mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Sawa mkuuUsijali mkuu.....ngoja nimcheki kwenye runinga nijue nimpe adhabu gani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUsijali mkuu.....ngoja nimcheki kwenye runinga nijue nimpe adhabu gani
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
Ndio maana haitakiwi kukaa sana uchi kama uchi hauna kazi nao.........Kuna muda mnatembea kama mlivyozaliwa lkn hamna anayestuka baina yenu😁😁😁😁
Naona aisee ila mimi siamini hadi nijionee mwenyewe huko ndoani😀financial services mbona Wana tutisha tena 😄😄
Ndio upunguze sasa ulafi , ww mzuri sana sema ulafi una kuaribia sana😁si ulsema m mlafi wew ukanfukuza😰
Hivi wewe kiumbe una madume mangap???si ulsema m mlafi wew ukanfukuza[emoji27]
najua n leo tu kesho kam kawa nshachoka mim
Ety mabeberu 😂😂😂😂😂Kumbe Kuna muda story zinakata mnabaki mnatazamana kama mabeberu
ungejua uo uzur umetokana na kula mzee🤣🤣Ndio upunguze sasa ulafi , ww mzuri sana sema ulafi una kuaribia sana😁
Utayaona kama ukitoa machoNaona aisee ila mimi siamini hadi nijionee mwenyewe huko ndoani😀
ata naelewa sasa jaman
🤔 Wewe ulitoa macho ukayaona au bado?Utayaona kama ukitoa macho
m npo popote🤣🤣
Halafu inabid tuende Dubai ukapumzike just 3 monthsnajua n leo tu kesho kam kawa nshachoka mim
Hongera Kwa ukomavuWanasaidia kulea na majukumu mengine ya nyumbani.
Au mnataka muwe mnapewa pesa na nyie?
Mchango wa mwanamke unatokana na wewe umemshape vipi, yeye amekupa cheo kama kichwa cha familia, anasubiri wewe utoe amri yeye afate.
Sasa kama mwanaume ndo unawaza hivyo aisee basi una mzigo mzito sana kama umeoa.
Unakula kwa kiasi kufukia machapati saba kwa mtoto mzuri kama wewe haipendezi.ungejua uo uzur umetokana na kula mzee🤣🤣
We katoto kaongooo bado unanukia maziwa ya mamaNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele😝
Namuona namuona mkuu