Kuna watu wamefanya Sherehe za harusi Kwa bajeti ya milioni hadi 300
Angalia ile Harusi ya Mtoto wa Kimei yule alikuwa boss wa CRDB
Dotto Magari Kwa mawazo yangu anaweza kumudu kugharamia harusi ya Bajeti hiyo ya 60M ama zaidi Kwa kuwashirikisha Wadau
Mathalani akaenda na Makamera yake kuomba sapoti Kwa Akina Shabiby unadhani hawezi kuhaidiwa milioni 3 ama 2, akienda Kwa akina Mondi pia unaweza kuwa hivyo hivyo
Bado wale wahuni zake wa Kinondoni
Harusi kwa sehemu kubwa inakuwa financed na Wadau ila yeye binafsi hana hiyo hela
Shukrani Mkuu ππParagraph ya mwisho umeongea kila kitu
Kwa mtu kama Kimei harusi ya 300M ni kawaiida maana Kwa nafasi yake ana connection kubwa sana anazungukwa na madon wengiKuna watu wamefanya Sherehe za harusi Kwa bajeti ya milioni hadi 300
Angalia ile Harusi ya Mtoto wa Kimei yule alikuwa boss wa CRDB
Kipande 12mHivi kukodi ukumbi pale Mlimani City ni shingapi mkuu
Hiyo kwa zama hizi kawaida sana tena ndogo labda kwa wenzangu na mimi ndio kipengeleHabari zenu wakuu. Mko vizuri?
Nimekutana na video Instagram ya Dotto Magari akiwa na bosi wake Issa Tambuu ambapo Dotto ametangaza kuwa harusi yake itagharimu Milioni 60 kama bajeti.
Dotto alifunga ndoa juzi juzi hapa na mkewe Bi Aisha, harusi ikija siku chache tangu amalize dili la ubalozi wa Kizimkazi Festival.
Swali langu kwa wanajukwaa, hivi Milioni 60 ni hela kubwa sana kuandaa harusi au ni kawaida sana?
View attachment 3086612
Na kwani harusi huwa kikawaida huwa inagharimu kiasi gani?
Nawasilisha ππΎ
Ni sahihi Mkuu, ndiyo maana harusi ya Binti yake ilikuwa ya gharama kubwaKwa mtu kama Kimei harusi ya 300M ni kawaiida maana Kwa nafasi yake ana connection kubwa sana anazungukwa na madon wengi
UmeelewaDaslam ni wapi mkuu ....... Au unamaanisha Dar Es Salaam
Kwa bajeti ya harusi ni kawaida sana kwa daslam hicho ndicho nilimaanisha usipoelewa na hapo basi tena sina msaada zaidiMilioni 60 ni ndefu sana mkuu
Ni kweli. Ni michango. Kama hiyo 60m ameitoa yeye mwenyewe. Alitakiwa asikose kama 300m kutoka kwa wadau.Kuna watu wamefanya Sherehe za harusi Kwa bajeti ya milioni hadi 300
Angalia ile Harusi ya Mtoto wa Kimei yule alikuwa boss wa CRDB
Dotto Magari Kwa mawazo yangu anaweza kumudu kugharamia harusi ya Bajeti hiyo ya 60M ama zaidi Kwa kuwashirikisha Wadau
Mathalani akaenda na Makamera yake kuomba sapoti Kwa Akina Shabiby unadhani hawezi kuhaidiwa milioni 3 ama 2, akienda Kwa akina Mondi pia unaweza kuwa hivyo hivyo
Bado wale wahuni zake wa Kinondoni
Harusi kwa sehemu kubwa inakuwa financed na Wadau ila yeye binafsi hana hiyo hela
Ikiwa hivyo inapendeza, sio unataka harusi ya milioni 60 halafu wewe mwenyewe muhusika una laki 5 tu πNi kweli. Ni michango. Kama hiyo 60m ameitoa yeye mwenyewe. Alitakiwa asikose kama 300m kutoka kwa wadau.
Alaumiwe Magufuli kwa kuteua huo uchafu ilihali alijua yeye afya yake sio nzuri na angekata moto muda wowote.uku zanzibar hiyo kizimkazi ilipigwa promo sio ya kawaida mabango kila mahali
no cap uyu mama huwa anatumia pesa nyingi sana kwenye upumbavu can you imagine mtu ananunua goli la simba sijui yanga mamilion ya fedha .....mwanamke mjinga uyu
Jamaa mdomo wake umemtoaHabari zenu wakuu. Mko vizuri?
Nimekutana na video Instagram ya Dotto Magari akiwa na bosi wake Issa Tambuu ambapo Dotto ametangaza kuwa harusi yake itagharimu Milioni 60 kama bajeti.
Dotto alifunga ndoa juzi juzi hapa na mkewe Bi Aisha, harusi ikija siku chache tangu amalize dili la ubalozi wa Kizimkazi Festival.
Swali langu kwa wanajukwaa, hivi Milioni 60 ni hela kubwa sana kuandaa harusi au ni kawaida sana?
View attachment 3086612
Na kwani harusi huwa kikawaida huwa inagharimu kiasi gani?
Nawasilisha ππΎ