Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Mwanamke kwenye ndoa azae tu watoto Zaid ya hapo n k tu atakupa

Ukiondoa hivo viwil n bas hakuna chamaa kingine Zaid utakerwa Tu
 
Kulala uchi kila siku!!!
 
Madogo wa form six hao, Waki unga unga vocabulary, Wana hisi nawe wale wale 🀣 πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…