Maisha ni kubet tuu wakuuGet Rich or Die Trying
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha ni kubet tuu wakuuGet Rich or Die Trying
True true mwenyekiti wa wala mbususu. Huku kwetu yataisha kama mengine yote yalivyoisha.Inhekuwa kwa wenzetu huko mbona balaa kubwa kwanza sponsors wote wanapull out maana hawataki kuhusishwa na vitu kama hivyo.
Pale kwenye timu za u17 kulijwa na vijana kutoka cambiaso so napo watu wangetia mguu tff. Ila huku kwetu kesho kutwa tuu business as usual
Duh mkuu hawakaguliwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo zile scanner zote wanapita tu.Na wanamichezo hawakaguliwi...... ukiona wamebeba mipira mingi wakishuka tu airport mipira wakubwa wanaichukua fasta..... muulize Mwameja aligoma kuwapa mpira waliposhuka airport.........wakambembeleza na kumpa chake ndiyo akawapa mpira
Kama inajulikana kwa muda wote huo kwanini wasikamatwe na kuwajibishwa?Kwani lini haikuwepo?
Usiniambie....jamaa alikuwa nakata mauno kwenye mzigo wote ule...kwa kweli amefaidi. Hayo ndio matumizi mazuri ya pesa. Gegeda warembo.True true mwenyekiti wala mbususu. Huku kwetu yataisha kama mengine yote yalivyoisha.
Ila tafuta hela ushikilie zigo kama la alhaji wa kambiaso. Si unajua anasukuma zigo la Sanchoka?
Umenibadilishia avator.Mimi wakati nasoma kichwa cha habari, kwenye news alert nilitamani pawe tetesi.
Swali la kujiuliza madogo wa kambiaso wamepona kwenye "kutumwa tumwa" kweli? Bora watu wa simba ni watu wazima kila mtu ana akili timamu anaweza kuchagua kujihusisha au kutokujihusisha kwa hiari yake mwenyewe.
Mbona mnawakadia tuu hao watu kuharibu ndoto za vijana, je viongozi nao wameharibu ndoto za vijana wangapi...tena perhaps wao ndio kisababishi cha vijana kuingia hukoKama inajulikana kwa muda wote huo kwanini wasikamatwe na kuwajibishwa?
Unajua Vijana wa ngapi wameingia kwenye Uraibu wa hayo Madawa na kuua ndoto zao nyingi
Naomba unipe ufafanuzi kidogo mkuu nimeitafuta sana hii habariKuna yule mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi some Kulangwa if am not mistaken jina lake nae alikamatwa Huko Italy mpaka Leo hajatoka.
Kweli mzee pesa yake NI tamu Sana,Waliotajirika kwa biashara ya madawa ya kulevya si rahisi kuacha. Hakuna nyengine yenye faida kama hiyo.
Vunja bei na mabelo ya mitumba, NI swala la Muda Tu 😀🤣Eddo Kumwembe, Shafii, Salama Jabir, Mkude, Tshabalala, Manula, ts a matter of time watadakwa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi ya ndoto hata ukiwa Mtu mzima Sana bado unaweza kuzitimiza ila muhimu uwe na afya njema na akili timamu.Mbona mnawakadia tuu hao watu kuharibu ndoto za vijana, je viongozi nao wameharibu ndoto za vijana wangapi...tena perhaps wao ndio kisababishi cha vijana kuingia huko