Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
usiparamie jiti usilolijua bichboi"tufauti" ndio nini?
Hivi kwa nini unapenda "kinyume nyume"!!??
Elimu huna.
Hekima huna.
Werevu huna.
Hata heshima unashindwa kuwa nayo ambacho ni kitu cha bure!!!
AminaTuombe kwa Mungu amuweke mahali anapo stahili.
Ata (Hata).Ata kuandika ni shida!
Ujinga gani ikiwa serikali ndio imesanda?Wasirudie tena huo ujinga
Huko Kenya wanaharakati wamemwambia awatotoe gerezani wahanga wa uchaguziWaliokuwa hawakubaliani na mwazo ya jiwe tumepitia kwenye tanuru la ndimi za moto.
Kama yeye alivyojifiaKesi za kipuuzi za mwendazake. Zinajifia moja baada ya nyingine.
TeteteteteNimepokea taarifa toka mbali kwamba wakati kesi inafutwa, jiwe nae ndio anageuzwa jikoni upande wa pili kama muhindi wa kuchoma
Ndiyo wapo sahihi na kwa jinsi mama alivyo msikivu tunaamini atawaachiliaHuko Kenya wanaharakati wamemwambia awatotoe gerezani wahanga wa uchaguzi
Wasirudie tena huo ujinga
Hapo Mgogo kachambia KatibaMbunge asiye na Chama chochote
Sishangai kama alikuwa anasema CDM ikipewa nchi ,watavunja madaraja yote halafu wakauze Kama scrapAngewakosa hapo angesema walitaka kuvunja ikulu
Nimepokea taarifa toka mbali kwamba wakati kesi inafutwa, jiwe nae ndio anageuzwa jikoni upande wa pili kama muhindi wa kuchoma
Ohooooooo,taratibuniWewe mbona umeandika "ata" badala ya "hata"!!!
Kweli wajane wa shetani mnateseka sana.
Case zenyewe zilikuwa hazina mashiko Jiwe bhana, mfano kesi kama hiyo unaiskilizaje?Sababu nini?