Dada angu mam....mchakato wa kumpta askofu wa kuingoza dayosi au kkkt yote siyo rais kama ulivyo elezea in a shallow way hpn
Ni utaratibu wa vikao visito vya misioni na secretarieti ya kanisa Kisha vikao vitaanza kuwa jadilli na Sasa kura hupigwa kutoka wajumbe wa mkutano mkuu wa jimbo husika ,Kama Ni askofu wa jimbo ila Kama Ni askofu mkuu yaani mkuu wa kanisa bas wapiga kura siyo wachungaji Ni maskofu was majimbo na dayosis wanazoongoza nduo watashiriki ktk uchaguzi na siyo mtu au member wa kanisa nduo wapiga kura
Kwako kygata ....@kyagata nitakutumia dcm jinsi tunavyompata askofu wa jimbo na mkuu wa kanisa anapatikanaje
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile ap