Hoja ipi? Kukaa sana ktk madaraka?Shida yako bi dada, haujibu hoja, unaleta mipasho tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ipi? Kukaa sana ktk madaraka?Shida yako bi dada, haujibu hoja, unaleta mipasho tu.
Basi kachukue fomu ya mkiti CCM pale lumumba utie nia tu halafu nitag wamesemaje. 😁😁😁😁Nichukue fomu nife!! Uliza akina Chacha Wangwe and others!
EXACTLYWasichojua ni kuwa polisi na CCM wanaipigia kampeni Chadema kwa gharama zao wenyewe
Ajaribu aone kupigaWacha washerehekee madebe tupu wenye mikia mirefu,raisi wetu kipenzi alishapiga heroshima wanazaliwa viwete tu!
Mmeo mbona nae ni mhuni ana hawara wa kutosha?Hiyo ndio orodha ya wahuni wenye kumiliki saccos iitwayo Chadema, we mwenyekiti gani anakaa over 20yrs, halafu eti anaitwa kuzindua report ya demokrasia, wakati yeye mwenyewe haruhusu demokrasia ndani ya CHADEMA, ili mengine nao wawe mwenyekiti wa chama!!?? Ni vichekesho tupu vinaenda kufanyika leo.
Bwabwa kingine hili imba imba.Wacha washerehekee madebe tupu wenye mikia mirefu,raisi wetu kipenzi alishapiga heroshima wanazaliwa viwete tu!
Ccm imejaa majinga na mapumbavu mengi sana by Dr. MolelHiyo ndio orodha ya wahuni wenye kumiliki saccos iitwayo Chadema, we mwenyekiti gani anakaa over 20yrs, halafu eti anaitwa kuzindua report ya demokrasia, wakati yeye mwenyewe haruhusu demokrasia ndani ya CHADEMA, ili mengine nao wawe mwenyekiti wa chama!!?? Ni vichekesho tupu vinaenda kufanyika leo.
Muda wa uchaguzi badoBasi kachukue fomu ya mkiti CCM pale lumumba utie nia tu halafu nitag wamesemaje. 😁😁😁😁
Umeumia watu kujadili uhalifu? Usiombe yakukute utamchukia yule unayempenda ktk maisha yako yoteNimeshangaa hiki chombo kinachoitwa TCD kutaka kupoka majukumu ya Kikatiba ya Tanzania.
yaani TCD inataka kujivika koti lisilo lake eti kujadili vifo ambavyo vimetokana na jinai.
Nani anaishauri TCD?
Jinai ni jinai tu na handling yake ipo kikatiba.
Huu utamaduni wa ku-politicise jinai umeanzishwa na nani kwa baraka ya nani??
Ningekua msajili ningefutilia mbali hii TCD Kwani imejigeuza jamvi la siasa...na wala haina representation ya wananchi waliopo mitaani na vijijini.
Huwa naumizwa na mjadala wa wanafikiUmeumia watu kujadili uhalifu? Usiombe yakukute utamchukia yule unayempenda ktk maisha yako yote
Dunia utaumizwa na mengi. Kila usilolipenda utalichukia mwisho wa siku utazeeka bado ukiwa kijana. Jikite kumtambua Mola wako ili ukiondoka ktk dunia ukaishi maisha mazuriHuwa naumizwa na mjadala wa wanafiki
Hakika mpaka wamefuta maandamano au sio!Soon makopo yataanza kuokotwa Kisomo kimeanza kazi....

Kukosolewa kidogo tu povu kama lote utafikiri ametukana viongozi, mjifunze ustahimilivu. Na kubishsna kwa hojabsi kila mtu ni chawa🤣🤣🤣Kwanza ana chuki na maslahi binafsi na Uongozi wa juu wa kitaifa nchini.
Lakini pia ni mchochea chuki, uhasama na mafarakano baina ya wanasiasa nchini kinyume na majukumu ya kidipomasia alonayo.
Mbaya zaidi,
anashiriki kwa siri siasa na mambo ya ndani ya nchini yetu, na kutoa ufadhili wa hali na mali wenye lengo la kupindua serikali.
Kiufupi amepoteza uhalali wa uwakilishi wa kidipomasia nchini, kwa kukiuka miiko, sheria za kimataifa na ustaarabu wa kazi na majukumu ya kibalozi kulingana na mkataba wa kudiplomasia.
Nashauri wizara ya Mambo ya nje ya nchi, kumchukulia hatua kali mara moja, ikiwa ni pamoja na kumrejesha nchini kwao kwa lazima kwa kushindwa kwake kuwakilisha maslahi ya watu wa marekani Tanzania inavyostahili.
Mungu Ibariki Tanzania![]()