Aisha Mautundu
Member
- Apr 22, 2024
- 31
- 22
Ko waliooa walio wazidi umri je?Hicho ndio kilio cha wanaume wengi.....ndio maana tunashauriwa tusioe age mate
Ni mazoea yake , nimemkataza lakini amekua akirudia.ππNa kwann uchelewe kurudi?
Siwez binafsi mwanamke anayechelewa kurud baada yangu, siwez kabisa.mwanamke umkute ndani pindi unatoka mihangaikoni, inaleta rahaNi mazoea yake , nimemkataza lakini amekua akirudia.ππ
Naomba umuulize wifi yako,mwezi sasa najimaliza kiume..sitopewa tena?Ni kudanganyana na kusogeza muda tyuu.!! π€£π€£
Nimemiss kukuona wii hebu tupia picha kwanza π
Asante mama.....ndio maana nikasema nikae kimya.....na wewe na huyo mwenzako munatuvunjia heshima kweli kweli. Hivi hao watoto unaowaita 'watoto wangu' uliwachukulia mimba na kuhangaika wewe? Wewe si umejua kudeposit mbegu tu ukaishia huko!
Vile unavyopikiwa, kufuliwa nguo, pasi na nyumba yako kuwekwa katika hali ya usafi siyo mchango huo?
Ama kweli nyinyi hamuna shukurani hata kidogo.
Sema unaonekana mtamu sana π₯°π₯°Wee umeona mi rahisi hivo ...
πππππ
Usinichukulie easy alaaaah kuwa na adabu πππππππ faka
Weeeh π¬π¬π¬π¬Sema unaonekana mtamu sana π₯°π₯°
mdomo komaaa π₯°π₯°Weeeh π¬π¬π¬π¬
Nitakushusha vyeo sasa hivimdomo komaaa π₯°π₯°
ππππ2040 utakua bibi humu na tutayafukua hayaπ€£π€£π€£π€£ tulia wewe
π€£π€£π€£π€£ Kwenderππππ2040 utakua bibi humu na tutayafukua haya
Mpaka wakati huo ntakua na jina kubwa town πmvua kama hii sms Moja tu Lamomy huyu hapaπ€£π€£π€£π€£ Kwender
Ntakua bibi wa hovyo
Hata mimi hilo swala siwezi livumiliaSiwez binafsi mwanamke anayechelewa kurud baada yangu, siwez kabisa.mwanamke umkute ndani pindi unatoka mihangaikoni, inaleta raha
Dada offline huku lazima nikuchachafye kidogoWw mi dada ako kuwa na adabu πππ
BIBI MFUKUNYUKUπ€£π€£π€£π€£
Ntakua bibi wa hovyo
π€£π€£π€£π€£ hatareeeBIBI MFUKUNYUKU
Dogoo upoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekubali bana
Umeshinda coca.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]