Kishindo cha BAVICHA chatikisa Kigoma, wawatembelea Wazazi wa Azory Gwanda

Samahani mkuu hivi wewe chadema una cheo chochote maana unajitolea sana kutupa habari za chadema au mapenzi tu.
Huku Chadema ni kujitoa kwa moyo. Huku wachumia tumbo hawamalizi mwaka panawashinda.

Ni Commitment, work and determination tu
 
Dikteta bora alikufa asee, unatesaje wazee kama hawa hata nyumba hawana?
 
Wakati Azory Gwanda anapotea kwa amri ya waziri wa policcm na watu wasiojulikana al maalufu kama vikosi (maalum kwa kazi maalum)
Mheshimiwa Mwigulu..
Kipindi ambacho kuvua samaki na maiti za watu Baharini kawaida kabisa..

Wale wa Kibiti waliuliwa na nani.
 

Una uhakika? Kama unao tukutane kisutu. Gharama za kesi Ntalipia. Leta na Wale waliohusika na mauaji ya KIBITI na hapa watu waropokaji kama nyie mlikuwa mnashangalia. Upanga ukatao kuwili.
 
Dikteta bora alikufa asee, unatesaje wazee kama hawa hata nyumba hawana?
Usimsingizie Magufuli kwanza hata ushahidi huna! Mda mwingine muwe na subra! Biblia inasema wanaangamia kwa upumbavu wao! Pia neno linasema heshimu mamlaka! Huyo muha ujuaji mwingi mbele giza! Halafu ametokea familia masikini na kuwaacha wazazi wako wakiteseka kwa ujinga na upumbavu!
 
Nadhani wewe utakuwa na laana haswa, kwenye post yangu kuna neno Magufuli?
 
Una uhakika? Kama unao tukutane kisutu. Gharama za kesi Ntalipia. Leta na Wale waliohusika na mauaji ya KIBITI na hapa watu waropokaji kama nyie mlikuwa mnashangalia. Upanga ukatao kuwili.
Akili yako haina akili.
 
Nadhani wewe utakuwa na laana haswa, kwenye post yangu kuna neno Magufuli?
Wewe pimbi na ID zako feki tunakujua sana tu! Sasa kama Gwanda alijua kabisa familia yake yeye ndo tegemeo alijiingizaje kwenye issue za kijinga na mambo ya kibiti! Familia kama ilivyoona hali ni mbaya ndo maana tunawaambia!
 
Yule jamaa ni mtu mkubwa hakwepeki. Hata jpm alimtoa akamrudisha tena
 
Kazi nzuri!
 
Bora alitwaliwa mwendazake, apate adhabu kali sana huko aliko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…