Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Daaah ππππππHuyo ni dume aliehama Kijiji/zizi
We fanya kilichokuleta dar utapata mishangazi humo humo kazini, usitafute mshangazi we saka πΈπΈ utapata tu
Ngoja nitafute pesa mkuuu ..
Ngoja nikaze aiseeee mwezi wa ngapi hivi taenda huko dasalam yaani mi ni kazi kazi...
Japo nilikujaga ila nilipiga kazi flan hivi kiwanda cha kutengeneza nondo aiseeeee,, huko watu wana lifecycle ngumu sana πππππ