Kishindo kingine cha Rais Samia, tunasubiri jina la Waziri mpya wa Jinsia

Kishindo kingine cha Rais Samia, tunasubiri jina la Waziri mpya wa Jinsia

Joined
Sep 17, 2021
Posts
39
Reaction score
84
Rais Samia Suluhu Hassan, anaendelea kutakata na kuitakatisha Tanzania. Amejibu ombi la muda mrefu la watu wengi, kuhusu kuitenganisha Wiazara ya Afya na idara nyingi zilizokuwa chini yake.

Rais amesema sasa Wizara ya Afya itashughulika na Afya pekee, kisha Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto vitapelekwa kwenye Wizara yake.

Jambo hili litafanya Wizara ya Afya iongeze nguvu zaidi kwenye kuhudumia Afya za Watanzania, huku ustawi wa Jamii na masuala ya wanawake, watoto na wazee vikipewa uzito unaostahili.

Jambo hilo limepokelewa vyema na watu waliokuwa ukimbini, huku pia likipokelewa kwa shangwe na watu wema kupitia mtandaoni.

hakika MAMA YUKO KAZINI
 

Attachments

  • I think this is a brilliant move! Nimefarijika sana na huu uamuzi wa Mh Rais Samia Suluhu Hass...mp4
    5.3 MB
In the longrun inabidi iwekwe kwenye katiba wizara za serikali na haiwezekani kubadili mpaka katiba ibadilishwe au pawepo na dharura na bunge liridhie. Haya mambo ya kuunda, kuunganisha, kisha kuunda upya ni gharama kwa fedha za walipa kodi
 
Rais Samia Suluhu Hassan, anaendelea kutakata na kuitakatisha Tanzania. Amejibu ombi la muda mrefu la watu wengi, kuhusu kuitenganisha Wiazara ya Afya na idara nyingi zilizokuwa chini yake.

Rais amesema sasa Wizara ya Afya itashughulika na Afya pekee, kisha Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto vitapelekwa kwenye Wizara yake.

Jambo hili litafanya Wizara ya Afya iongeze nguvu zaidi kwenye kuhudumia Afya za Watanzania, huku ustawi wa Jamii na masuala ya wanawake, watoto na wazee vikipewa uzito unaostahili.

Jambo hilo limepokelewa vyema na watu waliokuwa ukimbini, huku pia likipokelewa kwa shangwe na watu wema kupitia mtandaoni.

hakika MAMA YUKO KAZINI
Rubbish

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Jamii isipokuwa na critical thinkers madhara yake ndo haya. Of what use is the new ministry? Walioweka wizara ya afya na hyo nyingine isiyoeleweka walifikiri vizuri?
 
Mirija ya ulaji inaenda kuongezeka,,, Wizara itahitaji ofisi nchi nzima...

Vijana watapata ajira pia,, au ndio kinatengenezwa cheo ili mtu fulani apate ulaji
 
Tumetoka mbali sanaa

Mfano shule za msingi walipochanganya masomo aina 2-3 tofauti na kusema "study za kazi" sayansi ya jamii
Zamani somo la siasa/geographia/sayansi-kimu/historia etc yalikuwa yakijitegemea .... baada ya mda yakajumuishwa baadhi, wengine wakasema sawa na wengine wakasema sio sawa

Huu muunganisho wa wizara kwa nchi nyingi wizara ya afya "ministry of health' inasimama yenyewe. anyway ni mipango ya kiutendaji
 
Apo kwenye maendeleo ya jamii, jinsia, wazee na watoto kuna donor funds nyingi sana ku support projects

Sasa sijui kwq nini inatakikana kurudi ofisi ya rais
 
Sijui kwa nini maendeleo Jinsia, na watoto ya jamii ikaunganishwa na Afya??
Ni kupunguza gharama tu...ukiangalia kwa sasa maendeleo,jinsia na watoto ina katibu mkuu wake na ofisi zake zinazojitegemea kabisa.ni kama waziri mmoja kusimamia wizara mbili....
 
Back
Top Bottom