Shishimbi najua mziki wa simba anaujuaKikosi cha AS VITA vs SIMBA
AS Vita Club [emoji1078] lineup:
Simon Omossola (GK) [emoji1062]
Djuma Shabani [emoji1078]
Ousmane Ouattara [emoji1081]
Vivien Assié Koua [emoji1081]
Ernest Luzolo Sita [emoji1078]
Papy Tshishimbi [emoji1078]
Amedé Masasi [emoji1078]
Sidi Yacoub [emoji1163]
Jéremie Mbuyi [emoji1078]
Glody Mokabi Lilepo [emoji1078]
Fiston Mayele Kalala [emoji1078]
#TotalCAFCL #ASVSSC
Wewe ni Simba au Kidimbwi,Coment zako ni za Kidimbwi lakini umevaa jezi ya Simba,how come?Mbumbumbu
Mpira umeshaanza
Nyamu ndio wapi tena, au kiswahili kimekupa za usoNaona Vita wamerudi nyamu wote
https://www.facebook.com/Babati vipi leo hamna link?
Nilisikia wanaoneshaVp kbc wanaonyesha?
UongooGoooooooo.
Tayari As Vita keshapigwa goli moja.
Simba inaongoza kwa goli moja.
Mzee baba unakula mema ya nchi tartiiibu kabisa.
Wanaonesha Channel No. 270 DSTVVp kbc wanaonyesha?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nachukua nafasi hii kuwatakia As Vita ushindi wa kishindo kabisa yaani wamalize mpira dakika 45 za mwanzo tu, hizo 45 za pili ziwe ni kufanya mazoezi ya pamoja nao