KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #141
Sasa na wewe tulia kwanza utaharibu bhana........🤭🤭🤭🤭🤭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa na wewe tulia kwanza utaharibu bhana........🤭🤭🤭🤭🤭
una uhakika ni kijana 🤣🤣asjekua mstaafu bureUnataka mpaka kijana mwenzio amwage ndio uone Raha si ndio......😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kichele😝
Kwani mstaafu si kijana wa zamani.....hakijahribika kituuna uhakika ni kijana 🤣🤣asjekua mstaafu bure
popobawa kabisa
🤣🤣una uhakika ni kijana 🤣🤣asjekua mstaafu bure
Mwenzako nilijichanganya wewe acha tuu,,Nmechekaaa hadi nkapaliwa Poor Brain
ata heshima huna wewe yan unajiona upo sahihi omba msamaha bas😰😰😁😁😁 kwani kuna watu wanatuona ?
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌OooooohHawa ni walio left 🤣🤣🤣
Hahahaha , sitafanya hivyo ila milango ya wewe kurudi ipo wazi😁ata heshima huna wewe yan unajiona upo sahihi omba msamaha bas😰😰
anifie mimi akaaaaKwani mstaafu si kijana wa zamani.....hakijahribika kitu
ngoj ikishindkana nlikoenda narud 😌Hahahaha , sitafanya hivyo ila milango ya wewe kurudi ipo wazi😁
Dah kumbe kuna kunywima usiku aiseHabari za muda huu wanajamii,
Wahenga wanasema usilolijua ni usiku wa giza, kila mmoja wetu anapotarajia kupata jambo jipya au kuingia kwenye maisha mapya hujawa na shauku na mshawasha.
Ndoa ni taasisi ambayo kabla hujaingia unakuwa na matarajio makubwa yaliyojaa furaha kutokana na jinsi unavyompenda mwenza wako lakini wakati mwingine mambo huwa tofauti na vile ulivyofikiria yanaweza kuwa hasi au chanya.
Je ulipatwa na mshangao gani mkubwa baada ya kuingia kwenye ndoa?
Unaweza uka share na kuwa funzo kwa wengine ambao ni watarajiwa.
Tayar
Shauri yako kuna tuvitu unatukosa.anifie mimi akaaaa
ngoj ikishindkana nlikoenda narud 😌
ulituficha wapi sasaShauri yako kuna tuvitu unatukosa.
Sikupeleki Dubai tenaleo umeona wanamiminika umeamua unizibie riziki sio kwendaaaa
😰😰😰😭😭😭😭😭😭
😁😁ulituficha wapi sasa