KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Duhhh hiyo kitu ni balaaa nyie ilaani tu kwa mdomo wakati moyoni mnaipenda kuliko ata akhera

Lakini tuache uongo ukiwa na tu kachumbari na ugali wa sembe hapo pembeni unaweza kujiona rais mwenza na Magufuli ukasahau shida zote
 
Wale wa porin hawagus hii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe[emoji15] [emoji15] [emoji15] hivi hujabahatisha huyu nguruwe wa polini mkuu[emoji134] [emoji134]
Yaani nguruwe pure anaesimama kwa maana ya nguruwe halisi.

Mkuu hii jamii ya nguruwe sawa na rais na jaji mkuu bongo
Jaji anamuapisha rais lakini hawezi mtengua pia raisi anamuapisha rais lakini hawezi mtengua

Huyu mdudu wanavunjiana tuu record
 
Ushaul wako una maana sana kwangu mkuu nadhan malue lue ninayo yaona hata wewe kumbe ushayaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…