Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

Tulio ishi ADA ESTATE,Hilo la bi mkubwa kuhamisha mchanga ni kweli, Sema mzee alikuwa mkoloni dah na pick up lake pale home, Mkewe anaenda Mbuyuni shuleni na mguu dah
 
Haya mapimbi yanalipwa elfu kumi kumi tu kuchafua watu...

Hii nchi iko chini ya wana mtandao..

Wanayatumia haya mapimbi kuchafua watu huku wao wanakula mkate.
 
Kwanza familia ya Magufuli ikiamua inaweza mfungulia kesi ya madai kwa kutumia picha yake kuuza kitabu bila ya ridhaa yao.

Uwezi kuokota tu picha ya mtu for commercial exploitation bila ya ridhaa yao,
Mbona umeongelea tu Magufuli na Sirro
Magufuli asingekua Rais familia ingemshtaki Kabendera ila kwa vile ni public figure kutumia Picha yake inakua siyo issue tena ya familia ni ya Serikali , ni kama Lisu alivyoshindwa kwenda mahakamani kumshtaki Samia kutumia picha yake kwa sababu haipo copyrighted na yeye wala kampuni yake maadam hajamdharirisha
 
Inategemea picha umeitumia vipi na kwa context zipi.

Kama umeitumia for ‘commercial gain’ unahitaji ridhaa ya familia.

Especially kama ni copy and paste (unahitaji ridhaa ya mpiga picha) yeye ndio mwenye copy right. Na mpiga picha pia ana limitations ya matumizi yake.

Uwezi tu kuamka asubuhi, kuokota picha na kuweka kwenye front cover ili kuuza kitabu chako.

Tena chenye story za kusadikika, ambayo nayo wanaweza kukushutaki uthibitishe baadhi ya maudhui.

Ndio shida yetu kudhani, unaweza jifanyia tu mambo.
 
Ben saa nane ni kazi ya Mbowe ila wajinga hamjui
Kama angekuwa ni Mbowe mbona ingekuwa ni rahisi tu kumkamata na kumshataki Mahakamani!! Unapoona kuwa hata RB ya Polisi haijafunguliwq ujuwe mhusika ni Taasisi.

Kadanganye watoto wako wapumbavu uliowazaa kwa mbegu mbovu tu, kuwa kifo cha Ben Saanane mhusika ni Mbowe
 
Deni la Taifa linahimilika. So far Tanzania haiko kwenye top 10 ya most indebted countries in Africa.

Wewe ni ANTI -Samia, ila wakati mwingine shirikisha halmashauri ya ubongo wako.
 
Haya mapimbi yanalipwa elfu kumi kumi tu kuchafua watu...

Hii nchi iko chini ya wana mtandao..

Wanayatumia haya mapimbi kuchafua watu huku wao wanakula mkate.
Hivi unamchafuaje mchafu? Magufuli ameingia madarakani akiwa mchafu, na akaendelea kuwa mchafu. Tungewezaje kumchafua?

Ndiyo maana Mungu akamtupilia jehanam kwa uchafu wake
 
Deni la Taifa linahimilika. So far Tanzania haiko kwenye top 10 ya most indebted countries in Africa.

Wewe ni ANTI -Samia, ila wakati mwingine shirikisha halmashauri ya ubongo wako.
Life goes on

Unadhani huko serikalini wana shughuli tena na huyo Magufuli

Watu wanaangalia 2025, washatoka huko kwa Magufuli; yao yanaenda.

As far as mafisadi are concerned ‘asiekuwepo na lake halipo’.

Ni muda sasa na wewe u-move on kama wenzako.
 
Hicho kitabu kinauzwa TZS??????
Nataka nkinunue nijue yaliyomo.
 
Hivi unamchafuaje mchafu? Magufuli ameibgia madarakani akiwa mchafu, na akaendelea kuwa mchafu. Tungewezaje kumchafua?

Ndiyo maana Mungu akamtupilia jehanam kwa uchafu wake
Kipindi cha Samia tunaona watu wanatekwa na kuuwawa...

Kama kweli nia yenu ni njema!

Mbona sijawahi kuona nyuzi za kumtuhumu yeye moja kwa moja?

Au Kibao, Soka na wenzake wapo sehemu hawajafa?

Hiki kitu ndio kinanifanya niamini, nyinyi mnatumwa.
 
 
M
Tulio ishi ADA ESTATE,Hilo la bi mkubwa kuhamisha mchanga ni kweli, Sema mzee alikuwa mkoloni dah na pick up lake pale home, Mkewe anaenda Mbuyuni shuleni na mguu dah
Kitabu kingeandikwa in the name of Jiwe
 
Kwanza familia ya Magufuli ikiamua inaweza mfungulia kesi ya madai kwa kutumia picha yake kuuza kitabu bila ya ridhaa yao.

Uwezi kuokota tu picha ya mtu for commercial exploitation bila ya ridhaa yao,
Hamna mazuri ndani yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…