KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Duhhh hiyo kitu ni balaaa nyie ilaani tu kwa mdomo wakati moyoni mnaipenda kuliko ata akhera

Lakini tuache uongo ukiwa na tu kachumbari na ugali wa sembe hapo pembeni unaweza kujiona rais mwenza na Magufuli ukasahau shida zote
 
b06dfeb7d752eb7415c05e70b2069604.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wa porin hawagus hii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe[emoji15] [emoji15] [emoji15] hivi hujabahatisha huyu nguruwe wa polini mkuu[emoji134] [emoji134]
Yaani nguruwe pure anaesimama kwa maana ya nguruwe halisi.

Mkuu hii jamii ya nguruwe sawa na rais na jaji mkuu bongo
Jaji anamuapisha rais lakini hawezi mtengua pia raisi anamuapisha rais lakini hawezi mtengua

Huyu mdudu wanavunjiana tuu record
 
Beira kwanza nikupongeze kwa kubadili id kama moyo wako ulivyotamani[emoji122] [emoji122]
Pili nikushauri tu kuwa kwa kuwa umebadili id sio mbaya ukatafuta mchumba mwingine pia,in good will!
Mbiti hapo utakesha rafiki na sidhani kama utapata faraja ya moyo,!! Leo umeambiwa mtu aliyekua anampenda kabla yk ni jirani[emoji23] [emoji23] kesho utaonyeshwa shemeji yk!
Ni ushauri tu ninyi nyinyi tu wenye maamuzi!
Waveja sana!

DJ sepetu
Ushaul wako una maana sana kwangu mkuu nadhan malue lue ninayo yaona hata wewe kumbe ushayaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom