KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Kwani tarehe hii ya leo haikupangwa?
kwani lastime hawakupanga tarehe? walipanga na wambwiga wenu walivyoona nyomi la wafafadhili wa nnji wapo makamani wakageuzia angani na kisingizio cha kindezi kutoka lumumba eti usafiri hakuna.. mbona waliweza kumtoa mwanza fasta kwa ndege? leo pia wamenusa wakaona wafadhili hawapo ndio wamemleta. wafadhili sio wapumbafff kama viongozi wako na hamuwezi kuwayumbisha mtanasa wenyewe tu kwenye tundu.
 
kwani lastime hawakupanga tarehe? walipanga na wambwiga wenu walivyoona nyomi la wafafadhili wa nnji wapo makamani wakageuzia angani na kisingizio cha kindezi kutoka lumumba eti usafiri hakuna.. mbona waliweza kumtoa mwanza fasta kwa ndege? leo pia wamenusa wakaona wafadhili hawapo ndio wamemleta. wafadhili sio wapumbafff kama viongozi wako na hamuwezi kuwayumbisha mtanasa wenyewe tu kwenye tundu.
Baada ya kusema usafiri hakuna si wakapanga kwamba itakuwa leo?
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

Hii kesi imekaakaaje.

Kwa kutumia logic, kesi ya Ugaidi inapaswa kuwa kubwa kuliko uhujumu uchumi. Maana ugaidi unaweza kuwa mpaka kuua, kuharibu msli mpaka treason wakati Uhujumu uchumi unahusiana zaidi kujinufaisha mtu binafsi. Sasa kesi ya ugaidi inapokuwa ndani ya uhujumu uchumi haionekani kama iko sawaswa. It was supossed to be the other way around.

Wanasheria mtusaidie hapa tafsiri. Pascal Mayalla
 
gaidi ananyooshwa kwelikweli

Bado inahitajika juhudi zaidi.

Kama kamanda Mbowe akitiwa hatiani tutaweza kusurvive?

Comment #7 nambari yako ya usajili inaashiria jitihada zaidi zinatakikana:

IMG_20210823_114329_414.jpg


Cc: Mag3
 
serikali yako inaendesha kesi hii kisanii na kwa kuviziavizia.. wameona leo wale wanaofadhili serikali hawaji kusikiliza ndio wamemleta. nnji hii kwa usanii ni hatari sana
Sasa inamaana Mtuhumiwa hawezi kujitetea bila ya Wafadhili kuwepo Mahakamani!?
 
Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.

Mungu ibariki CHADEMA
 
Sasa chadema ni nyani?,chadema si ni watu,wewe na ukoo wako ndio sio watu bali ni wale wanyama wajuzi wa kucheza kwenye miti waliofanana na binadamu
Watu wako wako wapi sasa?

Juzi hadi Lema anawashngaa mmekusanyanyana watu zaidi ya 800 huko clubhouse eti mnamjadili kigogo? [emoji23][emoji23]

Mnapata wapi huo muda? Badala ya muingie site nyie mko mtandaoni mnamjadili kigogo?

Wapumbavu wakubwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nelson Mandela pia alipitia haya yote, Hichilema HH naye pia, sasa mwenyekiti wetu naye wanamsulubu lakini historia za wote miamba watatu hawa wakaishia kuongoza Mataifa yao mbali ya mbinu zote walizotumia watawala kujaribu kushindana na historia.
 
Vp Mabalozi wa Kizungu,nao wamekuja!? Au Wameufyata mkwara wa Mama Mulamula Boss wao hapa Tz!?
Hahaha boss anayelipwa mshahara na Mabeberu hahahah, sasa hapo sijui Mulamula ni boss au Mabeberu
 
Case za namna hii ni nzuri sana hasa akipatiwa Adui wako....Omba isikukute/kumfika ndugu yako.

Hata kama humpendi Mbowe;
1. Paza sauti kila 'Tuhuma iwe na dhamana mahakamani

2. Paza sauti tuhuma za kubabika zikomeshwe
 
kunawatu majinga na manafiki kuliko wafuasi wa gwajima wanaoshangilia ugomvi wa familia kanisani Huku wanajiita walokole!!
askofu funza anashika biblia huku anatukana na kudhalilisha watu...
unashabikia mbowe kuwekwa ndani kwakesi yenye utata ili nini na utapata nini mwenzio akinyanyaswa??
poor stupid sick animals...
 
CCM wamebumba kesi hii ili wapumue suala la katiba mpya - je watafanikiwa ?
 
kunawatu wajinga kuliko wafuasi WA gwajima wanaoshangilia ugomvi wa familia kanisani Huku wanajiita walokole!!
unashabikia mbowe kuwekwa ndani kwakesi yenye utata ili nini na utapata nini mwenzio akinyanyaswa??
poor stupid sick animals...
Tanzania tupo wajinga wengi...utakuta jitu linatoa sadaka yote afu linatembea kwa mguu majasho hoi hoi huku mtumishi akitanua maisha ya anasa kwa sadaka.
 
Back
Top Bottom