Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Hahaha mkuu kwani kumwita PM ni mitongozano tyuuuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna mengi ya kuyajadili na kuyapatia ufumbuzi pamoja[emoji12]
Sasa mbona hajakwambia ufanye haraka ili akaexperience ya ndoani?[emoji38]
Tupo hapa KFC kama unaweza njoo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
m mbon ndo ntakumaliza zaid,,m n yangaaaaaaaaaa 😂
Hongereni ila huoni mambo ndio yanaenda yente yente kama vile nyumba inavyojengwa Kati ya mwanamke na mwanaume nasi tukiongezea na ka utofauti wetu wa simba na yanga bhasi weeeee.....full burdani🌹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…