Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

kunywa maji ya uvuguvugu jion huku nikitazama jua likizama kwenye matope
 
Me mbona ndo nayaandaa hapa vipi nikupe location?
 
Mpira wa simba na yanga
 
Wote mnajisahaulisha,Kujamba peke ako ukiwa ofisini/gari afu ghafla akaingia mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…