Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Rais Samia Suluhu Hassan, anaendelea kutakata na kuitakatisha Tanzania. Amejibu ombi la muda mrefu la watu wengi, kuhusu kuitenganisha Wiazara ya Afya na idara nyingi zilizokuwa chini yake.
Rais amesema sasa Wizara ya Afya itashughulika na Afya pekee, kisha Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto vitapelekwa kwenye Wizara yake.
Jambo hili litafanya Wizara ya Afya iongeze nguvu zaidi kwenye kuhudumia Afya za Watanzania, huku ustawi wa Jamii na masuala ya wanawake, watoto na wazee vikipewa uzito unaostahili.
Jambo hilo limepokelewa vyema na watu waliokuwa ukimbini, huku pia likipokelewa kwa shangwe na watu wema kupitia mtandaoni.
hakika MAMA YUKO KAZINI
Rais amesema sasa Wizara ya Afya itashughulika na Afya pekee, kisha Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto vitapelekwa kwenye Wizara yake.
Jambo hili litafanya Wizara ya Afya iongeze nguvu zaidi kwenye kuhudumia Afya za Watanzania, huku ustawi wa Jamii na masuala ya wanawake, watoto na wazee vikipewa uzito unaostahili.
Jambo hilo limepokelewa vyema na watu waliokuwa ukimbini, huku pia likipokelewa kwa shangwe na watu wema kupitia mtandaoni.
hakika MAMA YUKO KAZINI