Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hapo kwenye hobby muhimu sana,la si hivyo mtaboana balaaInatakiwa wanandoa muwe marafiki wakubwa na muwe mna share hobby kadhaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye hobby muhimu sana,la si hivyo mtaboana balaaInatakiwa wanandoa muwe marafiki wakubwa na muwe mna share hobby kadhaa
Wewe coca wewe khaaaUkomeee kufata fata watu PM hovyoo, angekupakuaa mxxxieeeew
🤣🤣🤣 we dada hujapinda ila umejikunjakunja kabisaNkamu 🤣🤣🤣🤣
Hongera kaza mpk akuelewe 🤣🤣🤣Pambana na hali yako mimi nipo na mtoto mzuri Ms R
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂 Anasema niwe namuheshimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em mtajee
SawaSirudii kua kichwa ngumu
😂😂😂😂😂😂😂😂Ndio hivyo dogo 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 hamna bana sio sana!!🤣🤣🤣 we dada hujapinda ila umejikunjakunja kabisa
Ni faza 🙌🙌[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Amezingua, angebaki kutodisclose ila ilitakiwa akukatae tu
Wenye ndoa zetu mtuwachee 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe kuna mambo eeeeeh...
Ngoja tajionea kwa win
Tayar kishaelewekaHongera kaza mpk akuelewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😌😌SawaSawa
Inadi nikuoe kabsaa kadri nitakavo ona unamwenendo mzuri
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wacha weee 🤣🤣🤣🤣Tayar kishaeleweka
Saivi anajiandaa tutoke out
Nampeka KFC kula kuku
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wenye ndoa zetu mtuwachee 🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa dada nimejionea ndoa ngumu thanaa.! 🤣🤣🤣🤣Ndio ukisikia ndoa uvumilivu ndio hiyo Sasa!Hapo sio mbio Kwa mshenga kusemelea eti unanyimwa kwinchikwinchi,Hizo ndio Siri za ndani😁😁😁
HovyoTangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Huo ndiyo ukweliWacha weee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😆😆😆😆😆😆😅Oya unazinguaKweli kabisa dada nimejionea ndoa ngumu thanaa.! 🤣🤣🤣🤣
Huamini km nimeolewa?? 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aaaah wapi......