kwani lastime hawakupanga tarehe? walipanga na wambwiga wenu walivyoona nyomi la wafafadhili wa nnji wapo makamani wakageuzia angani na kisingizio cha kindezi kutoka lumumba eti usafiri hakuna.. mbona waliweza kumtoa mwanza fasta kwa ndege? leo pia wamenusa wakaona wafadhili hawapo ndio wamemleta. wafadhili sio wapumbafff kama viongozi wako na hamuwezi kuwayumbisha mtanasa wenyewe tu kwenye tundu.Kwani tarehe hii ya leo haikupangwa?
Anything can happen.Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.
Baada ya kusema usafiri hakuna si wakapanga kwamba itakuwa leo?kwani lastime hawakupanga tarehe? walipanga na wambwiga wenu walivyoona nyomi la wafafadhili wa nnji wapo makamani wakageuzia angani na kisingizio cha kindezi kutoka lumumba eti usafiri hakuna.. mbona waliweza kumtoa mwanza fasta kwa ndege? leo pia wamenusa wakaona wafadhili hawapo ndio wamemleta. wafadhili sio wapumbafff kama viongozi wako na hamuwezi kuwayumbisha mtanasa wenyewe tu kwenye tundu.
Hii kesi imekaakaaje.Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.
gaidi ananyooshwa kwelikweli
Sasa inamaana Mtuhumiwa hawezi kujitetea bila ya Wafadhili kuwepo Mahakamani!?serikali yako inaendesha kesi hii kisanii na kwa kuviziavizia.. wameona leo wale wanaofadhili serikali hawaji kusikiliza ndio wamemleta. nnji hii kwa usanii ni hatari sana
Mungu ibariki CHADEMAMwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.
wale wahuniu ndiyo wabarikiwe au umekosea kuandikaMungu ibariki CHADEMA
Watu wako wako wapi sasa?Sasa chadema ni nyani?,chadema si ni watu,wewe na ukoo wako ndio sio watu bali ni wale wanyama wajuzi wa kucheza kwenye miti waliofanana na binadamu
utaratibu umeenda na mwenda zakeKwani ule mtindo wa uhujumu uchumi kumaliziana kwa kulipana bado upo?
group la wahuni tu hilo kila mtu anakula alichokipanda
Hahaha boss anayelipwa mshahara na Mabeberu hahahah, sasa hapo sijui Mulamula ni boss au MabeberuVp Mabalozi wa Kizungu,nao wamekuja!? Au Wameufyata mkwara wa Mama Mulamula Boss wao hapa Tz!?
Tanzania tupo wajinga wengi...utakuta jitu linatoa sadaka yote afu linatembea kwa mguu majasho hoi hoi huku mtumishi akitanua maisha ya anasa kwa sadaka.kunawatu wajinga kuliko wafuasi WA gwajima wanaoshangilia ugomvi wa familia kanisani Huku wanajiita walokole!!
unashabikia mbowe kuwekwa ndani kwakesi yenye utata ili nini na utapata nini mwenzio akinyanyaswa??
poor stupid sick animals...