Kitanda hakizai haramu wewe ni wa nje ama ndani ya ndoa..nini haki zako kama mtoto wa nje ya ndoa kwa waislam na wakristo...

Kitanda hakizai haramu wewe ni wa nje ama ndani ya ndoa..nini haki zako kama mtoto wa nje ya ndoa kwa waislam na wakristo...

Dini zimewapa kilema cha fikra.

Sheria ni moja Tanzania.

Kisheria, watoto wote ni sawa mbele sheria za nchi.

Hizo sheria za dini tena zenye ubaguzi, hazina nafasi katika haki na maslahi ya mtoto.
 
wakiristo nikama wanyama tu hawajitambui
Sijui kama unajitambua,yaani bao lako lizaliwe halafu likose urithi wako ujione mwamba?

Nikuulize,ukitoa wazo la hiyo dini yako inayokwambia usilee mtoto uliyemtotoa mwenyewe hivi wewe unapenda au ungependa mwanao aliyetoka kwenye kiuno chako ateseke na dunia hii wakati unao uwezo kimaisha?
 
Urithi wa sasa ni elimu tu, huo urithi mwingine wa mali ni ubatili

Binafsi nitakuwa na amani wanangu wakielimika wakaijua dunia inataka nini, hapo maana yake wanaweza kutengeneza mali kadri watakavyo kuzidi hata zako za urithi
Oyaaa acha kuzunguka sanaaaa billgets na utajiri woote ule na watoto wake wameeelimika lakini mali lazima warithi acha kukimbia majukumu sijui elimu sijui nini elimu ina mahali pake na mali pia ina mahali pake .

Usizitumbue kwa kasi kutokana na menntaliity hizi mbovu watoto wako wakabaki kurithi nguo .😁 kaza UACHE MALI
 
Dini zimewapa kilema cha fikra.

Sheria ni moja Tanzania.

Kisheria, watoto wote ni sawa mbele sheria za nchi.

Hizo sheria za dini tena zenye ubaguzi, hazina nafasi katika haki na maslahi ya mtoto.
Kumbe haujui hata sheria yenyewe mkuu? Kurithi ni mpaka baba amtambue huyo mtoto kama wake mambo ya DNA yatahusika na wengi huwa hawapendi kuvunja ndoa zao so anaweza kukupa gawiwo lako mapema ila ukikaza kichwa unavukwa mita 100
 
umeongea bila uelewa mkuu.unapichukia kitu bas jaribu ku research ujue kinasemaje! umerefer karne ya saba umeeleweka umelenga uislam ila nikikuuliza unajua mtoto wa nje anastahik kupata vipi sehem ya mal ya ababa yake unajua mkuu? bas turesarch kidogo japo chuki haifutiki.
kwneye islam mtoto wa nje ya ndoa akifa baba yake harithi.anachotakiwa baba huyu akiwa hai amtunze mtoto amsomeshe na ampe kabisa kitu miingon mwa vitu as long as akiwa hai. i stand to be correction. and god knows best
Kwa hiyo uache kumgawia mtoto wako urithi kwa sababu dini yako imekuambia hastahili kupewa urithi? Hizo zitakuwa akili au ujinga?? Mtoto ni mtoto tu awe wa ndani ya ndoa au nje ya ndoa, hakuna mtoto haramu.
 
Kwa mujibu wa sheria za Kiislamu (Sharia), mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa hawezi kurithi mali ya baba yake wa kibiolojia, isipokuwa baba huyo amemtambua na kumlegitimizisha mtoto huyo kwa mujibu wa sheria za Kiislamu. Hii ni kwa sababu katika Sharia, urithi hutegemea uhusiano wa kihalali wa ndoa.

Hapa kuna maelezo zaidi kuhusu hali hiyo:

1. Mtoto wa Nje ya Ndoa kwa Baba wa Kibiolojia

Katika Sheria za Kiislamu, mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa:

Hana haki ya kurithi kutoka kwa baba wa kibiolojia kwa sababu hawezi kuhesabika kama mrithi wa kisheria.

Urithi unahusiana tu na watoto waliozaliwa ndani ya ndoa au wale waliotambuliwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria za Kiislamu.



2. Mtoto wa Nje ya Ndoa kwa Mama

Mtoto wa nje ya ndoa ana haki kamili ya kurithi kutoka kwa mama yake na ndugu wa upande wa mama.

Haki zake za urithi kwa upande wa mama hazibaguliwi kwa sababu ya hali ya ndoa ya mama na baba.


3. Njia za Kumhakikishia Mtoto Mali

Wosia (Wasiyyah):

Baba anaweza kuandika wosia (kwa kiasi cha hadi theluthi moja ya mali yake) kumsaidia mtoto wa nje ya ndoa. Hii ni njia ya kumhakikishia mtoto sehemu ya mali bila kukiuka sheria za Kiislamu.


Zawadi wakati wa uhai (Hiba):

Baba anaweza kumpa mtoto mali au zawadi wakati wa uhai wake, jambo ambalo halipingani na sheria za Kiislamu.



4. Uboreshaji wa Uhusiano

Ikiwa baba anamkubali mtoto wa nje ya ndoa na anataka aingizwe katika orodha ya warithi, anapaswa kuzingatia ushauri wa wanazuoni wa Kiislamu kuhusu jinsi ya kumtambua mtoto huyo kihalali.


Hitimisho

Kwa ujumla, mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya moja kwa moja ya kurithi mali ya baba wa kibiolojia katika Uislamu. Hata hivyo, kupitia wosia au zawadi wakati wa uhai wa baba, inaweza kuwa njia ya kumhakikishia mtoto sehemu ya mali. Ni vyema kutafuta ushauri wa wanazuoni wa Kiislamu ili kuhakikisha haki na sheria zinatekelezwa ipasavyo.
 
Sijui kama unajitambua,yaani bao lako lizaliwe halafu likose urithi wako ujione mwamba?

Nikuulize,ukitoa wazo la hiyo dini yako inayokwambia usilee mtoto uliyemtotoa mwenyewe hivi wewe unapenda au ungependa mwanao aliyetoka kwenye kiuno chako ateseke na dunia hii wakati unao uwezo kimaisha?
huwezi kuelewa kwasababu nyie nikama wanyama
 
huwezi kuelewa kwasababu nyie nikama wanyama
As for me,wewe kwenye hii case ndiye mnyama tena mnyama mwenyewe umbwa.

Mbwa akishatungisha mimba yeye mbio hajui kama mtoto alizaliwa au hakuzaliwa na kama alizaliwa anakula nini ataishi vipi hajui sasa wewe/ninyi mna tofauti gani na mbwa?unajisifia ujinga just grow up.
 
umeongea bila uelewa mkuu.unapichukia kitu bas jaribu ku research ujue kinasemaje! umerefer karne ya saba umeeleweka umelenga uislam ila nikikuuliza unajua mtoto wa nje anastahik kupata vipi sehem ya mal ya ababa yake unajua mkuu? bas turesarch kidogo japo chuki haifutiki.
kwneye islam mtoto wa nje ya ndoa akifa baba yake harithi.anachotakiwa baba huyu akiwa hai amtunze mtoto amsomeshe na ampe kabisa kitu miingon mwa vitu as long as akiwa hai. i stand to be correction. and god knows best
mkuu hata wewe hujafanya research kabisa kwa mujibu wa Dini ya kiislam mtoto wa nje ana haki ya kuridhi mali za baba kama watoto wengine. Mtoto wa nje ana haki sawa na watoto ndoa
 
As for me,wewe kwenye hii case ndiye mnyama tena mnyama mwenyewe umbwa.

Mbwa akishatungisha mimba yeye mbio hajui kama mtoto alizaliwa au hakuzaliwa na kama alizaliwa anakula nini ataishi vipi hajui sasa wewe/ninyi mna tofauti gani na mbwa?unajisifia ujinga just grow up.
wewe akili kisoda tulia hujui lolote.wewe nimnyama
 
Kwa mujibu wa sheria za Kiislamu (Sharia), mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa hawezi kurithi mali ya baba yake wa kibiolojia, isipokuwa baba huyo amemtambua na kumlegitimizisha mtoto huyo kwa mujibu wa sheria za Kiislamu. Hii ni kwa sababu katika Sharia, urithi hutegemea uhusiano wa kihalali wa ndoa.

Hapa kuna maelezo zaidi kuhusu hali hiyo:

1. Mtoto wa Nje ya Ndoa kwa Baba wa Kibiolojia

Katika Sheria za Kiislamu, mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa:

Hana haki ya kurithi kutoka kwa baba wa kibiolojia kwa sababu hawezi kuhesabika kama mrithi wa kisheria.

Urithi unahusiana tu na watoto waliozaliwa ndani ya ndoa au wale waliotambuliwa kwa mujibu wa taratibu za kisheria za Kiislamu.



2. Mtoto wa Nje ya Ndoa kwa Mama

Mtoto wa nje ya ndoa ana haki kamili ya kurithi kutoka kwa mama yake na ndugu wa upande wa mama.

Haki zake za urithi kwa upande wa mama hazibaguliwi kwa sababu ya hali ya ndoa ya mama na baba.


3. Njia za Kumhakikishia Mtoto Mali

Wosia (Wasiyyah):

Baba anaweza kuandika wosia (kwa kiasi cha hadi theluthi moja ya mali yake) kumsaidia mtoto wa nje ya ndoa. Hii ni njia ya kumhakikishia mtoto sehemu ya mali bila kukiuka sheria za Kiislamu.


Zawadi wakati wa uhai (Hiba):

Baba anaweza kumpa mtoto mali au zawadi wakati wa uhai wake, jambo ambalo halipingani na sheria za Kiislamu.



4. Uboreshaji wa Uhusiano

Ikiwa baba anamkubali mtoto wa nje ya ndoa na anataka aingizwe katika orodha ya warithi, anapaswa kuzingatia ushauri wa wanazuoni wa Kiislamu kuhusu jinsi ya kumtambua mtoto huyo kihalali.


Hitimisho

Kwa ujumla, mtoto wa nje ya ndoa hana haki ya moja kwa moja ya kurithi mali ya baba wa kibiolojia katika Uislamu. Hata hivyo, kupitia wosia au zawadi wakati wa uhai wa baba, inaweza kuwa njia ya kumhakikishia mtoto sehemu ya mali. Ni vyema kutafuta ushauri wa wanazuoni wa Kiislamu ili kuhakikisha haki na sheria zinatekelezwa ipasavyo.
Hiki alichokiandika hakina ukweli wowote ule isipokuwa tuna tabia ya kusema kitu ambacho hatuna uhakika nacho,Katika Dini ya Islam inamtambua mtoto mtoto alizaliwa nje ya mfumo wa taasisi ya ndoa na ana sawa Kama watoto waliozaliwa ktk mfumo wa ndoa
 
Watoto wamtajiri leo wangekuwa masikini mkuu maliza babayako uwezikwepa kutafuta zako n kipaumbele

Mzazi afe aache biashara ati uniambie nikatafute changu chake anachukua nani
Biashara ya mzazi siyo Mali yako. Tafuta Cha kwako.
 
Hiki alichokiandika hakina ukweli wowote ule isipokuwa tuna tabia ya kusema kitu ambacho hatuna uhakika nacho,Katika Dini ya Islam inamtambua mtoto mtoto alizaliwa nje ya mfumo wa taasisi ya ndoa na ana sawa Kama watoto waliozaliwa ktk mfumo wa ndoa
Hili nabisha mkuu kwa sababu sio mjadala wa kujadili na kupasishwa bungeni au mahakamani bali ni Dini hii

Na dini ya kiislam ili kuwa na uhakika na kitu huwa hatubishani bali kuna Aya, hadithi na vitabu pia
Naomba unisaidie ni nani aliesema kwenye Uislam mtoto wa nje ana haki sawa na aliezaliwa kwenye ndoa
Huenda una ilmu kutuzidi humu
Asante
 
Kumbe haujui hata sheria yenyewe mkuu? Kurithi ni mpaka baba amtambue huyo mtoto kama wake mambo ya DNA yatahusika na wengi huwa hawapendi kuvunja ndoa zao so anaweza kukupa gawiwo lako mapema ila ukikaza kichwa unavukwa mita 100

Nimesoma sheria husika, nimeyapitia maamuzi ya Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa.

Siandiki vya kusadikika kama wewe.
 
Hiki alichokiandika hakina ukweli wowote ule isipokuwa tuna tabia ya kusema kitu ambacho hatuna uhakika nacho,Katika Dini ya Islam inamtambua mtoto mtoto alizaliwa nje ya mfumo wa taasisi ya ndoa na ana sawa Kama watoto waliozaliwa ktk mfumo wa ndoa
Labda hizo sheria kama ulizitunga ww.
 
Oyaaa acha kuzunguka sanaaaa billgets na utajiri woote ule na watoto wake wameeelimika lakini mali lazima warithi acha kukimbia majukumu sijui elimu sijui nini elimu ina mahali pake na mali pia ina mahali pake .

Usizitumbue kwa kasi kutokana na menntaliity hizi mbovu watoto wako wakabaki kurithi nguo .😁 kaza UACHE MALI
Kurithi mali za baba yako sio lazima uamuzi wa kukurithisha au kutokurithisha utatoka kwa mzazi wako, mzazi analazimishwa kukulea lakini halazimishwi kukurithisha mali zake.
 
Mwezi na nyota
Dini zote hazimtambui mtoto aliye patikana nje ya utalatibu wa dini zao Wawe waisilam, wakristo, wayahudi ,hata wahindu.
Hata kuserikali mtoto wa nje usipo mtambulisha kwa familia akajulikana na kuandika wosia juu yake siku ukifa atambulia patupu hakuna Sheria itakayo msaidia.
 
Back
Top Bottom