Kizimkazi Imelipa: Hii pesa aliyoitaja Dotto Magari kuandaa harusi yake ni sahihi?

Kizimkazi Imelipa: Hii pesa aliyoitaja Dotto Magari kuandaa harusi yake ni sahihi?

Kuna watu wamefanya Sherehe za harusi Kwa bajeti ya milioni hadi 300

Angalia ile Harusi ya Mtoto wa Kimei yule alikuwa boss wa CRDB

Dotto Magari Kwa mawazo yangu anaweza kumudu kugharamia harusi ya Bajeti hiyo ya 60M ama zaidi Kwa kuwashirikisha Wadau

Mathalani akaenda na Makamera yake kuomba sapoti Kwa Akina Shabiby unadhani hawezi kuhaidiwa milioni 3 ama 2, akienda Kwa akina Mondi pia unaweza kuwa hivyo hivyo

Bado wale wahuni zake wa Kinondoni

Harusi kwa sehemu kubwa inakuwa financed na Wadau ila yeye binafsi hana hiyo hela

Paragraph ya mwisho umeongea kila kitu
 
Habari zenu wakuu. Mko vizuri?

Nimekutana na video Instagram ya Dotto Magari akiwa na bosi wake Issa Tambuu ambapo Dotto ametangaza kuwa harusi yake itagharimu Milioni 60 kama bajeti.

Dotto alifunga ndoa juzi juzi hapa na mkewe Bi Aisha, harusi ikija siku chache tangu amalize dili la ubalozi wa Kizimkazi Festival.

Swali langu kwa wanajukwaa, hivi Milioni 60 ni hela kubwa sana kuandaa harusi au ni kawaida sana?

View attachment 3086612

Na kwani harusi huwa kikawaida huwa inagharimu kiasi gani?

Nawasilisha 🙏🏾
Hiyo kwa zama hizi kawaida sana tena ndogo labda kwa wenzangu na mimi ndio kipengele

Kwa mtu maarufu kama huyo michango tu inaweza vuka mbali kuzidi hapo bado ambacho yeye ataweka

Kuna raia michango tu anagusa 100M
Bado zake na mengineyo

Kuhusu matumizi masuala kama Ukumbi, misosi mara MC, maphotoshoot na mafootage ukiongezea na honeymoon mbona inateketea fasta
 
Kuna watu wamefanya Sherehe za harusi Kwa bajeti ya milioni hadi 300

Angalia ile Harusi ya Mtoto wa Kimei yule alikuwa boss wa CRDB

Dotto Magari Kwa mawazo yangu anaweza kumudu kugharamia harusi ya Bajeti hiyo ya 60M ama zaidi Kwa kuwashirikisha Wadau

Mathalani akaenda na Makamera yake kuomba sapoti Kwa Akina Shabiby unadhani hawezi kuhaidiwa milioni 3 ama 2, akienda Kwa akina Mondi pia unaweza kuwa hivyo hivyo

Bado wale wahuni zake wa Kinondoni

Harusi kwa sehemu kubwa inakuwa financed na Wadau ila yeye binafsi hana hiyo hela
Ni kweli. Ni michango. Kama hiyo 60m ameitoa yeye mwenyewe. Alitakiwa asikose kama 300m kutoka kwa wadau.
 
uku zanzibar hiyo kizimkazi ilipigwa promo sio ya kawaida mabango kila mahali
no cap uyu mama huwa anatumia pesa nyingi sana kwenye upumbavu can you imagine mtu ananunua goli la simba sijui yanga mamilion ya fedha .....mwanamke mjinga uyu
Alaumiwe Magufuli kwa kuteua huo uchafu ilihali alijua yeye afya yake sio nzuri na angekata moto muda wowote.
 
Habari zenu wakuu. Mko vizuri?

Nimekutana na video Instagram ya Dotto Magari akiwa na bosi wake Issa Tambuu ambapo Dotto ametangaza kuwa harusi yake itagharimu Milioni 60 kama bajeti.

Dotto alifunga ndoa juzi juzi hapa na mkewe Bi Aisha, harusi ikija siku chache tangu amalize dili la ubalozi wa Kizimkazi Festival.

Swali langu kwa wanajukwaa, hivi Milioni 60 ni hela kubwa sana kuandaa harusi au ni kawaida sana?

View attachment 3086612

Na kwani harusi huwa kikawaida huwa inagharimu kiasi gani?

Nawasilisha 🙏🏾
Jamaa mdomo wake umemtoa
 
Unafanya harusi kubwa halafu huna hata nyumba.....wale mnaosema nyumba ni uoga siongei na Nyie,....ukwl ni mchungu ila tunakosea napenda style ya kutoka church au mlikokulia kiapo.....nendeni mahala na wanafamilia Ndugu na jamaa zako wa karibu pigeni msosi na vinywaji kata keki ....Kisha Rudi nyumbani muhangaishane na kitunguu Maji chako....ulichojipatia.......tuache kuiga Kila kitu jamani!
 
nina mteka binti wakiislamu, namtia mimba harafu na jivunga kupeleka barua hadi wata nifungisha ndoa ya mkeka wenyewe..🤣😅
 
Back
Top Bottom