alikuwa anatumia leseni ya udereva.Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.
Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika! Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?
Mimi hii ishu nashindwa hata kujua kama ni ya kweli au ni propaganda kutokana na mijadala ya namna hii inayowahusisha makocha wa Simba kushamiriKuhusu ishu ya Nabi kama inaukweli itakuwa ni uzembe wa hali ya juu kwasababu kulikuwa na muda mrefu wa kufanya hivyo.
Labda niulize tu kwamba kipindi cha registration za CAF, huwa haiwahusu benchi la ufundi pia?
Yanga kitimu kinachochipukia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hawa jamaa kipindi hiki wana hasira sana na wanataka kila jambo kulinganisha na Yanga.
Kinachipukia wapi?Yanga kitimu kinachochipukia
Labda ya Mgunda[emoji23][emoji23]Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.
Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika! Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?
,wanasemaga usitukane mamba wakati ujavuka mto Congo.
alafu ukitaka kujua kama Duniani nuksi huwa ipo,wakati wa kuaprove za Mgunda zitakua aproved upesi na haraka alafu ikifikia zamu ya Nabi mtandao unakata unasema system error[emoji28][emoji23]
Nao waende Singida kuazima kocha
Hii taarifa haiwezi kuwa na ukweli hata kidogo. Isipokuwa imeletwa tu humu ili kubalance story ya Juma Mgunda! Nothing more.
Kabla ya kuja Yanga, kocha Nabi ameshafundisha vilabu kadhaa vikubwa Afrika! Huko kote alikuwa anatumia leseni gani?