FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Qur'an 3:103. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane.Mfumo Islamu
Huo ndiyo Uislam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qur'an 3:103. Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane.Mfumo Islamu
Lisilokuhusu linakupandishaje jazba kama sio kukosa malezi ya kujiamini kutoka kwa wazazi wako wasiojiamini?!!!Hizo adhana huwa ni kupigiana makelele tu yasiyokua na mpango, kwani kuna asiyejua muda wa kusali?
Omba basi Mungu atushushie malaika awe rais wetu kwani akija Rais Francis utalalamika hivyohivyo.....Mfumo Islamu
Mbona hiyo ni kawaida kabisa Tanzania, kabla hata ya Uhuru na hakuna awamu iliyoli[inga wala kulikejeli hilo, katiba inaruhusu watu kuabudu. Kama wewe huswali hulazimishwi.Tunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli serikali haina dini, ila YEYE, MhLeo tarehe 1/5/2022 rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na rais kiongozi mkuu wa serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini y
Ni kweli serikali haina dini, ila yeye mh Rais ana dini. Tuache nongwa watanzania, lipi jema kwetu!? Duh, kazi kweli kweli!Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
Kwa hiyo Kama Kuna matendo anaenda kinyume na Imani yake Basi aende kinyume na yote!!?...na aliyekwambia Imani yake inamktaza kuingoza nchi ya kikafiri Nani!?Nadhani ungetumia sababu nyingine tu. Ukianza mambo ya imani yake inamruhusu au haimruhusu utafungua Pandora box. Mfano imani yake inamruhusu kuongoza taifa?
Au mengine mengi anayofanya kama kiongozi yanaruhusiwa na imani yake?
Sio nongwa. Rais ni mtumishi wa wananchi wana haki ya kuhoji, iwe kwa akili au kijinga. Ni haki yao ya kikatiba kama wewe ukivyo na haki hiyohiyo. Acha wahoji, na sio lazima wajibiwe. Ila wana haki ya kuhoji chochote kutoka kwa mkuu wao wa nchi!
Hao wadharau tu,tangu lini mtu mwenye govi akawa na fikra jadidi!?Kwani hawa Sukuma gang wakifutiwa uraia wao, taifa litapungukiwa nini? Naomba kuuliza tuu maana sioni faida yao zaidi ya kuchochea udini kila siku.
😁😁😁😬🙄Dini hiyo hiyo inasema mwanamama hatakiwi kuwa kiongozi mwenye mamlaka ya juu kabisa ila anaweza kuwa kiongozi wa chini chini tu what a shame.Ni sahihi ameheshimu dini yake.
Leo tarehe 1/5/2022 Rais akiwa anawahutubia wafanyakazi Dodoma katika siku muhimu ya wafanyakazi duniani, ilitokea kusitishwa hotuba Kwa dk kama 3 na Rais pale Adhana ya mchana ilipokuwa ikisika kutokea msikitini karibu na uwanja wa Dodoma.
Hivi wadau wa utaifa hili lilipaswa kufanywa na Rais kiongozi mkuu wa Serikali ambaye tuna amini anaongoza SERIKALI ISIYO NA DINI?
Wananchi wakristo inabidi tuendelee kuvumilia tu kama msingi wa dini yetu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa hatar sana
Tunakoelekea tutakuwa tuasimamishwa hata makazini kupisha azana.
#MaendeleoHayanaChama
Siku anaapishwa kuwa Mkuu wa Malaika
Kenyeta ndo nane wewe bichwa maji la Jf?
Anajifanya anaheshimu adhana wakati mchawi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wachawi wana ushupavu sana!!
Stress zako peleka kwenu sina cha kukusaidia
Mimi sisimamishi hotuba kwa makelele ya azana....ni unafiki......watu wanakamua pa..chi na masupika yanakoroma huko kama kawaida
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app