulu wanachoma masoko.
MaCCM wote ni LAANAKUM
1B905DC0-676A-4205-964C-73A795F894C1.jpeg
 
KILA mmoja anayo haki ya kuishi haikuwa sahihi kutoa uhai wa mwenzio kisa utofauti wa mtazamo
 
Usimsingizie Magufuli kwanza hata ushahidi huna! Mda mwingine muwe na subra! Biblia inasema wanaangamia kwa upumbavu wao! Pia neno linasema heshimu mamlaka! Huyo muha ujuaji mwingi mbele giza! Halafu ametokea familia masikini na kuwaacha wazazi wako wakiteseka kwa ujinga na upumbavu!
Mkuu, toa hoja acha tabia za kupandikiza ukabila! Kuna kabila lisilo ruhusiwa kushiriki maswala ya kitaifa au kukosa haki kwa kuwa ni kabila fulani?
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
Hiyo picha hapo chini mama akilia imenihuzunisha sana.
Hivi haya yanatokea nchi ambayo jeshi lipo,usalama wa taifa wapo na wanakaa kimyaa!!
Tujitafakari sana kwa kweli.
 
Ile Taasisi ya vijana inayoongoza kwa Ubora barani Africa , na ya tatu kwa ubora duniani , BAVICHA , Imekwishaingia Mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi ya Kusambaza moto wa Katiba mpya Mkoani humo .

Kabla ya kuanza operesheni ya KATIBA MPYA vijana hao wamefika kijiji cha MSIMBA kwa lengo la kuwasalimia na kuwajulia hali Bi Eva Mpurumba na Bw Obadia Gwanda ambao ni wazazi wa AZORY GWANDA aliyepotezwa nchini Tanzania tangu 2017 , Azory alikuwa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi aliyekuwa anafuatilia habari za mauaji ya Kibiti .

Kwa niaba ya Watanzania wazalendo nachukua nafasi hii kuipongeza BAVICHA kwa moyo wa kibinadamu na kuwaamua kuwatembelea wazee hawa ambao sasa umri umewatupa mkono sana .

Mungu ibariki Bavicha .

View attachment 2106453

View attachment 2106602
Kigoma " imetikisika". Duh.
 
Back
Top Bottom