Kiungo Mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki atambulishwa rasmi Yanga SC

Mbona Unamuelezea Sana Vp Kwani?? Kwani Ni Mchezaji Wa Timu Yenu?...Relax!! Kama Kuwapasua Tena Atawapasua Tu Kwenye Hilo Hana Mjadala Na Nyie Na Mechi Mtaishia Kufungwa Tu [emoji23]
Tatizo huruma, sipendi tukabemende hako katoto kenu!
 
Umeongea utafikiri uwanjani unacheza wewe
 
yule pimbi wenu alipata ofa gan kubwa huko kwenye vilabu vikubwa,hadi akaamua kuchagua simba?
 
kama tukivokabemenda katoto kenu Banda
 
CHIKWENDE au sio
 
Hata Calihnos alipewa sifa hizi za kijinga. Tusubiri uwanjani tutaona. Bigirimana aka storekeeper mgonjwa wa ini. Mpelekeni kwanza India.
Mkuu kuna ndugu yako amewahi kuumwa ugonjwa wa INI??

Kwa kifupi ugonjwa huo hauwezi kuishi zaidi ya miaka 2.
 
Acha ujinga, chama alisajiliwa kwa hizo pesa mwaka gani???
 
Simba SC hawaamini macho Yao

Karibu sana Yanga, Stephan Aziz Ki 🤜🤛


 
Haya wale Makolo wakiosema Yanga hatuwezi huu usajili tunahitaji muongeze nyodo zingine..
This is Yanga, ni Dream team kwa Kila Player all over the world [emoji617][emoji617][emoji123][emoji123]
Ni ujinga lkn kuwa na tabia ya kukurupuka kuwasajili wachezaji
 
Usajili mzuri, kazi kwake kuonyesha thamani yake ndani ya uwanja na ajue kuwa mashabiki wa bongo hawana uvumilivu wasipopata walichokitarajia kwake!
 
Eti My Source In Abidjan Au Alikuwa Na Maana Ya Sauce?, Chupli Chupli Tu Kmmk [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…