KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Hii itamkomaza zaidi kudai haki za kisiasa na zaidi katiba mpya. Huyu ni mtoto wa ubatizo wa shujaa. Naye ni shujaa anapitia katika tanuru la moto atakwiva na kutuongoza kwenda nchi ya ahadi siyo siku nyingi. Aluta Continua
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

 
Kwa kukishikilia chama kama mwenyekiti mda wote huo, huenda kuna walakini.
 
Hii itamkomaza zaidi kudai haki za kisiasa na zaidi katiba mpya. Huyu ni mtoto wa ubatizo wa shujaa. Naye ni shujaa anapitia katika tanuru la moto atakwiva na kutuongoza kwenda nchi ya ahadi siyo siku nyingi. Aluta Continua
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

 
Hii itamkomaza zaidi kudai haki za kisiasa na zaidi katiba mpya. Huyu ni mtoto wa ubatizo wa shujaa. Naye ni shujaa anapitia katika tanuru la moto atakwiva na kutuongoza kwenda nchi ya ahadi siyo siku nyingi. Aluta Continua
mpaka atoke atakuta mama kisha maliza na mchakato wa katiba mpya zamaaaani
 
Zungusha mikono, zungusha, zungushaaaa...

Mabadirikoooooooo.....!!!!!
Lowasaaaaaaaaa!!!!
1629705486124.png


2878995_images_9.jpeg
 
serikali yako inaendesha kesi hii kisanii na kwa kuviziavizia.. wameona leo wale wanaofadhili serikali hawaji kusikiliza ndio wamemleta. nnji hii kwa usanii ni hatari sana
Kwani tarehe hii ya leo haikupangwa?
 
Ukiona mapambano na viongozi wa dini yameongezeka, nguvu nyingi zinatumika kuwaaminisha watu jambo kwa vitisho la jeshi la polisi, wananchi wamenyamaza wanapuzia jambo lipite,ukiona mambo mengi yanayofanana na hayo yanatokea jua kuwa mwisho wa mateso umekaribia na umoja wa kuzungumzia jambo kwa sauti moja umekaribia. Na hapo ndipo hao watajua kuwa hauijui. Muda ni mwalimu.
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

Safi kabisa. Moyoni mwake anajua ukweli wote juu ya vitendo hivyo vya ugaidi. Mbowe ni mtu hatari sana siyo tu kwa taifa lakini hata kwa Chadema. Polisi waimarishe ulinzi Nguvu ya Chadema imekwisha mahakamani na imekwisha Twitter Republic. Sasa mahakama ifanye kazi yake kwa utulivu na mambo yote yawekwe wazi. Mbowe si malaika.
 
Back
Top Bottom