makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Aisee na mirinda nyeusi jePepsi iliyoganda
Halafu siku hizi sijui wanazitia powder!? Maana nisipokunywa hiyo arosto yake mpaka nasikia mifupa inauma
😅😅😅Mi napendaga sana harufu ya udongo Mkavu pale unapoanza kunyeshewa na mvua ya ghafla, natamani hata niutafune huo udongo, pia unga wa kukaangia maandazi au half cake (kinyumga/dough) huwa natamani niule, unanoga sana.
Mtandao gani?Tuma jina na namba ya wakala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Eng,Baikoko unaijua??
Ndiwoooo!!Ahaaa
Me napenda sana nyonyo ndog ndog za madem zinazoshikika vzr zile, ziwe dede. Ni upuuzi kwakweli 😄Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Ikiganda unakunywaje mkuuPepsi iliyoganda
Halafu siku hizi sijui wanazitia powder!? Maana nisipokunywa hiyo arosto yake mpaka nasikia mifupa inauma
Mtandao ule unaowajari watejaMtandao gani?
SiujuiMtandao ule unaowajari wateja
Napenda kunyonya boro jeusi tiiiiii lenye misulii
Cc: mshamba_mwingine Mzee wa kupambania Yohimbe bark cocastic Poor Brain
075Siujui
Tigo?
Ile baikoko inapendeza ucheze na limama likubwaaaa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Eng,
Hadi litiwo nalijua, uwiiiiiih
HalotelTigo?
Unajua kuyatayarisha na kukaanga? Unajua nilikuwa sijui kama kuna mandazi ya nazi. Hebu weka recipe yake unajua.Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.