Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sisy nazingua nini tenah.!! Ww si ndo ulinisindikiza kwa mume au umesahau?? π€£π€£π€£π€£πππππππ Oya unazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisy nazingua nini tenah.!! Ww si ndo ulinisindikiza kwa mume au umesahau?? π€£π€£π€£π€£πππππππ Oya unazingua
Aaaha thubutu...Huamini km nimeolewa?? π€£π€£π€£π€£
Nna ndoa changa mwenzio
π€£π€£π€£π€£π€£ Shemeji yangu hawezi kuwa na Hizo za kukunyimaSisy nazingua nini tenah.!! Ww si ndo ulinisindikiza kwa mume au umesahau?? π€£π€£π€£π€£
Pua breini hataki kuamini kama umeolewa?Huamini km nimeolewa?? π€£π€£π€£π€£
Nna ndoa changa mwenzio
Muongo huyo..Pua breini hataki kuamini kama umeolewa?
Kumbe upo ndani ya ndoaNilijua tutaendelea kufanya kila siku, kumbe kuna muda haisimami hata umkalie kicheleπ
Anasema kachoka kazi nyingi eti πππππ€£π€£π€£π€£π€£ Shemeji yangu hawezi kuwa na Hizo za kukunyima
Nikaenda hotel karibu na nyumbani nikapiga usingizi. Matokeo yake yeye ndo hakulala kupiga simu mara 20+ usiku wakati mwenzie nimelala.Sasa ulifanyaje?ukilala kibarazani au shwaaa Kwa shosti?
π€£π€£π€£π€£ AtajijuPua breini hataki kuamini kama umeolewa?
Humu usichukulie mambo serious hizi ni futuhi tuKuna mmoja alisema hivi hivi .
Nilipo mfata PM sasa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kumbe ni njemba ilianza kunitukana aiseeeee nikajutra
Dogo nimeolewa π€£π€£π€£Muongo huyo..
πππππ
Anatishia tu hapa.....
Akija bichwa atasema kila kitu
Ma-lastborn wanatunyoosha huku ndoani.πππππππππππππ
Atajua ajui huyo alaaaah...
Alafu mambo ya kufungiana milango utoto huo πππ
Muda sana jirani π€£π€£π€£π€£Kumbe upo ndani ya ndoa
Jirani mchoyo ata kunishirikishaMuda sana jirani π€£π€£π€£π€£
Tuweke kampeni ya kataa ndoa hapa au tuwaache mabroo wajifariji kidogo Mkuu?NAKAZIA
πππππ SawaHumu usichukulie mambo serious hizi ni futuhi tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
πππππππDogo nimeolewa π€£π€£π€£
Kweli bana hafu shemeji yako nipo naye hapa π€£π€£π€£π€£Aaaha thubutu...
πππππππ
Na fujo hizo....
Aliyenioa π€£π€£π€£π€£πππππππ
Nani anajua humu
Akutetee πππ
π€£π€£π€£π€£ jirani ilikuwa ya mkekaJirani mchoyo ata kunishirikisha