Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Khaaa ujakutana nao tuu...
Kuna watu wapo very matured kwenye matusi...

Hujibu unabaki unaguna tuu mmmh mmmh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kazi inayofanywa na Mods ni kubwa mno,...baadhi ya comments zenye matusi heavy huwa wanazifuta ....zingekuwa zinaachwa zile waweza kufa kihoroπŸ€§πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ€§πŸ€£
 
Mkuu bado sijaona kipya..
Mtu umekaa nae miaka yote halafu aje abadilike kisa neno ndoa..

Impossible
Broo acha usiseme hvoo mwanamke ni kiumbe hatari akibadilika kweli anamaanisha na huez Amin maamuz yake Hawa wanajua kupretend na wanatujua Sana ukute alikubali kuingia kwenye ndoa akiamn we ni boy* hta akifanya mambo yake hutaeza mfanya lolote mkishaingia tu kwenye ndoa anaanza sasa kufanya hapo utarukia wapi???? Cool broo subir kunyooshwa au usal Sana yaskkte
 
Kuna kumwachia hela Kila Siku wazee mwanangu mmoja anatoka 15K per day Kuna muda mpaka 30 K yule make wangu alikuwa majanga kweli

Mwamba nikamshauri we achana na hio Manzil ipe talaka alafu unaoaje mwanamke mrembo hivyo hata Mimi naweza kukuchapia hapo hebu mpe talaka uoe type B ama au single kama Mimi


KATAA NDOA KATAA NDOA NDOA NI HASARA
 
Bado haiingii akili aiseee
 
Kiapo ni formalities kama wanavyoapishwa viongozi wetu. Kuzuga tu ila uhalisia wala watu hawakumbuki kama waliapa. Hivyo viapo naona viondolewe tu maana ni kumdhihaki Mungu
 
🀣🀣🀣🀣 basi yaishe bro
 
Miaka 5 yote ya ndoa sikuwahi kugonga shimo taka (Tigo), siku namtania kwa kumpiga kidole nikashapgaa kuona kinazama chote. Kumuuliza akasema ni mchezo wake siku zote ila kwa kuwa ananipenda alishindwa kuniambia ukweli. Nimemuacha, kumbe alikuwa anafilwa siku zote hizi bila hata mimi kujuwa.
 
habali ya kuzagamuana kila siku…
mwili wote unaniuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…