Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa muungwana ungempongeza sana Mh. Rais kwa utu wake na ucha Mungu huo, nakumbuka the same applies kwa Mh. Rais Uhuru Kenyatta wakati akitoa Salamu za Rambirambi wakati wa maziko ya Hayati Magufuli.Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Bora angesimamisha hata nusu saa tumsikie Mungu kuliko ahadi zisizotekelezeka.
Mleta mada anahoja ajibiwe kwa hoja. Acheni kumshambulia. Kwanini mnamfunga mdomo why? why? why?. Nyie wote mnaomshambulia hamna tofauti na Ndugai aliyewashambulia wapinzani.
#We're not the same.
JF ya miaka hii ni tofauti kabisa na ya miaka ya 2005. Sasa hivi imevamiwaTujitahidi kujadili masuala yenye tija kwa taifa - kama uchumi na biashara, amani na umoja wa kitaifa, haki, demokrasia na uhuru wa kutoa maoni, na masuala kama hayo. Rais kama muumini wa dini ya kiislamu na kama kiongozi mkuu wa taifa letu amefanya uamuzi wa busara kusimamisha hotuba yake kwa muda.
Mbona makanisani kengele huwa zinagongwa kushtua waumini kuwa muda wa kusali umefika? What is wrong?Hizo adhana huwa ni kupigiana makelele tu yasiyokua na mpango, kwani kuna asiyejua muda wa kusali?
Leo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini y
Makanisa na misikiti ziheshimu privacy za watu. Si jambo la busara unasali wewe unawapigia kelele wengine. Sisi wengine hatuna na wala hatuamini kwa hayo mliyoletewa na wazungu na waarabu. Ebu acheni mambo ya udini hayo, hayatusaidi katika maisha yetu, kama unasali, omba kwa Mungu wako katika sehemu za usiri na zisizo na kelele. Hiyo adhana ya kuitana kwenda kusali au kupiga kengele kwa makanisa ni suala lililopitwa na muda, kwani ukiambiwa sala au swala inaanza saa sita huna saa hadi uitwe na muadhana? au ukijua misa au ibada inaanza saa nne, saa sita na saa nane, huwezi ku-keep time usichelewe swala/sala? Mbona kwenye mabaa na mkisafiri mnawahi sana, sasa leo mnaona shida kuwahi kwenye ibada. Huo mnaosema ni ujinga tena mkubwa na inaonyesha ni primitiveness. Acheni kujipendekeza kwa cheap popularity.Bora angesimamisha hata nusu saa tumsikie Mungu kuliko ahadi zisizotekelezeka.
👋👋👋Alifanyia hapo hapo Dom sio chato
Shame kwako wewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji849]Dini hiyo hiyo inasema mwanamama hatakiwi kuwa kiongozi mwenye mamlaka ya juu kabisa ila anaweza kuwa kiongozi wa chini chini tu what a shame.
Imekula kwakeMleta mada ALIDHANI angefanikiwa KUZUA TAHARUKI! [emoji23][emoji23][emoji23]
Naewe Ni Mujahidina na suruali fupi njiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu kama imekuuma kunywa sumu
Una ugulia maumivu kutoka wapi mkuu😬😬😂Naewe Ni Mujahidina na suruali fupi njiwa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mungu yupo?Bora angesimamisha hata nusu saa tumsikie Mungu kuliko ahadi zisizotekelezeka.
Yeye ataheshimu dini yako inayoruhusu kula kiti Moto. Wanawaua nguruwe ukifuga karibu nao hata Kama wamekukuta unafuga wao wakiwa wageniKuheshimu dini ya mtu ata kama ukiwa huna dini au mnautofauti si kosa. Huwezi nyanyuka ukiwa na akili zako timamu ukaenda kula kitimoto mazingira ya msikitini kisa huko huru kufanya hivyo hapana.
Kama wewe ulivyo wa hovyoHii nchi kila kitu ni cha kupingwa. Upinzani wamelemaza sana vijana wa nchi hii..
Nchi ya hovyo sana..