Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Wanasaidia kulea na majukumu mengine ya nyumbani.
Au mnataka muwe mnapewa pesa na nyie?

Mchango wa mwanamke unatokana na wewe umemshape vipi, yeye amekupa cheo kama kichwa cha familia, anasubiri wewe utoe amri yeye afate.
Sasa kama mwanaume ndo unawaza hivyo aisee basi una mzigo mzito sana kama umeoa.
Hongera Kwa ukomavu
 
Back
Top Bottom