Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu KWa akili Kama hizi ,mtu ASEME tz Kuna CCM ,utakua kichaayaani hapo alipo ananuka mavi kunyea ndoo siyo kuzuri na ugaidi siyo mzuri
The amount of money is not an issue, any amount can aid terorrism , the issue is how do you prove the sum was used for that purpose?Kiongozi wa chadema ( Chama cha democrasia na maendeelo) FREEMAN MBOWE . Amesomewa mashtaka yake leo.
Chakushangaza charge sheet inasema bwana mbowe anatuhumiwa kufadhili u
UGAIDI kwa kiasi cha shi $ 297 ( kama Tsh 600,000)
Je UGAIDI UPI unafadhiliwa kwa kiasi hicho cha fedha?
Its crazy that @freemanmbowetz is charged with terrorism by 'funding' US Dollar 297.54 sponsoring terrorists. What kind of terrorism can $297 do?
#hisisnotaterrorist
Uzi tayari.
Safi kabisa. Moyoni mwake anajua ukweli wote juu ya vitendo hivyo vya ugaidi. Mbowe ni mtu hatari sana siyo tu kwa taifa lakini hata kwa Chadema. Polisi waimarishe ulinzi Nguvu ya Chadema imekwisha mahakamani na imekwisha Twitter Republic. Sasa mahakama ifanye kazi yake kwa utulivu na mambo yote yawekwe wazi. Mbowe si malaika.
Laki sita inaona ndogo! Wakati sabaya ansumbuliwa kwa laki 30000Yaani Laki 6 ndiyo inafadhiri mauaji ya Sabaya.
Na huo mpango wa kuuwa viongozi unamuhusu kiongozi moja tu, Sabaya ambaye naye anatuhumiwa kwa makosa yanayofanana na ya mtuhumiwa. I can smell fishy.....!!
Anyway, makosa yote yaliyoorodhehwa yako very diluted tofauti na ukubwa wa hiyo kesi yenyewe.
😀😀😀😀Kwa hiyo Haji Manara anaweza kuwa Gaidi wakati wowote na chenji ikabaki
😆😆😆Kwa hiyo Haji Manara anaweza kuwa Gaidi wakati wowote na chenji ikabaki
mtakoma na magaidi yenu mlifikiri hatuwajui mtatajana tu wote mnataka kuua mpaka mkuu wa wilaya? sasa anatoka kuja kutoa ushahidi huku mtakomaAlafu KWa akili Kama hizi ,mtu ASEME tz Kuna CCM ,utakua kichaa
Mtu kama uyu jaribu kumuuliza , itikadi za kuanzishwa CCM hajui , yeye ,kila ngoma ikipigwa ni kudemka,
CCM tafuta watu ,vijana wenye UWEZO wawasaidie, leo mna watu hata kusimama kwenye majukwaa ,hawawezi, daily tegemea mbeleko
Unashangaa nini?,hiyo pesa wanapewa wanywa viroba na ngada wakafanye yao kwenye vituo vya mafutaView attachment 1904583
Gharama ya Ugaidi wa Mbowe imenifanya nishangae mno na wakati huo huo niogope , ikiwa kama mtu anaweza kutumia pesa ndogo kiasi hicho kufanya ugaidi basi dunia iko matatani hasa ! badala ya kusikitika nimejikuta nacheka !
Nadhani kuna haja ya watunga kesi kujiongeza ili angalau dunia iwaamini hata kidogo basi , kiwango cha uongo walioweka humu ni duni mno !
Siyo kusikilizwa miaka 3 tu BALI pia inaweza kwenda na mtu miaka 30! Hapo ndipo tutakaposhangaa ya Musa wakati hatujaona ya Farao!Kumbe Tanzania Kufadhili Ugaidi ni Hela Ndogo Tuuu, (Laki Sita) [emoji23][emoji23] Hii Kesi inabidi Wateliban Nao Waje [emoji23][emoji23][emoji23].
Kumbe Utetezi wa Sabaya Una Ukweli? Au Dot zinakuwa Connectes ili Sabaya Aachiwe mwingine Ahukumiwe.
Kumbe ukiwa na Jezi Za Jeshi Ni Ugaidi.
Kumbe Risasi 3 zinatosha kabisa Kufanya Ugaidi Nchi hii.
Yaani Hii Kesi Ina Mambo Mepesi Mepesi kabisaaaaa lakini inaweza kusikilizwa Miaka 3
Beside you dully need to prove it, beyond reasonable doubt . It hough the Green Light shine for Mbowe justice .[emoji3]The amount of money is not an issue, any amount can aid terorrism , the issue is how do you prove the sum was used for that purpose?
kwani ugaidi ulitaka aje na fuso la risasi?Kumbe Tanzania Kufadhili Ugaidi ni Hela Ndogo Tuuu, (Laki Sita) [emoji23][emoji23] Hii Kesi inabidi Wateliban Nao Waje [emoji23][emoji23][emoji23].
Kumbe Utetezi wa Sabaya Una Ukweli? Au Dot zinakuwa Connectes ili Sabaya Aachiwe mwingine Ahukumiwe.
Kumbe ukiwa na Jezi Za Jeshi Ni Ugaidi.
Kumbe Risasi 3 zinatosha kabisa Kufanya Ugaidi Nchi hii.
Yaani Hii Kesi Ina Mambo Mepesi Mepesi kabisaaaaa lakini inaweza kusikilizwa Miaka 3
Ukweli DDP na Prosecutor wanajichora kweli .... yaani US$ 300 zinatosha kufanya Ugaidi Tanzania .....!!View attachment 1904583
Gharama ya Ugaidi wa Mbowe imenifanya nishangae mno na wakati huo huo niogope , ikiwa kama mtu anaweza kutumia pesa ndogo kiasi hicho kufanya ugaidi basi dunia iko matatani hasa ! badala ya kusikitika nimejikuta nacheka !
Nadhani kuna haja ya watunga kesi kujiongeza ili angalau dunia iwaamini hata kidogo basi , kiwango cha uongo walioweka humu ni duni mno !
Mkuu jiongeze kidogo , baada ya hapo wanalipwa nini ?Unashangaa nini?,hiyo pesa wanapewa wanywa viroba na ngada wakafanye yao kwenye vituo vya mafuta
Kesi bado ipo mahakaman Mkuu. Umesha hukumu tayarijela inamuhusu huyo na mashahidi kibao mpaka kina dci"? amekwisha huyo