Kiungo Mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki atambulishwa rasmi Yanga SC

Kiungo Mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki atambulishwa rasmi Yanga SC

Hizo stats za huyo mtoto ndio hizo hizo au kuna nyingine mmezisahau mahala?

Mshambuliaji ana magoli 10, na assist 6 = 16, mbona huyu ni level ya G.Mpole kabisa!

Tena Mpole ni zaidi yake kwasababu ana experience na ligi yetu, huyo mtoto mpaka aizoee.

Simba SC inachukua mashine iliyokiwasha kwenye ligi za kibabe, mfano Sudan, na Ghana, tena huko Sudan imekiwasha kwa kuwachezea miamba wote wawili wa nchi hiyo Al Merreikh na Al Hilal.

MIND YOU; tena huyu sio mshambuliaji kama huyo kinda wenu, huyu wa Simba SC ni kiungo/winga, ana migoli na mi - assist kibao mpaka nimeisahau, sorry ngoja nikacheki tena record zangu!

Utopolo mkiamka usingizini, na wala hili sio kosa lenu ni ushamba wenu wa kutambulisha wachezaji wenu mida ya daku hivyo naona bado mmelewa usingizi, mjue huyo Aziz Ki amekuja kushindana na G. Mpole.

Nikimuweka na Phiri hapo nitakuwa nakabemenda hako katoto kenu!
Unaumiiiiiiiiiiia na bado yaani mkikaa vibaya msimu huu tunawapiga si chini ya goal 4 ngoja ligi ianze
 
Hako katoto kenu kakikabwa na Onyango kanaonewa, kakikabwa na Inonga kanaonewa, kakikabwa na Ouattar kanaonewa, itabidi tukatafutie beki mpya wa saizi yake ili kasije kakawa kanalia uwanjani siku ya mechi.
Huyo Inonga hukuona alivyogeuzwa geuzwa kama chapati kisha akatumbukia kambani
 
Makolo wanavyoisoma habari ya utambulisho wa Aziz Ki
 

Attachments

  • Makol.jpeg
    Makol.jpeg
    30.3 KB · Views: 2
Hata Calihnos alipewa sifa hizi za kijinga. Tusubiri uwanjani tutaona. Bigirimana aka storekeeper mgonjwa wa ini. Mpelekeni kwanza India.
Hata Mayele mlisema Yanga wamepigwa mkaanzisha nyuzi kabisa
 
Una uhakika Simba walituma offer kwake? Au unajitekenya mwenyewe? Simba walishasema tangu mwanzo huyo dogo hakuwa kwenye mipango yao.

Binafsi nilishangaa, kama ni mchezaji mzuri how comes asipate offer vilabu vikubwa huko?#kuna watu wamekurupuka#Muda utaongea
Bado unaweweseka? Tumia paracetamol kutwa mara 3 kupunguza maumivu
 
Yaani Tsh Milioni 400 ndiyo Dau la Rekodi? Kuna Watu ni Wapumbavu hapa duniani hadi Kero.

Hivi unajua kuwa Simba SC kwa Chama ilitumia zaidi ya Tsh Milioni 400 Kumsajili na kuja Kuichezea?

Achana na huyo Chama wa Timu yangu ya Simba SC hivi unajua kuwa Kiungo Fundi wa Yanga SC na Daktari wa Mpira Khalid Aucho alisajiliwa na Yanga SC kwa kiasi cha karibia Tsh Milioni 450 hadi Tsh Milioni 475?

Hakika nimeamini kuwa aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Luc Eymael ( Raia wa Ubelgiji ) aliposema ( ipo YouTube ) kuwa Yanga SC wote ni Nyani, Mbwa na Sokwe wala hakukosea.
Mkuu dau lililotumika apo ni 660ml. Usipotoshe watu, mshahara atakunja 22ml.kwa mwezi upo apo, labda nikuweke sawa kwa hilo
 
Hata Calihnos alipewa sifa hizi za kijinga. Tusubiri uwanjani tutaona. Bigirimana aka storekeeper mgonjwa wa ini. Mpelekeni kwanza India.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usajili mzuri, kazi kwake kuonyesha thamani yake ndani ya uwanja na ajue kuwa mashabiki wa bongo hawana uvumilivu wasipopata walichokitarajia kwake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.
 
Unaumiiiiiiiiiiia na bado yaani mkikaa vibaya msimu huu tunawapiga si chini ya goal 4 ngoja ligi ianze
Yanga uwezo wa kuifunga Simba goli zaidi ya 2 kwa 0, haiwezi tokea

5 unazikumbuka???
4 kwa 1 semi final FA??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una uhakika Simba walituma offer kwake? Au unajitekenya mwenyewe? Simba walishasema tangu mwanzo huyo dogo hakuwa kwenye mipango yao.

Binafsi nilishangaa, kama ni mchezaji mzuri how comes asipate offer vilabu vikubwa huko?#kuna watu wamekurupuka#Muda utaongea
Aziz ki ni mchezaji mzuri mkuu..hata Kama utopolo wamechukua haibadilishi kua ni mchezaji mzuri.

Ukisema eti mbona timu mkubwa hazijamchukua inategemea na nahitaji ya timu we si unaona noe Cristiano Ronaldo amekua rejected na Chelsea,Madrid,PSG na Bayern kwani ni mchezaji mbaya?
 
Una uhakika Simba walituma offer kwake? Au unajitekenya mwenyewe? Simba walishasema tangu mwanzo huyo dogo hakuwa kwenye mipango yao.

Binafsi nilishangaa, kama ni mchezaji mzuri how comes asipate offer vilabu vikubwa huko?#kuna watu wamekurupuka#Muda utaongea

IMG_0465.jpg
 
Aziz ki ni mchezaji mzuri mkuu..hata Kama utopolo wamechukua haibadilishi kua ni mchezaji mzuri.

Ukisema eti mbona timu mkubwa hazijamchukua inategemea na nahitaji ya timu we si unaona noe Cristiano Ronaldo amekua rejected na Chelsea,Madrid,PSG na Bayern kwani ni mchezaji mbaya?

You must be one of few intelligent person from Msimbazi.

Kongole.
 
Yanga uwezo wa kuifunga Simba goli zaidi ya 2 kwa 0, haiwezi tokea

5 unazikumbuka???
4 kwa 1 semi final FA??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

IMG_0658.jpg

Umeanza lini binti kushabikia mpira..?
 
Hata Mayele alivyokuja tuliyasema hayahaya.

“Kama kweli ni mchezaji mzuri basi angepta timu huko nje, ama sehemu nyingine”

Tumekwisha kalilishwa kuwa wachezaji wazuri ka Shaban Djuma, Diarra, Feisal, Aucho na Mayele hawawezi kucheza Yanga SC.

Tunawaomba tuendelee kuamini hivyo hivyo.

Hakuna aliye amini pia Stephane Aziz Ki anaweza kucheza Yanga SC ndio maana wengi walikesha mpaka saa 9 kuona na kuthibitisha usajili wake.
Sasa Mayele si wote tumemuona uwezo wake anazidiwa hadi na wazawa tena wakichezea timu za mikoani huko
 
Back
Top Bottom