Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I hope sijachelewa ku respond hii message [emoji23][emoji23]Hebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
ndo kwanza umezindua wew😌hakuna mwingine kaona😂😂I hope sijachelewa ku respond hii message [emoji23][emoji23]
Issue sio kuona ... issue ni response [emoji23][emoji23] ..ni kama comment yako ilifunika mpaka mwenye Thread [emoji1787][emoji1787]ndo kwanza umezindua wew[emoji18]hakuna mwingine kaona[emoji23][emoji23]
Sawa,nitakuoavyote😌
😂😂😂😂Pole ungejuaWanawake wachache sana wanaotumia id za kiume
....
Haya mambo yapo sana kwa upande huu wa hovyo 😂😂😂😂
Ulioa Ndezi kumbeshe is very beautiful na amenizalia watoto wazuri kwakwel naomba tu wasiwe mandezi kama mama yao
HahahhahZaidi ya kupata nae watoto hana kingine kipya anacho-offer kwa family yaani huyu mke ni mzigo pro max ,biashara hawezi,shule alishindwa yaani unaamka asubuhi unarudi jioni unamkuta palepale utafikiri ni jiwe
😂😂aaah nmemsaidia kuchangamshaIssue sio kuona ... issue ni response [emoji23][emoji23] ..ni kama comment yako ilifunika mpaka mwenye Thread [emoji1787][emoji1787]
Duuushe is very beautiful na amenizalia watoto wazuri kwakwel naomba tu wasiwe mandezi kama mama yao
😌😌Sawa,nitakuoa
Kama Kaka na dada kabisaKumbe kuna wakati kitandani mnaweza kulala kama hamjuani kabisa
Kulala uchi kila siku!!!Habari za muda huu wanajamii,
Wahenga wanasema usilolijua ni usiku wa giza, kila mmoja wetu anapotarajia kupata jambo jipya au kuingia kwenye maisha mapya hujawa na shauku na mshawasha.
Ndoa ni taasisi ambayo kabla hujaingia unakuwa na matarajio makubwa yaliyojaa furaha kutokana na jinsi unavyompenda mwenza wako lakini wakati mwingine mambo huwa tofauti na vile ulivyofikiria yanaweza kuwa hasi au chanya.
Je ulipatwa na mshangao gani mkubwa baada ya kuingia kwenye ndoa?
Unaweza uka share na kuwa funzo kwa wengine ambao ni watarajiwa.
Madogo wa form six hao, Waki unga unga vocabulary, Wana hisi nawe wale wale 🤣 😂Dogo umekoment tu ili kukomenti au una mantiki katika kile ulichokisema? Which part am I grammatically wrong from what I said earlier? Alafu nawe Lamomy umelike kabisa upuuzi aliosema huyo Changchun as unamsapoti kutokana na nilichokisema. Haya nionesheni makosa yangu kwenye ile sentensi, Am keen enough to learn from you guys
Daah nikajua CHINNO Kid aisee, kale kasanii kenye english broken 😅😅Chino wangu jamani I miss you too 😘
We nawe unaadimika sana.!! Bado uko bush?
😂😂😂😂😂 Kama wapo wa hivyo.😂😂😂😂Pole ungejua
Muongo [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]