KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

yaani hapo alipo ananuka mavi kunyea ndoo siyo kuzuri na ugaidi siyo mzuri
Alafu KWa akili Kama hizi ,mtu ASEME tz Kuna CCM ,utakua kichaa

Mtu kama uyu jaribu kumuuliza , itikadi za kuanzishwa CCM hajui , yeye ,kila ngoma ikipigwa ni kudemka,

CCM tafuta watu ,vijana wenye UWEZO wawasaidie, leo mna watu hata kusimama kwenye majukwaa ,hawawezi, daily tegemea mbeleko
 
Kiongozi wa chadema ( Chama cha democrasia na maendeelo) FREEMAN MBOWE . Amesomewa mashtaka yake leo.

Chakushangaza charge sheet inasema bwana mbowe anatuhumiwa kufadhili u
UGAIDI kwa kiasi cha shi $ 297 ( kama Tsh 600,000)

Je UGAIDI UPI unafadhiliwa kwa kiasi hicho cha fedha?


Its crazy that @freemanmbowetz is charged with terrorism by 'funding' US Dollar 297.54 sponsoring terrorists. What kind of terrorism can $297 do?
#hisisnotaterrorist


Uzi tayari.
The amount of money is not an issue, any amount can aid terorrism , the issue is how do you prove the sum was used for that purpose?
 
Kumbe Tanzania Kufadhili Ugaidi ni Hela Ndogo Tuuu, (Laki Sita) [emoji23][emoji23] Hii Kesi inabidi Wateliban Nao Waje [emoji23][emoji23][emoji23].

Kumbe Utetezi wa Sabaya Una Ukweli? Au Dot zinakuwa Connectes ili Sabaya Aachiwe mwingine Ahukumiwe.

Kumbe ukiwa na Jezi Za Jeshi Ni Ugaidi.

Kumbe Risasi 3 zinatosha kabisa Kufanya Ugaidi Nchi hii.

Yaani Hii Kesi Ina Mambo Mepesi Mepesi kabisaaaaa lakini inaweza kusikilizwa Miaka 3
 
jela inamuhusu huyo na mashahidi kibao mpaka kina dci"? amekwisha huyo
 
Safi kabisa. Moyoni mwake anajua ukweli wote juu ya vitendo hivyo vya ugaidi. Mbowe ni mtu hatari sana siyo tu kwa taifa lakini hata kwa Chadema. Polisi waimarishe ulinzi Nguvu ya Chadema imekwisha mahakamani na imekwisha Twitter Republic. Sasa mahakama ifanye kazi yake kwa utulivu na mambo yote yawekwe wazi. Mbowe si malaika.
1629713673772.png

AMEN
 
Yaani Laki 6 ndiyo inafadhiri mauaji ya Sabaya.

Na huo mpango wa kuuwa viongozi unamuhusu kiongozi moja tu, Sabaya ambaye naye anatuhumiwa kwa makosa yanayofanana na ya mtuhumiwa. I can smell fishy.....!!

Anyway, makosa yote yaliyoorodhehwa yako very diluted tofauti na ukubwa wa hiyo kesi yenyewe.
Laki sita inaona ndogo! Wakati sabaya ansumbuliwa kwa laki 30000
 
Alafu KWa akili Kama hizi ,mtu ASEME tz Kuna CCM ,utakua kichaa

Mtu kama uyu jaribu kumuuliza , itikadi za kuanzishwa CCM hajui , yeye ,kila ngoma ikipigwa ni kudemka,

CCM tafuta watu ,vijana wenye UWEZO wawasaidie, leo mna watu hata kusimama kwenye majukwaa ,hawawezi, daily tegemea mbeleko
mtakoma na magaidi yenu mlifikiri hatuwajui mtatajana tu wote mnataka kuua mpaka mkuu wa wilaya? sasa anatoka kuja kutoa ushahidi huku mtakoma
 
View attachment 1904583

Gharama ya Ugaidi wa Mbowe imenifanya nishangae mno na wakati huo huo niogope , ikiwa kama mtu anaweza kutumia pesa ndogo kiasi hicho kufanya ugaidi basi dunia iko matatani hasa ! badala ya kusikitika nimejikuta nacheka !

Nadhani kuna haja ya watunga kesi kujiongeza ili angalau dunia iwaamini hata kidogo basi , kiwango cha uongo walioweka humu ni duni mno !
Unashangaa nini?,hiyo pesa wanapewa wanywa viroba na ngada wakafanye yao kwenye vituo vya mafuta
 
Kumbe Tanzania Kufadhili Ugaidi ni Hela Ndogo Tuuu, (Laki Sita) [emoji23][emoji23] Hii Kesi inabidi Wateliban Nao Waje [emoji23][emoji23][emoji23].

Kumbe Utetezi wa Sabaya Una Ukweli? Au Dot zinakuwa Connectes ili Sabaya Aachiwe mwingine Ahukumiwe.

Kumbe ukiwa na Jezi Za Jeshi Ni Ugaidi.

Kumbe Risasi 3 zinatosha kabisa Kufanya Ugaidi Nchi hii.

Yaani Hii Kesi Ina Mambo Mepesi Mepesi kabisaaaaa lakini inaweza kusikilizwa Miaka 3
Siyo kusikilizwa miaka 3 tu BALI pia inaweza kwenda na mtu miaka 30! Hapo ndipo tutakaposhangaa ya Musa wakati hatujaona ya Farao!
 
The amount of money is not an issue, any amount can aid terorrism , the issue is how do you prove the sum was used for that purpose?
Beside you dully need to prove it, beyond reasonable doubt . It hough the Green Light shine for Mbowe justice .[emoji3]
 
Kumbe Tanzania Kufadhili Ugaidi ni Hela Ndogo Tuuu, (Laki Sita) [emoji23][emoji23] Hii Kesi inabidi Wateliban Nao Waje [emoji23][emoji23][emoji23].

Kumbe Utetezi wa Sabaya Una Ukweli? Au Dot zinakuwa Connectes ili Sabaya Aachiwe mwingine Ahukumiwe.

Kumbe ukiwa na Jezi Za Jeshi Ni Ugaidi.

Kumbe Risasi 3 zinatosha kabisa Kufanya Ugaidi Nchi hii.

Yaani Hii Kesi Ina Mambo Mepesi Mepesi kabisaaaaa lakini inaweza kusikilizwa Miaka 3
kwani ugaidi ulitaka aje na fuso la risasi?
 
View attachment 1904583

Gharama ya Ugaidi wa Mbowe imenifanya nishangae mno na wakati huo huo niogope , ikiwa kama mtu anaweza kutumia pesa ndogo kiasi hicho kufanya ugaidi basi dunia iko matatani hasa ! badala ya kusikitika nimejikuta nacheka !

Nadhani kuna haja ya watunga kesi kujiongeza ili angalau dunia iwaamini hata kidogo basi , kiwango cha uongo walioweka humu ni duni mno !
Ukweli DDP na Prosecutor wanajichora kweli .... yaani US$ 300 zinatosha kufanya Ugaidi Tanzania .....!!
 
Haya mambo yanashangaza, huku naona ugaidi, upande wa pili nasikia tena uhujumu uchumi, hawa jamaa naona wanaweka mashtaka yasiyo na dhamana ili waendelee kumuweka ndani.

Hii kesi naona imetengenezwa ili kuipoteza ile ya Sabaya, kule Sabaya akihojiwa anasema ana maadui wa kisiasa, hapo Kisutu wanasema Mbowe alimsababishia majeraha Sabaya, hayo majeraha aliyapata lini? wapi? waliripoti polisi? wana RB?
 
Back
Top Bottom