Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Daaah ππππππHuyo ni dume aliehama Kijiji/zizi
We fanya kilichokuleta dar utapata mishangazi humo humo kazini, usitafute mshangazi we saka πΈπΈ utapata tu
Dah!..Ndugu yangu tema mate chini.....mimi nina rafiki alikaa na mwanamke uchumba sugu miaka kumi lakini ndoa yao imedumu miezi miwili........kulala na kuamka na mwenzio sio jambo dogo.......ndio maana mkaambiwa kwa shida na raha....,
π³π³Kwamba ndowa za kibantu ukiowa unatowa ukoo mzima
π€£π€£π€£π€£ tulia weweKuna maisha baada ya hii thread & comment yakoπ€£π€£
Kina majini kichwa changu?? Nimeolewa shauri yako π€£π€£π€£
Hii ndoa itakuwa pambe πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MC nipoooo winza winza kuchachua sherehee.
Jana kimya..... Au ndio ulikua na melahKina majini kichwa changu?? Nimeolewa shauri yako π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£ Eeeh udugu wa JF yule yule kibaka wangu wa siku zote πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em Sema kweli? Ni wa JF?
Kweli udugu π€£π€£π€£Muongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Duh ndo umeamua kuja kunisema had huku πNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kicheleπ
ππππ huyo chinno wangu wa JFDaah nikajua CHINNO Kid aisee, kale kasanii kenye english broken π π
Kwahy ndio ticket ya kwenda kumpelekea jamaa aliyekuchelewesha kurudi kwa mumeo aipige mpaka asubuhi.?Kwamba mwanaume anaweza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wanguπππππ.
Kuna issue nilikuwa nafanya melah atoke wapi mi niko single ready to mingle π€£π€£π€£Jana kimya..... Au ndio ulikua na melah
ππππ Mfyuuu!! KwenderDuh ndo umeamua kuja kunisema had huku π
Nimelia sana πππππππππ Mfyuuu!! Kwender
na wewe na huyo mwenzako munatuvunjia heshima kweli kweli. Hivi hao watoto unaowaita 'watoto wangu' uliwachukulia mimba na kuhangaika wewe? Wewe si umejua kudeposit mbegu tu ukaishia huko!Na huu ukweli mchungu ambao wanawake wanaupinga.......ngoja niishie hapa nisijeonekana nawavunjia watu heshima bure