Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Hiyo inaeleweka tatizo wengine ni kila siku usingizi awe kachoka hajachoka ye usingizi tu akishamaliza yy imetoka

mood yaake ipo chini sana may be kwa mpenziwe

jaribu kuzungumza na mwenzio
lakini wakati unafanya hayo unaweza ukaanza kufanya trial and error
kama mnaishi pamoja
wakati akiwa anarudi kutoka kazini faa vizuri nguo nzuri nyepesi na za kutega
kwa mfano kama mpo wawili tu
unaweza ukafunga kamtandio kepesi tu na kablauzi kaki mikono wazi kanachovutia
vaaa shorts na nukia pale anaporudi,usioneshe kukereka akiwepo
andaa vyema chakula
kama haupo busy akikisha mara kwa mara wewenndo unamuandalia chakula (kwa wale wenye hausg
hata kama una unapokwenda nywele,na mavzi kaikisha vinakua visafi
weekend kama hivi tengeneza chumbankiwe romantic
jamani tena
kama mnaishi wawili nadhani ni rahisi sana kuitatua hiyo kero

cha mwisho mi naona zungumza na mwenzio,mpe muda wa kupumzika na USIWE UNATEGEA sio yeye tu ndo aanze kukuvua nguo kila siku
sio yeye ndo ajihangaishe mwenyewe mpaka jamaa asimame
mwanamke kuwa mbunifu msimamishe jamaa wewe hapo

wanaume ukereka pale anapotumia nguvu nyingi kuridhika wakati wewe unamshangaa tu
KUWA MALLAYA KITANDANI
wanaume wachache....upo?
 
Duuu hatariiiii....


Natamani nikuulize mmehamia pande zipi, but nadhani hapa sio mahali pake. Tusichakachue mada ya masai dada

Sijajua unamaanisha nn ila kama ni maisha ya kukimbizana na ndomu baada ya kuvuta jiko nikazisahau
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa

Poleee. Sasa wewe ulikuwa ukienda ukirudi.. Kapoaaaa inabidi uanze upya lol. Na mood za kike, anaweza hata asipate tena hisia.

Hi nafananisha na case za mko on balaaa.. Halafu mnaanza kutafutana na ndom, mara haionekani.. Ni shidaaa tafrani

hiyo ya kutafuta ndom siipendi
mi naonaga niiweke tu chini ya mto hahahahha(kidin
 
Kabisaaa, mie mwanaume napenda niisikie ile harufu yake natural, ila awe msafi sio ndio kikwapa km kafuga panya

niwe muwazi katika hili napenda kusikia harufu ya cologne yaani uwiiiiii
huwa zinanisimua sana kama mwanaume ananukiia vizuri hata kufika kilele inakua rahisi maana ile harufu nzuri inafika hadi kwenye medula kabisa soo akili yoote inakuwa inamuwaza yeye
 
hiyo ya kutafuta ndom siipendi
mi naonaga niiweke tu chini ya myo hahahahha(kidin

Lol.. Chini ya mto.. Hyo ni planned match. Zipo match za kushtukiza na hizi huwa na mashiko balaaaaa. Yani inaboaaaaa, wakati mwingine mtu unaamua ujilipuee tu.
 
Hahaa

Halafu sijui watu wakoje.. Hawako free kuongea na wapenzi wao. But wengine utakuta anaenda kuhadithia hata marafiki au kuandika mtandaoni.. But hajaongea na mwenzi wake. Anakufa na kihoro chake.

Ubora wa mapenzi ni pamoja na uhuru wa kuongea kwa uwazi na mwenzi wako. Mara nyingi utasikia mtu anasema yani mimi tangu nimeolewa na hadi nina watoto kadhaa sijawahi kufika kileleni. Wakati.. Akiwa na mumewe anafeki kuwa anafika.

mi huwa nasisitizaga jamani hamna raha kama kuzungumza pamoja
watu wengi wanaoleta malalamiko hapa hawajazungumza na wenzi wao
lazima umuambia kabisa bana SIIPENDI HIYO PERFUME,SIPENDI TUKIANZA TU UNATAKA KWEMDA KUKOJOA,SIPENDI HIKI SITAKI KILE
FANYA HIVI NITARIDHIKA,NIKUFANYIE VIPI URIDHIKE
jamani hiki kitu ndo inaongoza kwa raha kpjamani kama u enjoy unaishi kwa shida sana
embu tatua leo kero yako
 
Mi nikikuta papuchi ina harufu mbaya ile hamu hutoweka kabisa
 
Lol.. Chini ya mto.. Hyo ni planned match. Zipo match za kushtukiza na hizi huwa na mashiko balaaaaa. Yani inaboaaaaa, wakati mwingine mtu unaamua ujilipuee tu.

hahahaa
mkuu pima 3 times in 9 month alafu temana na ndomu na kuwa muaminifu BHAASSIII

tumia kalenda
 
hahahaa
mkuu pima 3 times in 9 month alafu temana na ndomu na kuwa muaminifu BHAASSIII

tumia kalenda

Kalenda alone haiwezi kuwork mydia. Mind you.. Wakati wa danger days hamu ndio iko juu mnoooooo.
 
Lol.. Chini ya mto.. Hyo ni planned match. Zipo match za kushtukiza na hizi huwa na mashiko balaaaaa. Yani inaboaaaaa, wakati mwingine mtu unaamua ujilipuee tu.

God have Mercy....

Tusimame sote kumwombe huyu binti kifo chema....

Mi nikajuaga eti wewe bado bikra. Imekulaje kwangu sasa??

CC Mwenyekiti Kaizer
 
Last edited by a moderator:
God have Mercy....

Tusimame sote kumwombe huyu binti kifo chema....

Mi nikajuaga eti wewe bado bikra. Imekulaje kwangu sasa??

CC Mwenyekiti Kaizer

Kwi kwiiiiiiiiiiii

Na raha hizi naachia nani sasa.
 
Last edited by a moderator:
Kalenda alone haiwezi kuwork mydia. Mind you.. Wakati wa danger days hamu ndio iko juu mnoooooo.

nafahamu vizuri ndo maana nikasema
changanya zote
ndom,withdraw na kalenda

najua ovarian cycle and how inavyokua kipindi cha ovulation hamu inakua juu kutokana na muda ulenyai linakua limeiva linasubiri fertilization katika oviduct
hapo hormones zinakuwa busy nyingine kutengeneza kuta za uzazi,nyingine maziwa na mazingira ya kumpojea mtoto
so hamu inakua iko juu kutokana na hilo swala zima la high level of ostrogen na hormones zingine za kike

sasa my dear hapo njia tatu tu ndo nzuri
tjose two natural methods
1,kalenda
2.COITUS

na hiyo ndomu baasi

japo zina percentage za accuracy zake my dear
sio 100%
 
Back
Top Bottom