KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

KKKT ni kanisa kubwa kuliko mtu, Kiburi kimemponza Mchungaji Kimaro

IIa lazima tukubaliane kuwa Doyasisi ya mashariki na Pwani chini ya Mwalasusa ina matatizo mengi sana miaka yote!

'Saa ya ukombozi ni sasa': By Mch. Hananje
Hananja , alikuwa mchungaji mswahili mswahili asiye na maono wala utaratibu.
Ukimuweka vibaraza vya Kariakoo hspo amefika.
 
Rubbish tupu. Kwa taarifa yako tu, kanisa hai lenye kumwabudu Mungu katika roho na kweli huwa halizuiliwi na mipaka, mapokeo ya kibinadamu. Refer kina Petro na Yohana baada ya kumponya yule kiwete pale kwenye mlango mzuri wakati wanakwenda kusali.

Viongozi wa dini wakawaita na kuwapiga biti mbaya kabisa, unajua walichosema? Walijibu "IMETUPASA KUMTII MUNGU, KULIKO WANADAMU". Wachungaji wa kweli husimama na kweli, no matter what.
Be blessed
 
Alionywa kwa kosa lipi?

Waliogopa tu kuwa siku akisimama kugombeya U Askofu atawabwaga wote.

Yupo huyo mkuu wa jimbo naamini ana lenga kuwa Askofu, anadhoofisha wengine nguvu.

Je mmesahau huyu mkuu wa jimbo kufikia hapo alifanya kitu gani?

Na hapa wanajiandaa kumdhoofisha pia Matsai
Unadhani uaskofu unagombewa kama ubunge au udiwani au wewe unautaka ukagombee !!!
Umaarufu wa usharikani kwako ndo ukufanye ufae kuwa Askofu!!
Unafikiri KKKT ni sawa na pentenkoste kama la marehemu Askofu Kulola ambaye alivyoona ana karama kumzidi Askofu aliyekuwepo naye akajipa uaskofu mpaka mahakama ikawatenganisha.
Tuna utaratibu tofauti sana na ukionekana unautaka ndo huupati.
 
Rubbish tupu. Kwa taarifa yako tu, kanisa hai lenye kumwabudu Mungu katika roho na kweli huwa halizuiliwi na mipaka, mapokeo ya kibinadamu. Refer kina Petro na Yohana baada ya kumponya yule kiwete pale kwenye mlango mzuri wakati wanakwenda kusali.

Viongozi wa dini wakawaita na kuwapiga biti mbaya kabisa, unajua walichosema? Walijibu "IMETUPASA KUMTII MUNGU, KULIKO WANADAMU". Wachungaji wa kweli husimama na kweli, no matter what.
Huu ndiyo upotoshaji wenyewe.Kumbuka Peter na Yohana hawakuwa na contract ya kazi na hilo kanisa, hivyo hawakuwa na cha kuwafanya.Usipofuata taratibu za muajiri wako wewe ni mkosaji,ukiendelea kubisha bisha unapigwa chini na unakuwa huna pa kushitaki.Ukiona unabanwa unatafuta muajiri mwingine tena,mwingine tena na mwingine tena.
ukileta uanaharakati na ushabiki,utapata taabu saana.

By the way hatujui hata mkataba wake wa kazi una masharti gani.Ni siri yake yeye na muajiri wake.

Narudia kusema,ukiona kazi za kuajiliwa zinasumbua anzisha ujasiria mali kama wenzako.ukikubali kuajiliwa lazima ufuate masharti ya ajira uliyoyakubali wakati unapewa kazi FULL STOP.
 
Natamani hata Marehemu Askofu Stefano Rubeni Moshi asingeunganisha hili kanisa.

Kila watu wangebaki kwao
This is too low for Mamndenyi. Unaombea utengano? Serious? Kisa tu Kimaro kuondolewa Kijitonyama? Inamaana KKKT nzima ni Kimaro tu anayefaa kuwa mchungaji wa Kijitonyama? Mbona wataka kudhalilisha kanisa la KKKT kiasi hiki. Kwani huko atakapopelekwa hakuna watu wanohitaji huduma yake kama ninyi? Tusemeje basi? Ninyi ni wabinafsi sio? Ningekuwa Askofu wa KKKT ningepiga marufuku mahubiri kupitia accounts binafsi za youtube na digital platforms. Wachungaji wengi huzitumia kujitengenezea umaarufu binafsi kuliko taasisi wanayoisimamia, na hivyo kusababisha migogoro isiyo na tija.
 
Sababu zilizojificha ndio zipi hizo, mtu kuongea ukweli ndio ujuaji? Pathetic Tanzanians like you deserve to be bombed.
Ukishakuwa muhubiri injili, mashindano na wanadamu wenzio hayatakiwi, vinginevyo utashindana kama una lako jambo.

Kwanini sifa za mashabiki wako zikuvimbishe kichwa ujione super star..!!
 
This is too low for Mamndenyi. Unaombea utengano? Serious? Kisa tu Kimaro kuondolewa Kijitonyama? Inamaana KKKT nzima ni Kimaro tu anayefaa kuwa mchungaji wa Kijitonyama? Mbona wataka kudhalilisha kanisa la KKKT kiasi hiki. Kwani huko atakapopelekwa hakuna watu wanohitaji huduma yake kama ninyi? Tusemeje basi? Ninyi ni wabinafsi sio? Ningekuwa Askofu wa KKKT ningepiga marufuku mahubiri kupitia accounts binafsi za youtube na digital platforms. Wachungaji wengi huzitumia kujitengenezea umaarufu binafsi kuliko taasisi wanayoisimamia, na hivyo kusababisha migogoro isiyo na tija.
Ubinafsi, jeuri na kipato binafsi ndivyo vinavyomsumbua Kimaro.
Anaitumia karama yake vibaya.
Akiona anazongwa, akawe Yohana mbatizaji nyikani, tutamsikia tu.
 
Hivi Yesu alikuja duniani kuanzisha taasisi za namna hiyo? Haya tuje upande wa biashara, Kimaro aliwapiga nyundo wakubwa waliotaka kugawana Mali ya kanisa. Hana kosa ila ni mpigania haki. Namkumbusha Kimaro kuwa "ukweli unaua" hayo ndio matokeo yake.
 
Kanisa ka Kiinjili, la Kilutheri Tanzania, KKKT ina historia , na ni taasisi ya muda mrefu.

Ina taratibu na kanuni zake , mchungaji au mtumishi atafanya mbwembwe zake zoote lakini lazima awe ndani ya utaratibu wa Kanisa.

Mtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima, na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa.

Hakuna Mtumishi aliye juu ya KKKT kama taasisi.
KKKT ni kubwa kiasi kwamba hata askofu hayupo juu ya KKKT.
Sasa hivi tunaona watumishi wanao lipatia kanisa au usharika mafanikio.
Cha kushangaza mafanikio yao yanawapanda kichwani na kuanza jeuri, dharau na kiburi.

Sababu kubwa ni ukubwa wa wafuasi binafsi walionao.

Mwaka jana katika Dayosisi ya Konde , Askofu wake Dr Mwaikali alivuliwa uaskofu. Wengi wa tulioifuatilia ile ibada ya kumvua Uaskofu tulisononeshwa na ukaidi wa Askofu Mwaikali.

Leo, Dayosisi ya KKKT Konde na kanisa linaendelea.

Kama mtumishi anajiona ana karama na unapendwa na watu wengi, bado una wiwa kufuata taratibu za Kanisa.

Kinyume na hapo kwa karama zako anzisha taasisi yako,

Jeuri na kiburi alichoanza kuonyesha hadharani huyu Dr Rev Eliona Kimaro ni upungufu wa maono ya kutoona mbali.
Kuna fununu kuwa Kimaro alionywa mara kadhaa juu ya tabia yake binafsi kujiona yuko juu ya utaratibu, akakaidi, na wakati mwingine anajibu hadharani, na clips zipo.

Sasa inaelekea anavuna alichopanda.
Kikubwa kuliko mtu ni KKKT au ni WAUMINI?
 
Rubbish tupu. Kwa taarifa yako tu, kanisa hai lenye kumwabudu Mungu katika roho na kweli huwa halizuiliwi na mipaka, mapokeo ya kibinadamu. Refer kina Petro na Yohana baada ya kumponya yule kiwete pale kwenye mlango mzuri wakati wanakwenda kusali.

Viongozi wa dini wakawaita na kuwapiga biti mbaya kabisa, unajua walichosema? Walijibu "IMETUPASA KUMTII MUNGU, KULIKO WANADAMU". Wachungaji wa kweli husimama na kweli, no matter what.
Kabisa!
 
Kanisa ka Kiinjili, la Kilutheri Tanzania, KKKT ina historia , na ni taasisi ya muda mrefu.

Ina taratibu na kanuni zake , mchungaji au mtumishi atafanya mbwembwe zake zoote lakini lazima awe ndani ya utaratibu wa Kanisa.

Mtumishi akiwa na Karama au upako lazima aongozwe na hekima, na siyo jeuri na kiburi cha kufanya na kusema atakavyo kwa kujiona yuko juu ya taratibu zilizowekwa.

Hakuna Mtumishi aliye juu ya KKKT kama taasisi.
KKKT ni kubwa kiasi kwamba hata askofu hayupo juu ya KKKT.
Sasa hivi tunaona watumishi wanao lipatia kanisa au usharika mafanikio.
Cha kushangaza mafanikio yao yanawapanda kichwani na kuanza jeuri, dharau na kiburi.

Sababu kubwa ni ukubwa wa wafuasi binafsi walionao.

Mwaka jana katika Dayosisi ya Konde , Askofu wake Dr Mwaikali alivuliwa uaskofu. Wengi wa tulioifuatilia ile ibada ya kumvua Uaskofu tulisononeshwa na ukaidi wa Askofu Mwaikali.

Leo, Dayosisi ya KKKT Konde na kanisa linaendelea.

Kama mtumishi anajiona ana karama na unapendwa na watu wengi, bado una wiwa kufuata taratibu za Kanisa.

Kinyume na hapo kwa karama zako anzisha taasisi yako,

Jeuri na kiburi alichoanza kuonyesha hadharani huyu Dr Rev Eliona Kimaro ni upungufu wa maono ya kutoona mbali.
Kuna fununu kuwa Kimaro alionywa mara kadhaa juu ya tabia yake binafsi kujiona yuko juu ya utaratibu, akakaidi, na wakati mwingine anajibu hadharani, na clips zipo.

Sasa inaelekea anavuna alichopanda.
Kiburi Siyo mungu.watumishi Wengi wana Kiburi
 
Back
Top Bottom