Hauna madhara kama hiyo ikiyofungiwa, maana hata watu wanaonzisha nyuzi humu, hasa wana ufipa kwa asilimia kubwa huwa wanategemea habari kutoka twitter kwa Mungu wao Kigogo.Mungu wangu haya mambo nilikuwa nayasikia! duh ila JF nao ni kiboko kwa ulinzi wa mtandaoni!
Mwisho wako wa majungu umefika wacha kulialia kama kasuku. Mlikolalia ndio tumeamkia, si mlijipanga kupotosha na kujifanya mkwara wenu upo juu sasa muda umefika mbichi zinajulikana.
Wkt hapo unatumia VPN...hovyo kabisa... ungetulizana nje ya mtandao kama ni sahihi wewe kukosa mtandao... vipi mbona MATAGA hamfati sheria bila shuruti?? Mpo mnahangaika kama kuku wanaotaka kutaga kutafuta internet [emoji57][emoji57][emoji57]Kura zote kwa magufuli, ushindi kama kumsukuma mlevi, lisu ni loser
Simu zinafanya kazi mkuu wacha majungu!Kigogo anazo number Toll free kuanzia mapema tu kesho tutaanza kupata update. Ni mwendo wa SMS wazime kabisa mawasiliano ya simu.
Kwa sababu wewe ni zwazwa huna ubongo wa hata kujiuliza kwa nini wazime na wao wana uhakika wa kushinda kwa 98%Siwezi kuinyima kura Ccm sababu ya mitandao
Baadae msije kulalamika kuwa mliibiwa kura.Tunategemea Kigogo atakuwa msaada mkubwa sana kwenu.Kigogo anazo number Toll free kuanzia mapema tu kesho tutaanza kupata update. Ni mwendo wa SMS wazime kabisa mawasiliano ya simu.
Kaa nje ya mtandao... umenyimwa haki yako ya kupata mawasiliano umevunja sheria kuitafuta. Zima simu ulale alaaàahSiwezi kuinyima kura Ccm sababu ya mitandao
Fata sheria bila shuruti unafata nini humu??? Subiria matokeo TBCtena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Km mkotena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Yale majigambo yenu kumbe ni debe tupu?
Km mko
BORA WAFUNGIE TUU WAHUNI WANGETUMIA VIBAYA KAMA WALIVYOFANYA WAKATI ULE WA COVID-19... #kuna maisha baada ya uchaguzi.Tarehe 28 ni kesho. nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo ccm na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unaweza je kufungia play store? kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
Baadae msije kulalamika kuwa mliibiwa kura.Tunategemea Kigogo atakuwa msaada mkubwa sana kwenu.Kigogo anazo number Toll free kuanzia mapema tu kesho tutaanza kupata update. Ni mwendo wa SMS wazime kabisa mawasiliano ya simu.
Ana km kama yako kmmyomama yako ana keki ?
Sasa hapa unaharisha kitandan kwako na sio mtandao ya kijamiitena katika jambo la maana waliofanya ni kuzima mitandao ya kijamii maama kesho kila mtu angekua mtangaza matokeo.
hayo matusi yenu kawatukaneni baba zenu huko
Wakati ule waliwavuruga sana watuBORA WAFUNGIE TUU WAHUNI WANGETUMIA VIBAYA KAMA WALIVYOFANYA WAKATI ULE WA COVID-19... #kuna maisha baada ya uchaguzi.
Tarehe 28 ni kesho. nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo ccm na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unaweza je kufungia play store? kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.
So Ushajieleza Hapa tumekusikiaa hujaridhikaaaa tumewaweza na vituo vyenu vya kuhesebu kura hahahahaha sijui mtatangazia wapi hahahaTarehe 28 ni kesho, nenda kapige spana.
Kama kuna jambo la hovyo CCM na watu wao wameshauriana ni hili la kufungia mitandao ya kijamii, play store, (na app store).
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kufungia play store? Kwamba hata apps ambazo hazihusiani na twitter nazo tusi download?
Nawaasa watanzania watumiaji wa mitandao ya kijamii na play store kesho tuna jambo letu. Siku imekuwa yenye msongo sana na hatujui wataifungulia lini hawa wakoloni weusi. Kesho tukawakatae kwenye sanduku la kura.
Tunahitaji uhuru wa kujieleza, kupata na kupasha habari.
Huu utumwa hapana kwenye nchi yetu.